Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Rais Magufuli asitufanye wote wajinga, jipya ni kujenga uwanja na mbuga Chato

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Rais Magufuli asitufanye wote wajinga, jipya ni kujenga uwanja na mbuga Chato

Tundu Lissu akihutubia mamia ya wafuasi wa Chadema na Wananchi wasio na itikadi ya chama chochote mkoani Dodoma ametoa hoja kali ambazo CCM hawana uwezo wa kuzijibu zaidi ya kupanic na kukimbilia kwenye vyombo vya habari viwahurumie wasirushe mikutano ya Tundu Lissu.

Mosi, amezungumza kuwa jipya na la ajabu kwenye utawala huu ni Rais kujenga uwanja mkubwa Chato wakati marais waliopita hawakufanya maajabu haya, amesisitiza Tundu Lissu.

Pili, ni kitendo cha Rais kupeleka mbuga Chato. Hili ni ajabu kuu ambalo halijawahi kufanyika amesisitiza Tundu Lissu.

Tatu, Lissu amesisitiza kuwa watu wamedhalilishwa, hasa viongozi wa serikali na akina Mama kwa kauli chafu zinazotolewa.

Lissu amesisitiza hii nchi sio kila mtu ni mjinga na unaweza kuwadanganya kirahisi. Kuna watu werevu na wanakwenda kuwaambia wananchi kwa miaka mitano madudu yaliyofanyika.

Je, haya maajabu ni kweli yamefanyika huko Chato?

Je, wakazi wa Lindi, Dodoma, Mbeya, Ruvuma, Arusha, Mtwara, Kilimanjaro mnafahamu maajabu haya ya huko Chato?

Kwa hoja hizi ambazo hata mimi sikuzijua kwa miaka mitano, sasa nimeamshwa usingizini.

Hoja haipigwi rungu, bali hujibiwa kwa hoja. Hii ni kauli ya Dkt Jakaya Kikwete

CCM oyeee oyeeee oyeeee, jibuni hoja hizo!


Ndugu Mbegu ya shambani, Tundu Lissu ni kweli watu wote sio wajinga, kwa hivyo naye TL ajue ni hivyo sie sio wajinga. Tokea amekuja na kuchaguliwa kupeperusha Bendera ys Chadema, hakuna Jipya alilokuja nalo, ila ni lile lile la kumshutumu na kumuandama Magufuli.

TL kama anajiona ni mbadala wa Rais Magufuli, atupe kisomo cha atakacho tufanyia tofauti na Magufuli, Maendeleo gani katuletea, Amezunguka Ulaya na USA, lipi lenye manufaa kwa wananchi alilolipata, zaidi ya kufuatilia ya Magufuli.

Pia ajue kuwa yeye ndiye aliyeamshwa kutoka usingingizini, sie tuko macho, tumeyaona mazuri na mabaya aliyoyafanya Magufuli, yeye alikuwa ughaibuni, sisi tumeyaishi.

Hapa hakuna hoja, bali kuna malalamiko na kilio. WATANZANIA WENGI WANOGOPA MWENDO WA LISSU ULIVYO, ANAONYESHA KUJIWEKEZA ZAIDI KWENY KULIPIZA KISASI, ZAIDI YA KUWALETEA WALALA HOI MAENDELEO.
 
CCM wanajua utimam wa wana CDM Uzuri kabisa kuliko hata mimi!

Jiulize ni kwa nini JPM alifunga matangazo ya moja kwa moja Bungeni, kwa nini anaminya vyombo vya habari?

Eti ni kwa nini?!
Ila tunao wanunua kuja CCM kutokea CHADEMA wanakua na akili
 
Kosa lingine kwa Tundu lissu,

Lissu hatakiwi kumshambulia Magufuli.

Lissu anatakiwa atuambie atafanya Nini,kukomaa na Magufuli ni sawa na kuzidi kujipunguzia kura tu.

