Acha umbea na uongoLissu atawavua nguo kina nyinyi mnaoshabikia matukio ya muda mfupi. Wenye kutazama kesho na kesho kutwa na mwaka ujao wanamtazama mtu kwa undani. Huyo mbunge aliyenunuliwa zijibuni hoja zake. Mnageuka madalali wa wazungu, mnatumika kijinga bila ya hata kujua kuwa wanaowatazama wanawajua vizuri sana.
Mnadanganywa na wanasiasa halafu mnaingia mazima.Acha umbea na uongo
Na mimi nilikuwa Dodoma. So what? stupid correlation!
Hints:
Tundu Lissu anasema kuwa siku aliyopigwa risasi ndio siku Rais Magufuli alikuwa akipokea ripoti ya makinikia.
Na masaa mawili kabla ya shambulio lake alitangazia umma kuwa kuna mtu anapiga kelele sana huko nje na katika vita jeshini watu wa namna hiyo ni sawa na wasaliti hivyo kazi huwa ni moja kuuliwa tu.
Kumbuka ripoti hiyo ilikuwa inakabidhiwa jijini Dar huku mkuu wa mkoa wa mkoa huyo hakuwepo Dar alikuwa Dodoma.
Na cha ajabu eneo analoishi hulindwana masaa 24 na askari wenye silaha ila cha ajabu hawakuwepo kabisa katika viunga vya Area D.
Lakini hao Polisi wanaotaka kunihoji mimi hawajawai kumwita wala kumuhoji Makaonda akiwa kama suspect.
Na aliyesema anafaa kufa hajawai kuulizwa juu ya kauli yake.
Wala askari waliotakiwa kuwa lindo hawajawai kuulizwa walikuwa wapi siku ya tukio na nani aliwapa amri waondoke.
Tayari na wa pili katajwa.......Tayari wa kwanza kishatajwa.... Mpaka tutawajua wote walihusika na mchongo huu
Sent using Jamii Forums mobile app
Alie mfanya makonda suspect ni nani? Yeye whenever au polish?
Hints:
Tundu Lissu anasema kuwa siku aliyopigwa risasi ndio siku Rais Magufuli alikuwa akipokea ripoti ya makinikia.
Na masaa mawili kabla ya shambulio lake alitangazia umma kuwa kuna mtu anapiga kelele sana huko nje na katika vita jeshini watu wa namna hiyo ni sawa na wasaliti hivyo kazi huwa ni moja kuuliwa tu.
Kumbuka ripoti hiyo ilikuwa inakabidhiwa jijini Dar huku mkuu wa mkoa wa mkoa huyo hakuwepo Dar alikuwa Dodoma.
Na cha ajabu eneo analoishi hulindwana masaa 24 na askari wenye silaha ila cha ajabu hawakuwepo kabisa katika viunga vya Area D.
Lakini hao Polisi wanaotaka kunihoji mimi hawajawai kumwita wala kumuhoji Makaonda akiwa kama suspect.
Na aliyesema anafaa kufa hajawai kuulizwa juu ya kauli yake.
Wala askari waliotakiwa kuwa lindo hawajawai kuulizwa walikuwa wapi siku ya tukio na nani aliwapa amri waondoke.
Hints:
Tundu Lissu anasema kuwa siku aliyopigwa risasi ndio siku Rais Magufuli alikuwa akipokea ripoti ya makinikia.
Na masaa mawili kabla ya shambulio lake alitangazia umma kuwa kuna mtu anapiga kelele sana huko nje na katika vita jeshini watu wa namna hiyo ni sawa na wasaliti hivyo kazi huwa ni moja kuuliwa tu.
Kumbuka ripoti hiyo ilikuwa inakabidhiwa jijini Dar huku mkuu wa mkoa wa mkoa huyo hakuwepo Dar alikuwa Dodoma.
Na cha ajabu eneo analoishi hulindwana masaa 24 na askari wenye silaha ila cha ajabu hawakuwepo kabisa katika viunga vya Area D.
Lakini hao Polisi wanaotaka kunihoji mimi hawajawai kumwita wala kumuhoji Makaonda akiwa kama suspect.
Na aliyesema anafaa kufa hajawai kuulizwa juu ya kauli yake.
Wala askari waliotakiwa kuwa lindo hawajawai kuulizwa walikuwa wapi siku ya tukio na nani aliwapa amri waondoke.
Mengi ya anayoongea ni fabricated na anajua hivyo. Isipokuwa ili kutuaminisha anazuga kwa kusema ameambiwa kwa sababu hayuko nchini kwa muda mrefu. Kwenye maongezi yake kuna chumvi too much. AMEAMUA KUJITOA UFAHAMU KANA KWAMBA HATARUDI NCHINI.Kuna mtu anamwambia..kila analosema anasema "nimeambiwa"!! Huyu mtoa taarifa anayefanya kazi serikalini adhabu yake hasa ni ipi..?
Kwa mujibu wa maelezo yake Tundu lissu ana vyanzo vya taarifa kutoka Usalama wa Taifa, kutoka Polisi, kutoka Bungeni, kutoka Wizara ya Afya. Na kila sehemu ambao wanampa hizo taarifa nyeti.
Katika moja ya maelezo yake amesema hataki kumtaja huyo mtoa taarifa wake sabbu akimtaja "atauwawa"!!
Je huyu mtoa taarifa mara atakapogulika /ama watakapogundulika kufanya hivyo adhabu yao halisi huwa ni ipi?
