Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Rais Magufuli asitufanye wote wajinga, jipya ni kujenga uwanja na mbuga Chato

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Rais Magufuli asitufanye wote wajinga, jipya ni kujenga uwanja na mbuga Chato

Nauliza hivi , hivi Chato ni sehemu ya nchi ya Jamhuri ya watu wa Kenya kiasi kwamba lazima isimangwe kwa kuwa tu imeendelezwa kwa kodi za Watanzania!? Watanzania wanaoishi Chato wamefanya nini kiasi cha kuonewa husuda na Chadema wakati wao hata kabla ya uhuru na baada ya uhuru wamelitumikia taifa hili kwa njia mbalimbali zikiwemo kutoa jasho na damu wakati mwingine kifo bila kusahau kodi?

Chadema semeni ni kipi mtafanya cha maana kwa ajili ya watanzania endapo bahati mbaya sana muda huu mkikabidhiwa madaraka ya watanzania!?
 
Wewe hayo unayaonaa ? au unayasikia kwenye matangazo?. Kumbuka hayo si mapya yalikuwepo miaka nenda rudi. Utekelezaji ndio umepitia hatua tofauti tofauti na kwa maraisi wote na yeye kukuta hapo na kuendeleza. Ni kweli jipya na la ajabu ambalo halikuwepo ni Uwanja mkubwa wa ndege kijijini Chato na mbuga ya chato, Burigi ilikuwepo toka zamani
Hakuna mbuga inaitwa chato ku a burigi national park iliyotokea from burigi game reserve mbona mnazusha sana... Ndo maana nasema huyo lisu hajui hata kuna parks mpya sita ....... Huwez kuwa melewa mwenye kila kitu kubalini anajua sheria ambayo wapo wanao ijua zaid yake pia...
 
Wapuuzi tu ndiyo wataelewa hoja kama hizo za Lissu.

Kwani huko Chato, mmeambiwa ni Wilaya ya huko Kenya ???

Hayati, Mwl. Nyerere, na Mhe. Mwinyi hawakujenga kwao mnawanga sana hadi kesho. Hakika ninyi hamna jema .
Juzi mmoja wenu (Lema) anasema Polisi kuwaacha mmpokee Lisu kwa amani na kuongoza msafara wenu ; akaja na porojo za kuwa kuna kitu kinaendelea. Sababu tu polisi imewaacha kumpokea Lissu

Kwa kifupi, Dr. Magufuli atakuwa Rais awamu anazoweza yeye kuongoza.
 
haoni reli? haoni madini? haioni dodoma? haoni ndege? haoni vituo vya afya? haoni meli? haoni elimu bite, haioni ubungo? haoni majizi kushughulikiwa? haoni makusanyo yakodi kuongezeka? haoni ccm safi? Nk. Nk. Haoni?

akatafute shughuli nyingine ya kufanya, akaombe hko ulaya ama ajiajiri mahali
Mkuu hayo yote ulioandika tayari yalishajibiwa na Mh Lissu mwenyewe. Alisema hivyo vyote vilifanywa na mkoloni lkn havikuwapa uhalali wa kusalia madarakani kwani wananchi walihitaji uhuru kwajili ya maendeleo yao na si maaendeleo ya vitu.
 
seedfarm,

Tundu lisu haijelew na hatopata urais anatakiwa awe na hoja utatusaidia vip kuondokana na umaskin na changamoto zenu lakin inakua kama amepaniki na ana chuki ns uadui wa personal na magu maana analalama tu kila siku magu hiv magu vilee ukisema hajafanya kitu si sahihi hutakiw kua muongo kwamfano nidhamu kazin na matumiz mazur ya pesa za uma sasa kila kitu unapinga pinga tu kama punguani
Mkuu asubiri naye Mungu mtu amjibu siku yakeikifika,lisu anaonyesha yaliyo madhaifu yaliyotokana na udhaifu wake
 