Hivi kujenga hospital kubwa 69 sio maajabu.

Kukarabati shule za sekondari ambazo haziguswa toka mkoloni si maajabu.

Chadema mjipange sana na lissu wenu mtajikuta mmeishiwa maneno baada ya wiki moja tu toka kuanza kampeni.
 
Ni nzuri na kazi kubwa ila ni mkopo wa wold bank umesimamiwa vizuri though. Sio hela ya mfukoni ni hela za watanzania.
 
seedfarm,

Tundu lisu haijelew na hatopata urais anatakiwa awe na hoja utatusaidia vip kuondokana na umaskin na changamoto zenu lakin inakua kama amepaniki na ana chuki na uadui wa personal na magu maana analalama tu kila siku Magu hiv magu vilee ukisema hajafanya kitu si sahihi hutakiw kua muongo kwamfano nidhamu kazin na matumiz mazur ya pesa za uma sasa kila kitu unapinga pinga tu kama punguani
Na ile trilioni 1.5 nayo unaiweka upande upi wa mahesabu.
 
Namuonea huruma huyo Lissu maana sasa ndio atakwenda kuwajua watanzania hawa kama ni wajinga ama werevu, hahaha..wait and see..akitaka ushahidi aende muulize yule Mange Kimavi ambaye mpaka leo anajuta kuwafahamu watanzania
 
Upande wa kutoa misaada ya gafla ya kujenga hospital shule vyoo masoko na nk upo hapo kamanda mpe salam chapombe mbowe mwambie mwaka huu kwa magufuli hamtoboi iwe juu au chini
Huyo cha Pombe Mbowee ndio kabisaaa kwa sababu hata jimboni kwake wananchi wamemfukuza kwa aibu..hana cha kuwaambia
 
Kosa lingine kwa Tundu lissu,

Lissu hatakiwi kumshambulia Magufuli.

Lissu anatakiwa atuambie atafanya Nini,kukomaa na Magufuli ni sawa na kuzidi kujipunguzia kura tu.

Hivi kujenga hospital kubwa 69 sio maajabu.

Kukarabati shule za sekondari ambazo haziguswa toka mkoloni si maajabu.

Chadema mjipange sana na lissu wenu mtajikuta mmeishiwa maneno baada ya wiki moja tu toka kuanza kampeni.

Hajashambuliwa mtu, yanashambuliwa MAAMUZI YA MTU...

Kumbuka kuwa tangu 2015, nchi hii imeongozwa na mtu mmoja anaitwa John Pombe Magufuli...

Kila kilichotendeka tangu wakati huo, nahodha, mwamuzi na muhusika ni yeye.....

Huwezi kusema makosoa na udhaifu wa maamuzi yake bila kumtaja yeye kwa jina lake na kum - connect na kumhusisha na maamuzi yake ama serikali anayoiongoza...!
 
haoni reli? Haoni madini? haioni Dodoma? haoni ndege? haoni vituo vya afya? haoni meli? haoni elimu bure, haioni ubungo? haoni majizi kushughulikiwa? haoni makusanyo yakodi kuongezeka? haoni ccm safi? Nk. Nk. Haoni?

akatafute shughuli nyingine ya kufanya, akaombe hko ulaya ama ajiajiri mahali
Wewe una mapungufu kichwani. Uliyoyataja, yote hayo yalikwishafanywa na watangulizi wake. Maajabu pekee nadhani ni hayo ua upendeleo na ubinafsi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kosa lingine kwa Tundu lissu,

Lissu hatakiwi kumshambulia Magufuli.

Lissu anatakiwa atuambie atafanya Nini,kukomaa na Magufuli ni sawa na kuzidi kujipunguzia kura tu.

Hivi kujenga hospital kubwa 69 sio maajabu.

Kukarabati shule za sekondari ambazo haziguswa toka mkoloni si maajabu.

