Tundu Lissu: Siku napigwa risasi Paul Makonda alikuwa Dodoma

Tundu Lissu: Siku napigwa risasi Paul Makonda alikuwa Dodoma



Hints:

Tundu Lissu anasema kuwa siku aliyopigwa risasi ndio siku Rais Magufuli alikuwa akipokea ripoti ya makinikia.

Na masaa mawili kabla ya shambulio lake alitangazia umma kuwa kuna mtu anapiga kelele sana huko nje na katika vita jeshini watu wa namna hiyo ni sawa na wasaliti hivyo kazi huwa ni moja kuuliwa tu.

Kumbuka ripoti hiyo ilikuwa inakabidhiwa jijini Dar huku mkuu wa mkoa wa mkoa huyo hakuwepo Dar alikuwa Dodoma.

Na cha ajabu eneo analoishi hulindwana masaa 24 na askari wenye silaha ila cha ajabu hawakuwepo kabisa katika viunga vya Area D.

Lakini hao Polisi wanaotaka kunihoji mimi hawajawai kumwita wala kumuhoji Makaonda akiwa kama suspect.

Na aliyesema anafaa kufa hajawai kuulizwa juu ya kauli yake.

Wala askari waliotakiwa kuwa lindo hawajawai kuulizwa walikuwa wapi siku ya tukio na nani aliwapa amri waondoke.

JIBU HOJA HII
Lizaboni
LIKUD
 
Makonda ni wa kufeli tu, hata ile specialization yake ya assassination nayo inamshinda. Lissu yuko anapumua. Nina imani hata Ben Saanane na Azory Gwanda tutawapata wakiwa hai
 
Lowasa na ccm yake hakuna anaye wahitaji tena labda mkaongoze hukoo dodoma
Hawezi sababu rais wetu kipenzi cha watanzania Mh Edward Lowasa hajamaliza kipindi chake cha urais wa Facebook JF Twitter na Instalgram hajamaliza mkuu
 
Hii ndiyo sura ya Bashite Leo hii akikumbuka miaka miwili kamili imepita aliyetumwa kummaliza yupo hai.
Na woga mkubwa wa Bashite ni kuwa pengine anahakika Lissu na Dereva walimtambua kwani hakuogopa kujificha akijua wanakufa, sasa kwa nini Lissu au dereva hawamtaji kumuona? Kwa nini wanatumia ile style inayoogopwa sana na wezi ambayo inaweza mfanya mwizi akimbilie polisi mwenyewe nayo ni KUMFUKUZA KIMYAKIMYA. Anajiuliza Lissu anampango gani na mimi kunifukuza kimyakimya?
tapatalk_1567837175477.jpeg
 
Leo Mugabe kafa hali alikuwa na uwezo wa kuamua nani aishi na afe. Unamuuwa mwanadamu mwenzio sababu ya tumbo unakufa unaviacha vyote duniani kama mugabe alivoacha vyote na kwenda kuona na Morgan Tsavingari sawa na kuukimbiza upepo hukumu duniani na mbinguni inakusubiria pia.
 
Leo Mugabe kafa hali alikuwa na uwezo wa kuamua nani aishi na afe. Unamuuwa mwanadamu mwenzio sababu ya tumbo unakufa unaviacha vyote duniani kama mugabe alivoacha vyote na kwenda kuona na Morgan Tsavingari sawa na kuukimbiza upepo hukumu duniani na mbinguni inakusubiria pia.
Makada wa CCM hawawezi kuelewa hiyo comment yako
 
Inasikitisha sana mwanasheria msomi anaongea kwa hisia badala ya facts.
I predict his spiral down fall even to beat the constant gravitational force.

Facts gani unataka upewe?

Mfano hebu sema uongo ulipo kwenye facts hizi;

1. Ni uongo kuwa Paul Makonda hakuwa Dar siku wanakabidhiwa ripoti ya makinikia ndani ya DAR mkoa anaouongoza?

2. Ni uongo kuwa Paul Makonda hakuwa Dodoma siku assassination attempt dhidi ya Lissu inatendeka? Kama ni uongo, sema wewe kwa facts zako alikuwa wapi....!!
 
Facts gani unataka upewe?

Mfano hebu sema uongo ulipo kwenye facts hizi;

1. Ni uongo kuwa Paul Makonda hakuwa Dar siku wanakabidhiwa ripoti ya makinikia ndani ya DAR mkoa anaouongoza?

2. Ni uongo kuwa Paul Makonda hakuwa Dodoma siku assassination attempt dhidi ya Lissu inatendeka? Kama ni uongo, sema wewe kwa facts zako alikuwa wapi....!!
Bashite na cyprian Musiba ndiyo waratibu wa shambulio ambalo lilitekelezwa na nyaulingo heri kisanduku huku wengine akina Le mutuz na wenzao wakisalia ndani ya Gari
 
Bashite na cyprian Musiba ndiyo waratibu wa shambulio ambalo lilitekelezwa na nyaulingo heri kisanduku huku wengine akina Le mutuz na wenzao wakisalia ndani ya Gari
kwani le mutuz ni kitengo?
 
Back
Top Bottom