johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #61
CCM hainaga muda na mambo madogo madogo tena BwasheeTupe matokeo ya Bawacha, hizo ndio salamu za tarehe 21.
Leo tunajadili Utekelezaji wa Ilani na namna ya kupata Wabunge wa Pemba Kwa 100%
Upinzani umetucheleweshea Maendeleo sana 🐼😂