Gerald .M Magembe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2013
- 2,496
- 1,800
Inaonekana nchi hii ukigombea Urais unafanya kufuta mashitaka yako, Nchi nzuri haa siasa inafuta mashitaka na makosa ya kijamii. NCHI NZURI.Lissu anaweza kuwa Raisi wa kwanza aliyechaguliwa kwa pesa ya wananchi, tena mchango wa TS200/= kwa kila mtu.
Imagine 6,000,000 x 200
NDUGU wa Lissu inabidi wasimame imara kumshauri, ni wakati muafaka Sasa Lissu kurudi CCM. Lissu ni kapuku Mbowe hawezi kumptisha hata iweje. CCM pekee ndio maskini na tajiri Wana nafasi sawa.Wagombea wote wa Chadema hawana fedha ndio maana wamemualika Membe!
Nakuletea maji yenye upupu utumie.Oyooo
Kuja tumukate gogo pamoja..
Utamufikiri.. unajua Swahili zaidi yangu..
Naona takataka za lumumba zimefufuka[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nakuletea maji yenye upupu utumie.
Unataka mixer na limpopo?๐๐๐
Nakuona umekumbuka kwamba.. kiswahili cha darasani ulicheza mduara.. ukapewa maji yenye upupwu..
Za CCM ,CCM tuna zaidi ya billion Kibao za kumnadi mgombea wetu za ruzuku na miradi hatujazifisadi . Chadema chama hela hakina na Tundu Lisu ile kuonyesha Nia tu alianza Kuomba achangiwe pesa humu arushiwe namba ya simu!!! Hakusubiri hata chama kimteue kwanza!!! Akiteuliwa Ndio aombe watu wachangie sio wamchangie Yeye kwenye kinamba chake Cha simu au Cha wakala wake Koko Bali namba ya chadema ya chama kitakachomnadikwani jpm alitumia za nani??
Buku 7Tundu Lissu hajui kuwa chama cha CHADEMA kimeanzishwa na mabepari ya kichaga ambayo falsafa yao ni hela; yaani bila hela wewe ni takataka tu.
Tundu Lissu hawezi hata kwa dawa kupitishwa na chama chake kwa sababu hana hela na ukikosa hela hata kama ungeongea nini, wewe ni kapuku tu.
Chama hakiwezi ku-risk kutoa hela zake wakati kinajua kuwa hakishindi kwa hiyo kuna wakati inatakiwa Mbowe asilaumiwe hata kwa kumkaribisha Lowassa.
Buku 7Za CCM ,CCM tuna zaidi ya billion Kibao za kumnadi mgombea wetu za ruzuku na miradi hatujazifisadi . Chadema chama he'll hakina na Tundu Lisu ile kuonyesha Nia tu alianza Kuomba achangiwe pesa humu arushiwe namba ya simu!!! Hakusubiri hata chama kimteue kwanza!!! Akiteuliwa Ndio aombe watu wachangie sio wamchangie Yeye kwenye kinamba chake Cha simu au Cha wakala wake Koko Bali namba ya chadema ya chama kitakachomnadi
Huyu Lisu Lofa atasumbua chama kwenye pesa
Muonyesha Nia ya kugombea lofa wa kutupwa aliyeanza kuchangisha watu wamtumie kanamba binafsi apate pesa za kuchukua fomu Ni Lisu pekee !!!B
Buku 7
Buku 7Muonyesha Nia ya kugombea lofa wa kutupwa aliyeanza kuchangisha watu wamtumie kanamba binafsi apate pesa za kuchukua fomu Ni Lisu pekee !!!
Wenzie wote waliheshimu taratibu za Chadema hawakuchangisha mtu wakijua uteuzi bado kwa Nini uanze kuibia wanachadema? Wakikuchangia kibinafsi pesa yao si utaifisadi tu Kama hukuteuliwa na chadema?
Lisu Lofa chadema Ni chama Cha kibepari kilianzishwa na matajiri na kinaendeshwa na matajiri na kwa msimamo wao hawahitaji mgombea Maskini wanahitaji tajiri anayeungwa mkono na waendesha chama matajiri wenye maamuzi ndani ya Chadema sio waunga mkono Lisu malofa wa mitandaoni ambao hawako hata kwenye vikao vya maamuzi na hawachangii uendeshaji Chadema ila Ni ma parasite Wala pesa ya chadema na Wana Chadema
Chadema haihitaji mgombea parasite
[/QUOTE]Lissu amekuwa tishio kubwa kwa ccm na huyo ni mtu mmoja tu tena yupo nje ya nchi. Huyu shujaa atakapotua nchini sijui itakuwaje. Na ccm mkimgusa tu mjue ndio mmeharibu kila kitu nchi hii.
Sasa akipitishwa itakuajeLissu anapoteza muda wake,hawezi kupitishwa hata iweje
Stand up and fight for what is rightTundu Lissu hajui kuwa chama cha CHADEMA kimeanzishwa na mabepari ya kichaga ambayo falsafa yao ni hela; yaani bila hela wewe ni takataka tu.
Tundu Lissu hawezi hata kwa dawa kupitishwa na chama chake kwa sababu hana hela na ukikosa hela hata kama ungeongea nini, wewe ni kapuku tu.
Chama hakiwezi ku-risk kutoa hela zake wakati kinajua kuwa hakishindi kwa hiyo kuna wakati inatakiwa Mbowe asilaumiwe hata kwa kumkaribisha Lowassa.
Labda agombee kupitia chama kingine,chadema ni Mbowe,Mtei hamjui LissuAnaupotezaje?
Na wewe unauokoaje?
Mbona mmekomaa na Lisu tu?
Lazima gogo mlikalie mwaka huu