Haya bwana Tundulisu ila mwambien wanao muelewa ni nyumbu wa chadema tu sababu wao akil zao Zipo Matakon
 
Kosa kingine kwa Tundu lissu
Lissu hatakiwi kumshambulia Magufuli
Lissu anatakiwa atuambie atafanya Nini,kukomaa na Magufuli ni sawa na kuzidi kujipunguzia kura tu
Hivi kujenga hospital kubwa 69 sio maajabu
Kukarabati shule za sekondari ambazo haziguswa toka mkoloni si maajabu
Chadema mjipange sana na lissu wenu mtajikuta mmeishiwa maneno baada ya wiki moja tu toka kuanza kampeni

Usitake kutia mpira kwapani mulisema twende kwa hoja sasa kwanini unaumia, ni vyema kuleta majibu hapa kwanini kila kitu chato? wacha Watanzania wajue kila kitu alafu wapige kura kutokana ufahamu wao wakijua wanayemchagua ni nani na atawafanyia nini watanzania.
 
Samahani hivi national park inajengwa asee..... Fanya uchunguz kabla ujaandika basi ile ilikuwa game reserve imepandishwa na kuwa national park tuu.... Kama nyerere national park ilivyotokea under selous game reserve.... Na nyingine nne

Haujaona wanyama wakitolewa mbuga mbali mbali kupelekwa burigi walipojenga hiyo Mbuga? Kwani kujenga unachukulia mpaka kuwe na mchanga,kokoto,cement au tofali? Haujawahi kusikia kujenga uchumi imara?
 
seedfarm,

Tundu lisu haijelew na hatopata urais anatakiwa awe na hoja utatusaidia vip kuondokana na umaskin na changamoto zenu lakin inakua kama amepaniki na ana chuki ns uadui wa personal na magu maana analalama tu kila siku magu hiv magu vilee ukisema hajafanya kitu si sahihi hutakiw kua muongo kwamfano nidhamu kazin na matumiz mazur ya pesa za uma sasa kila kitu unapinga pinga tu kama punguani
Fuatilia mikutano yake kwenye kampeni, hayo yote utayasikia
 
Hiyo mbuga inapakana na Rwanda kapeleka wanyama pori ili wakizaliana wengine wavuke boda angalau ndugu zake wapate vivutio vya utalii amka Mtanzania asili.
Ilaa wewe na we konyagi ya mavi........Chato na rwanda zinapakana wapi na wapi?? Hata kama jiografia siijui huu ni uongo wa unaotakiwa upigwe mtungo kama gharama za kudanganya umma
 
alibana matumizi then akazitumia kununulia wapinzani,kurudia chaguzi,kumshughulikia mbowe na kuulia upinzani,huku akijafanya mzalendo mbele ya camera hali nyuma ya kamera ni mzalendo feki.Watz watakuja kumuelewa huyu sio mzalendo wakiwa wamechelewa kabisa.Mzalendo huwa aanzi na kwao au yeye kushiba kwanza kabla ya wengine
Ni mpuuzi sana yaaani wamebomoa jengo la Billcanas kwa kumkomoa mbowe halafu wameacha tu open space peupe na kuzungusha mabati tu bila kujua wamekosesha ajira "wanyonge" wauza mitumba ,madereva wa taksi ,wauza supu/chips break point.

Wameharibu mashamba yake ya maua na mbogamboga bila kujua ajira kibao zimepotea pale,wanadhani wanamkomoa mbowe kumbe mbowe anafedha za kutosha hayumbishwi na fitina zao zozote bali wanawaumiza "wanyonge" waliopata ajira kupitia mbowe.
 
