Pre GE2025 Tundu Lissu: Rushwa za CCM kujaribu kuibomoa CHADEMA ni nyingi mno

Pre GE2025 Tundu Lissu: Rushwa za CCM kujaribu kuibomoa CHADEMA ni nyingi mno

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

bagamoyo

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2010
Posts
24,941
Reaction score
28,869
08 May 2024
Mpwapwa, Dodoma

TUNDU LISSU LAZIMA TUPIGE VITA RUSHWA, CCM WAMETUMIA RUSHWA TANGU 2015 KUCHUKUA VIONGOZI CHADEMA WAUNGE JUHUDI


Source : the chanzo

Ndiyo maana wamekuwa wakali baada ya njama za kutumia rushwa kuingilia uchaguzi wa ndani niliosema kule Iringa anasema Tundu Lissu mbele ya umma wa wakazi wa Mpwapwa waliojitokeza katika mkutano wa CHADEMA leo

"Wananchi mmesikia jinsi mzee Abdulrahman Kinana kule Dodoma alivyokuwa mkali baada ya sisi kukemea rushwa ya CCM" anasema makamu mwenyekiti CHADEMA bara Tundu Lissu.

Pia bungeni Nape Nnauye, Halima Mdee wamekuwa wakali kuhusu rushwa ya kuunga juhudi ...... Historia inaonesha CCM rushwa ni jadi yao walimnunua Dk. Walid Kaburu kule Kigoma miaka 20 iliyopita mzee Idris, Dr. Vincent Mashinji, Dr. Wilbrod Peter Slaa n.k wote walinunuliwa hivyo tunayosema sasa na kule Iringa ni kupiga vita ya rushwa ndani na nje ikiwemo ya CCM , sisi CHADEMA tunaamini rushwa ni adui wa haki wao CCM hawapingi ndiyo maana ....
 
Naona chawa wa dp wedi watatumika sasa ili aridhi ya Tanganyika NO sorry ya Tanzania ipoe angalau kwa muda.
 
Hapo hapo chama chao kinapata ruzuku ya Serikali kupitia Kodi za Wanyonge zinazotolewa na Serikali inayoongozwa na ccm
 
08 May 2024
Mpwapwa, Dodoma

TUNDU LISSU LAZIMA TUPIGE VITA RUSHWA, CCM WAMETUMIA RUSHWA TANGU 2015 KUCHUKUA VIONGOZI CHADEMA WAUNGE JUHUDI

View attachment 2984831
Source : the chanzo

Ndiyo maana wamekuwa wakali baada ya njama za kutumia rushwa kuingilia uchaguzi wa ndani niliosema kule Iringa anasema Tundu Lissu mbele ya umma wa wakazi wa Mpwapwa waliojitokeza katika mkutano wa CHADEMA leo

"Wananchi mmesikia jinsi mzee Abdulrahman Kinana kule Dodoma alivyokuwa mkali baada ya sisi kukemea rushwa ya CCM" anasema makamu mwenyekiti CHADEMA bara Tundu Lissu.

Pia bungeni Nape Nnauye, Halima Mdee wamekuwa wakali kuhusu rushwa ya kuunga juhudi ...... Historia inaonesha CCM rushwa ni jadi yao walimnunua Dk. Walid Kaburu kule Kigoma miaka 20 iliyopita mzee Idris naye alinunuliwa hivyo tunayosema sasa na kule Iringa ni kupiga vita ya rushwa ndani na nje ikiwemo ya CCM , sisi CHADEMA tunaamini rushwa ni adui wa haki wao CCM hawapingi ndiyo maana ....
ile anayovuta kutoka ng'ambo kwa mabwenyenye sio rushwa sio :BillyApprove:
 
08 May 2024
Mpwapwa, Dodoma

TUNDU LISSU LAZIMA TUPIGE VITA RUSHWA, CCM WAMETUMIA RUSHWA TANGU 2015 KUCHUKUA VIONGOZI CHADEMA WAUNGE JUHUDI

View attachment 2984831
Source : the chanzo

Ndiyo maana wamekuwa wakali baada ya njama za kutumia rushwa kuingilia uchaguzi wa ndani niliosema kule Iringa anasema Tundu Lissu mbele ya umma wa wakazi wa Mpwapwa waliojitokeza katika mkutano wa CHADEMA leo

"Wananchi mmesikia jinsi mzee Abdulrahman Kinana kule Dodoma alivyokuwa mkali baada ya sisi kukemea rushwa ya CCM" anasema makamu mwenyekiti CHADEMA bara Tundu Lissu.

Pia bungeni Nape Nnauye, Halima Mdee wamekuwa wakali kuhusu rushwa ya kuunga juhudi ...... Historia inaonesha CCM rushwa ni jadi yao walimnunua Dk. Walid Kaburu kule Kigoma miaka 20 iliyopita mzee Idris naye alinunuliwa hivyo tunayosema sasa na kule Iringa ni kupiga vita ya rushwa ndani na nje ikiwemo ya CCM , sisi CHADEMA tunaamini rushwa ni adui wa haki wao CCM hawapingi ndiyo maana ....
Mzee Makalla anajifanya hajua Fedha chafu anayoisema Lissu
Labda tumkumbushe
Mwendazake alitumia Fedha nyingi na kugawa Vyeo kwa Wanachama wa Chadema ili kuibomoa Chadema na
Bado mpaka leo Halima na Wenzake 18 wanalipwa Fedha chafu ambayo ni Rushwa
 
Kitu ambacho Lissu hakijui, hapo Chadema ni yeye tu ndio hapendi rushwa...