Je, maadili yao ya kazi yanawaruhusu kutoa hizo habari?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulitegemea aongelee nini korosho? Ha ha ha!Lisu ataongelea Sana kuhusu shambulizi lake mwisho wa siku atakosa Cha kuongea Sasa hivi hoja aliyonayo NI shambulizi na serikali ya magufuli. Habari hizi zimeteka Sana media lakini zinaenda kufa kibudu
Sent using Jamii Forums mobile app
kweli mkuu hata ile ya mo ilioneshwa mahakamani (ivi mahakama ilisemaje ile ni yenyewe ama changa la macho)Huwezi ukadai cctv camera kwenye mitandao, hizo unaweza kuzidai kesi ikiwa mahakamani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ni ushahidi wa circumstancial, mbowe alikuwa wapi siku hiyo? Ukiunga dots pia utakuta anahusika. Yategemea unaangalia engo ipi.unaufahamu ushahidi wa kimazingira,kama waufahamu huwa unatumika vp?
ushahidi wa kiaminika ungetokana na cctv camera vp ziko wapi?
ni suala la muda atakaye fata kufa kiutata ni yule camera zilizo ondolewa kwake. kuficha siri
Kama wewe ulivyodanganywa na jiweMnadanganywa na wanasiasa halafu mnaingia mazima.
unaunga dot kindezi sana, mbowe alikuwa dodoma kwenye vikao vya bungeKama ni ushahidi wa circumstancial, mbowe alikuwa wapi siku hiyo? Ukiunga dots pia utakuta anahusika. Yategemea unaangalia engo ipi.
Eheheheheheiiiiii wambie wakubali uchunguzi huru [emoji12][emoji3][emoji23][emoji1787]. Magogoni haiwezi kukubali
Mpuuzi kweli. Nani hatokufa ?! Watafute akina Amin, Mobutu , Hitler nk nk uwaulize kama bado wana enjoy mateso waliowapa watu !!.Hiv anahangaika nini kwani, anatafuta nini, kuna kitu gani amewah yeye kukifanya hapa Tanzania, hata huko Singida anapotoka amefanya nini......kuzaliwa na kuwa na uwezo wa kutoa chochote tu kilichopo kinywan nayo ni shida.....Lissu utakaa kuongea sana coz hata Tanzania sasa unaiogopa.....mbona wenzio wapo kimya na siasa zinaenda na maisha pia.....WEWE NI NANI HASA HAPA TANZANIA MPAKA UONGEE SANA....hata kama mm pia ningekuwa namba moja Siwez kukuacha mbona......huko penyewe unaposemea wanauelewa mchezo vizur sana...na ndo wababe wa hyo michezo...wanakuona kama mwendawazimu......unaendelea kujichimbia shimo Tanzania.....rudi tu sisi macho yetu....lisu lisu ......utakufa siku sio zako endelea...
Inauma Sana.Wachunguzi huru walichunguza kwa siri kubwa, ubalozi wa Marekani uliwatuma FBI wakaenda Dodoma kimya kimya wakachumguza kwa kuwatumia wazawa kisayansi ndipo wakabaini kuwa zilitoka Gari mbili Dsm yaani Toyota vx na Nissan nyeupe ndani ya vx Toyota walikuwemo Watu wanne wanaojulikana wawili ambao ni Bashite na Le mutuz na kwenye Nissan nyeupe walikuwemo wasiojulikana wawili na watatu wanaojulikana ambao ni Jerry Muro, Cyprian musiba na Heri kisanduku ambaye ndiye alibeba bunduki kubwa na kumshambulia Tundu Lisu huku cyprian Musiba akitumia bunduki ndogo bastora kusaidia shambulio na baada ya shambulio waliondoka kwa kasi hadi morogoro kwa mganga wa kienyeji na pindi wakiendelea na ushirikina wao ndipo Bashite akapigiwa simu toka Dodoma kuwa cctv camera ziliwachukua Sura watu watatu yaani cyprian Musiba, Heri kisanduku na mmoja asiyejulikana ikabidi Bashite na Le mutuz warudi Dodoma haraka kwenda kuzing’oa zile cctv haraka kisha kupachika zingine kwa kasi ili kupateza ushahidi na akazichukua hizo cctv kuja nazo nyumbani kwake Mikochen hilo ni kwa mujibu wa Le mutuz lakini kupitia uchunguzi na siri zao kuvuja pia, siyo siri wala siyo Uongo wala Uonevu kwa Bashite ni kweli kuwa Maliyamungu Bashite ndiye aliyepanga na kuratibu na kutekeleza shambulio kwa Tundu Lisu, taarifa zote zipo kwa FBI na Tundu Lisu kapewa picha yote anajua A-Z
Wewe vipi! Maana na wewe ukiona Post inamhusu Lisu unapiga kelele hadi sauti inakikauka.Huyu jamaa atapiga mayowe hadi sauti itamkauka. Si aende tu akashitaki umoja wa mataifa?
km unaona hivo ni sawa poaHuyu jamaa atapiga mayowe hadi sauti itamkauka. Si aende tu akashitaki umoja wa mataifa?
Huu ni utumbo umeandikaNi mara ngapi makonda kaenda dodoma au mara ngapi magu kayaponda majizi na mahaini kwa maneno?
Au nyie mnaona hiyo aliyotandikwa risasi tu?
Anahaha!Huyu jamaa atapiga mayowe hadi sauti itamkauka. Si aende tu akashitaki umoja wa mataifa?