Mkuu hayo yote ulioandika tayari yalishajibiwa na Mh Lissu mwenyewe. Alisema hivyo vyote vilifanywa na mkoloni lkn havikuwapa uhalali wa kusalia madarakani kwani wananchi walihitaji uhuru kwajili ya maendeleo yao na si maaendeleo ya vitu.
siasa zinamfanya lissu kuwa na akili ndogoo Sana (zinamdumaza ubongo). Angeendelea na uwakili angesaidia wengi sana huku anakwaza kwakukosa misimamo na kupotosha jamii labda uwakili wake pia ulisheheni uongo na dharau
 
Ni mpuuzi sana yaaani wamebomoa jengo la Billcanas kwa kumkomoa mbowe halafu wameacha tu open space peupe na kuzungusha mabati tu bila kujua wamekosesha ajira "wanyonge" wauza mitumba ,madereva wa taksi ,wauza supu/chips break point.

Wameharibu mashamba yake ya maua na mbogamboga bila kujua ajira kibao zimepotea pale,wanadhani wanamkomoa mbowe kumbe mbowe anafedha za kutosha hayumbishwi na fitina zao zozote bali wanawaumiza "wanyonge" waliopata ajira kupitia mbowe.
tukirudia kosa again atalipiza kisasi tuseme hapana kwa pamoja
 
Wewe hayo unayaonaa ? au unayasikia kwenye matangazo?. Kumbuka hayo si mapya yalikuwepo miaka nenda rudi. Utekelezaji ndio umepitia hatua tofauti tofauti na kwa maraisi wote na yeye kukuta hapo na kuendeleza. Ni kweli jipya na la ajabu ambalo halikuwepo ni Uwanja mkubwa wa ndege kijijini Chato na mbuga ya chato, Burigi ilikuwepo toka zamani
Mnameza maneno ya lissu bila kujiongeza kwahiyo ikulu kubwa duniani ilikuwa dodoma? Reli ilikuwepo? Elimu bure pia? Nyerere dam piano? Acheni utoto!!
 
Kosa kingine kwa Tundu lissu
Lissu hatakiwi kumshambulia Magufuli
Lissu anatakiwa atuambie atafanya Nini,kukomaa na Magufuli ni sawa na kuzidi kujipunguzia kura tu
Hivi kujenga hospital kubwa 69 sio maajabu
Kukarabati shule za sekondari ambazo haziguswa toka mkoloni si maajabu
Chadema mjipange sana na lissu wenu mtajikuta mmeishiwa maneno baada ya wiki moja tu toka kuanza kampeni
Kwanza kukarabati shule na yote hayo ni wajibu wake, sisi tunamlipa sio hisani.

Kujua Lisu atafanya nini endelea kumfuatilia, mbona una haraka?
 
Unajifanya eti haujaisikiliza hiyo clip. TL ameeleza jinsi atakavyosaidia wakulima. Kasikilize tena. Ni ya dk 13 tu.
seedfarm,

Tundu lisu haijelew na hatopata urais anatakiwa awe na hoja utatusaidia vip kuondokana na umaskin na changamoto zenu lakin inakua kama amepaniki na ana chuki ns uadui wa personal na magu maana analalama tu kila siku magu hiv magu vilee ukisema hajafanya kitu si sahihi hutakiw kua muongo kwamfano nidhamu kazin na matumiz mazur ya pesa za uma sasa kila kitu unapinga pinga tu kama punguani
 
seedfarm,
Seedfarm ina maana hoja za Tundu Lissu ni uwanja wa ndege Chato na utengenezaji wa mbuga ya Burigi-Chato tu? Kweli Lissu ni mzaha mwingine kwenye kugombea urais Tanzania! TUKUTANE OKTOBA 28!!!
Hiyo ni hoja mojawapo inayotuonesha watanzania kuwa kuna umimi sana kwa viongozi wa CCM
 
Kwa iyo airport na mbuga ya wanyama havina tija, dah, hivi ushafika chato ukaona havina tija? Upinzani mnafeli sana. Unadhani atapata kura kutoka kwa wana chato?
Mbona Dom pamependelewa zaidi.
Lisu hafai kabisa.
Hakuna mtz atakaechagua mateso again,tukirudia kosa tumekwiisha,
 
Back
Top Bottom