johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #41
AtaongozaHuyu jamaa hana ubavu wa kushindana na Mbiwe kisiasa au hata kwa weredi, ukurupukaji wake juu ya mambo ni weakness yake kubwa.
Kwa siku chache tu tumeona sura halisi ya huyu jamaa, mtu kwa shutuma, mtu wa purukushani asiye na fadhila hata kidogo.
Hafai kuongoza CDM kabisa.
Wajumbe tuondoleeni hii kitu.
Chadema ni Chama Cha umma🐼