Chadema mjipange sana na lissu wenu mtajikuta mmeishiwa maneno baada ya wiki moja tu toka kuanza kampeni.
Hospitali zote 69 zilizojengwa awamu hii, hazifikii hata thamani ya hospitali moja ya Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete.

Magufuli mambo aliyoyafanya ni mambo madogo yaliyokuzwa kuwa makubwa. Ni mambo muhimu lakini siyo kwa namna yanavyokuzwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hizo hoja ajiandae kwenda kuchunga ng'ombe kama Mzee wa rudi nyumban kumenoga(lowasa)
 
Sema utaifanyia nini jamhuri ya muungano wa Tanzania sio kuponda aliyofanya mwenzio.
 
Tundu Lissu akihutubia mamia ya wafuasi wa Chadema na Wananchi wasio na itikadi ya chama chochote mkoani Dodoma ametoa hoja kali ambazo CCM hawana uwezo wa kuzijibu zaidi ya kupanic na kukimbilia kwenye vyombo vya habari viwahurumie wasirushe mikutano ya Tundu Lissu.

Mosi, amezungumza kuwa jipya na la ajabu kwenye utawala huu ni Rais kujenga uwanja mkubwa Chato wakati marais waliopita hawakufanya maajabu haya, amesisitiza Tundu Lissu.

Pili, ni kitendo cha Rais kupeleka mbuga Chato. Hili ni ajabu kuu ambalo halijawahi kufanyika amesisitiza Tundu Lissu.

Tatu, Lissu amesisitiza kuwa watu wamedhalilishwa, hasa viongozi wa serikali na akina Mama kwa kauli chafu zinazotolewa.

Lissu amesisitiza hii nchi sio kila mtu ni mjinga na unaweza kuwadanganya kirahisi. Kuna watu werevu na wanakwenda kuwaambia wananchi kwa miaka mitano madudu yaliyofanyika.

Je, haya maajabu ni kweli yamefanyika huko Chato?

Je, wakazi wa Lindi, Dodoma, Mbeya, Ruvuma, Arusha, Mtwara, Kilimanjaro mnafahamu maajabu haya ya huko Chato?

Kwa hoja hizi ambazo hata mimi sikuzijua kwa miaka mitano, sasa nimeamshwa usingizini.

Hoja haipigwi rungu, bali hujibiwa kwa hoja. Hii ni kauli ya Dkt Jakaya Kikwete

CCM oyeee oyeeee oyeeee, jibuni hoja hizo!
Hakuna hoja alizoibua zaidi ya kupotosha tu! Ni uzuzu mtu aliye na utimamu wa akili kushabikia upuuzi huu! Mleta maada jitafakali Kama fuvu lako limesheheni ubongo au tumor!?
 
Hakuna nidhamu wala nini, ni kuwa watumishi ni waoga! Nidhamu ya woga, wakiachiwa tu watalipiza kisasi!
Hao tutawafix miaka 👊 ijayo! Hatucheki na nyani awamu hii!
 
Hajashambuliwa mtu, yanashambuliwa MAAMUZI YA MTU...

Kumbuka kuwa tangu 2015, nchi hii imeongozwa na mtu mmoja anaitwa John Pombe Magufuli...

Kila kilichotendeka tangu wakati huo, nahodha, mwamuzi na muhusika ni yeye.....

Huwezi kusema makosoa na udhaifu wa maamuzi yake bila kumtaja yeye kwa jina lake na kum - connect na kumhusisha na maamuzi yake ama serikali anayoiongoza...!
Tuoneshe jambo 1 la lissu hapa Tz tumsifie na kumpaisha kama Mheshimiwa Rais Magufuli
 
Upande wa kutoa misaada ya gafla ya kujenga hospital shule vyoo masoko na nk upo hapo kamanda mpe salam chapombe mbowe mwambie mwaka huu kwa magufuli hamtoboi iwe juu au chini
Na zile za kununulia wabunge na madiwani ni za fungu gani.
 
Back
Top Bottom