Pre GE2025 Tundu Lissu: Rais Samia, Kiongozi wetu Deus Soka Ametekwa, Hajulikani Alipo kwa Wiki Mbili

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Karma itamtafuna Samia kama ameanza kuiga mambo ya mwencazake
 
Kama wamejua kikosi kazi Kiko chang'ombe watuambie na majina ya watekaji ili wananchi tuchukue hatua ya kuwaadhibu haraka iwezekanavyo.Inaonekana hao watekaji elimu zao ni za hovyo sana maana mtu anayetekeleza mambo ya kijinga mara nyingi elimu yake ni Zero kabisa
 
Watanzania mnaongeaga sana, mnalia sana, kuna kitu lazima muwe mnakijua katika maisha yenu: Sometimes you need to fight to be a man. Maisha hayana maana kama utadharauliwa hata mbele ya watoto wako ndiyo maana tarehe 25/December/1971 yule mwamba wa kwetu alipoona kadharauliwa mbele ya mkewe na watoto akaona upuuzi na ku-pull trigger
 
Is it my eyes?
Bajeti ya Tz kwa mwaka Ni trilioni 49.
DP world wanaingizaje b 26 kwa mwezi?
Asking for a friend.
 
Muulize Lussu. Unafikiri ataenda kizimkazi bila passport?

Kwani Mzanzibari mnyaturu yule?
Akafanye nini huko? Nyie wanzanzibari wote weusi mlitoka bara baada ya kuonekana afya zenu siyo nzuri kuendelea na safari ya uarabuni na Americas. Mlikuwa na heshima nyie? Mshukuruni yule Mshirazi- Abeidi alimpigia simu Julius ili awaokoe. Mngekuwa manamba hadi leo mnalima karafuu zao na kucheza umbrella dance
 
Wanasema mitano tena wakati utekaji umetamalaki, si bora akapumzike ili waje wengine watafute dawa ya watekaji ili ikomeshwe.
Na utekaji hautokoma ndani ya CCM. Chama kinabariki hayo mambo akiwemo kiongozi wake.
 
Uko na haja usikilizqe
 
Jamaa kumbe alikuwa anashirikiana na watekaji.
 


"We were forced to form a Paramilitary Wing of uMkhonto we Sizwe within the ANC because the Government of Whites Minorities of South Africa was terrorising us by using the State Security Forces."

Oliver Reginald Tambo, former President of African National Congress (ANC) from 1967 to 1993.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…