Ukijaribu kuchunguza hata humu wale pro Mbowe hawamwelewi...

Sisi wapenda haki tunamshauri ahame hicho chama, ameshabaki peke yake.
 
Hapo hapo chama chao kinapata ruzuku ya Serikali kupitia Kodi za Wanyonge zinazotolewa na Serikali inayoongozwa na ccm
hata wao wanalipa hizo kodi
 
08 May 2024
Mpwapwa, Dodoma

TUNDU LISSU LAZIMA TUPIGE VITA RUSHWA, CCM WAMETUMIA RUSHWA TANGU 2015 KUCHUKUA VIONGOZI CHADEMA WAUNGE JUHUDI

View attachment 2984831
Source : the chanzo

Ndiyo maana wamekuwa wakali baada ya njama za kutumia rushwa kuingilia uchaguzi wa ndani niliosema kule Iringa anasema Tundu Lissu mbele ya umma wa wakazi wa Mpwapwa waliojitokeza katika mkutano wa CHADEMA leo

"Wananchi mmesikia jinsi mzee Abdulrahman Kinana kule Dodoma alivyokuwa mkali baada ya sisi kukemea rushwa ya CCM" anasema makamu mwenyekiti CHADEMA bara Tundu Lissu.

Pia bungeni Nape Nnauye, Halima Mdee wamekuwa wakali kuhusu rushwa ya kuunga juhudi ...... Historia inaonesha CCM rushwa ni jadi yao walimnunua Dk. Walid Kaburu kule Kigoma miaka 20 iliyopita mzee Idris, Dr. Vincent Mashinji, Dr. Wilbrod Peter Slaa n.k wote walinunuliwa hivyo tunayosema sasa na kule Iringa ni kupiga vita ya rushwa ndani na nje ikiwemo ya CCM , sisi CHADEMA tunaamini rushwa ni adui wa haki wao CCM hawapingi ndiyo maana ....
Lissu akishalewa,humwambii kitu.
 
08 May 2024
Mpwapwa, Dodoma

TUNDU LISSU LAZIMA TUPIGE VITA RUSHWA, CCM WAMETUMIA RUSHWA TANGU 2015 KUCHUKUA VIONGOZI CHADEMA WAUNGE JUHUDI

View attachment 2984831
Source : the chanzo

Ndiyo maana wamekuwa wakali baada ya njama za kutumia rushwa kuingilia uchaguzi wa ndani niliosema kule Iringa anasema Tundu Lissu mbele ya umma wa wakazi wa Mpwapwa waliojitokeza katika mkutano wa CHADEMA leo

"Wananchi mmesikia jinsi mzee Abdulrahman Kinana kule Dodoma alivyokuwa mkali baada ya sisi kukemea rushwa ya CCM" anasema makamu mwenyekiti CHADEMA bara Tundu Lissu.

Pia bungeni Nape Nnauye, Halima Mdee wamekuwa wakali kuhusu rushwa ya kuunga juhudi ...... Historia inaonesha CCM rushwa ni jadi yao walimnunua Dk. Walid Kaburu kule Kigoma miaka 20 iliyopita mzee Idris, Dr. Vincent Mashinji, Dr. Wilbrod Peter Slaa n.k wote walinunuliwa hivyo tunayosema sasa na kule Iringa ni kupiga vita ya rushwa ndani na nje ikiwemo ya CCM , sisi CHADEMA tunaamini rushwa ni adui wa haki wao CCM hawapingi ndiyo maana ....
 
08 May 2024
Mpwapwa, Dodoma

TUNDU LISSU LAZIMA TUPIGE VITA RUSHWA, CCM WAMETUMIA RUSHWA TANGU 2015 KUCHUKUA VIONGOZI CHADEMA WAUNGE JUHUDI

View attachment 2984831
Source : the chanzo

Ndiyo maana wamekuwa wakali baada ya njama za kutumia rushwa kuingilia uchaguzi wa ndani niliosema kule Iringa anasema Tundu Lissu mbele ya umma wa wakazi wa Mpwapwa waliojitokeza katika mkutano wa CHADEMA leo

"Wananchi mmesikia jinsi mzee Abdulrahman Kinana kule Dodoma alivyokuwa mkali baada ya sisi kukemea rushwa ya CCM" anasema makamu mwenyekiti CHADEMA bara Tundu Lissu.

Pia bungeni Nape Nnauye, Halima Mdee wamekuwa wakali kuhusu rushwa ya kuunga juhudi ...... Historia inaonesha CCM rushwa ni jadi yao walimnunua Dk. Walid Kaburu kule Kigoma miaka 20 iliyopita mzee Idris, Dr. Vincent Mashinji, Dr. Wilbrod Peter Slaa n.k wote walinunuliwa hivyo tunayosema sasa na kule Iringa ni kupiga vita ya rushwa ndani na nje ikiwemo ya CCM , sisi CHADEMA tunaamini rushwa ni adui wa haki wao CCM hawapingi ndiyo maana ....
Zile nyakati za kuunga mkono juhudi ilikua ni rushwa mbaya sana
 
Rushwa ni hatari,hata yule unaemwamini ndio atakuteketeza.Kama tungekuwa na mashine ya kupima mla rushwa, siasa zetu Bongo zingewabani wanafiki.
 
Hapo hapo chama chao kinapata ruzuku ya Serikali kupitia Kodi za Wanyonge zinazotolewa na Serikali inayoongozwa na ccm
Sasa ulijua hiyo kodi anatoa baba yako pekee!?
 
Back
Top Bottom