Lakini ametimiza wajibu wake , hata kikinuka huko mblele serikali itakuwa imejiingiza yenyewe kwenye matatuzoSo sad Maana kapambana santa binafs nampa Maua yake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini ametimiza wajibu wake , hata kikinuka huko mblele serikali itakuwa imejiingiza yenyewe kwenye matatuzoSo sad Maana kapambana santa binafs nampa Maua yake.
Sindano tena mkuu ya nini tenaUnajidunga sindano ya kuondoa maumivu, siyo?
Endelea hivyo hivyo, na kawaambie wenzako wote wasiwe na wasiwasi, kwani jibu unalo wewe!
Lakini uamuzi wa Mwambukusi unazidi kupigilia msumari kuwa kwa mfumo uliopo, kamwe hatutoboi. Vijana wa tanganyika mpoo? ama mko bize na masuala ya simba na yanga? Tusipo amka tutaendelea kudharauliwa siyo tukiwa nje ya nchi tu hata hapa hapa bongo.Hii inanikumbusha kitabu cha The Godfather!! Haki dhidi ya serikali huwezi ipata mahakamani!!
Duniani kote hakuna uhuru uliopatikana mahakamani!!
Nilimshangaa mno Mwabukusi!
Binuka nikubamize.Ukimaliza cku zako,oga kwanza kabla ya kuja kwa marrijaali
EeeeenHeeeeee!Sindano tena mkuu ya nini tena
Mimi mwenyewe sipo hiyo milioni 60 inatoka wapi!Hao millioni sitini na ushee wote wanamuunga mkono huyo chiba?
Ndio nashangaa🤣Mimi mwenyewe sipo hiyo milioni 60 inatoka wapi!
Nawe utakuwa mwehu zaidi ya Lissu. Unafikiri sijui kuwa mawakili ni Maafisa wa Mahakama Kuu? Ninachokiuliza, anajiitaje Afisa wa Mahakama Kuu wakati anaiponda kuwa haitendi haki? Unawezaje kulikata tawi ulilolikalia? Huo ndio wehu wa Lissu.Kama wewe hujui kuwa mawakili wote ni maafisa wa Mahakama basi wewe ndiye mwehu na juha mkubwa
Kuna njia.3 za kudai haqi!Hii inanikumbusha kitabu cha The Godfather!! Haki dhidi ya serikali huwezi ipata mahakamani!!
Duniani kote hakuna uhuru uliopatikana mahakamani!!
Nilimshangaa mno Mwabukusi!
Binuka nikubamize.