Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Tanzania haiwezi kuishi bila dunia ila dunia inaweza kuishi bila Tanzania

Well said, Big up sana mkuu...naona we umenielewa kuzidi wote [emoji123]
 
We nae unavituko model za 1960 unataka Ku apply 2020?? ,hizo foreign reserve alizo save hadi sasa zipo ngapi???
 
Good
 
Hahaaa eti dogo. Brother punguza kula nyagi! Mimi ni mtu mwenye maisha yangu murua kabisa tofauti na wewe unayeshinda JF kupost na ku comment ujinga
Weka picha yako
 
Watz na ccm yenu mnashindwa kutengeneza hata toothpick tu halafu mnajilinganisha na North Korea. Pumbavuuu
Wewe na chadema yako, una wazo gani la kiteknolojia, ambalo Tz ya Wana CCM imekufanya ushindwe kuliempliment?? Au umejisikia kubweka tu hapa 🤔?
 
Magufuli hajajitenga na mataifa ya Magharibi yeye amejikita kazini Jambo ambalo mataifa ya Magharibi hawataki kuliona, ndio maana kumpa nchi Lissu ni sawa na kuiuza kwa mabeberu.
 
Mifumo yote miwili ya uchumi (Ujamaa-Socialism na Ubepari-Capitalism) ina faida zake na hasara zake pia, lakini kwa haraka ni kwamba kwenye ubepari (capitalism) uchumi unakuwa kwa haraka kwa sababu ya uhuru wa kibiashara na ushindani ingawa maskin wanakuwa wengi mno kuliko matajiri, na kwenye Socialism-Ujamaa uchumi unakuwa kwa pole pole ama kwa kawaida sana ila watu wote mnakuwa almost level sawa za kiuchumi, yaani si maskini sana wala si matajiri sana
 
Lakini usisahau kuwa tumekopa fedha nyingi za mabeberu kwa hi miaka 5 ya Magufuli
Si kweli kwamba kwa hii miaka mitano ya magufuli, pesa tulikuwa tunakopa tangu nyuma tena kikwete kakopa sana kuliko hata magu
 
Usidhani wote mburula humu! Corona tumeishinda kwa kuwa hatupimi tungeendelea kupima ungeona maajabu!! Kwanza naamini ni immunity zetu tu!!
Kama hatupimi mbona na tuna korona mbona hatufi ? Mbona kenya tu hapa majiran wanakufa
 
Najua akili yako imekutuma kwenye Impliment, siko huko Mimi [emoji23][emoji23] Kama hujaelewa tafuta dictionary.Afu ndo unataka kujiafanya ubongo mkubwa[emoji848]?
Ulichoandika ndio jibu la swali nililouliza ?

Kama swali dogo tu nimekuuliza, umeshindwa kulijibu, badala yake unajishika kiuno na kujichekesha kama dadapoa ndio unategemea utamshawishi mtu amchague babu yenu jiwe
 
Hahaaa hivi mnauwezo wa kujitengenezea dawa?
Vipi chanjo mtazipata wapi?
Mna viwanda vingapi vya magari?
Je, mnamitambo ya kuzalisha mashine?
Msiwatumbukize watanzania kwenye shimo ambalo hawataweza kutoka kamwe.

TL kasema ukweli. Na ukweli siku zote huwa ni mchungu
 
Haya basi tuambie kwa sasa huo mchanga una chenjuliwa wapi?
 
N.Korea ina technology ya juu,pamoja na vikwazo inajikongoja lakini China inaipa msaada mkubwa,Tanzania tecknolojia 0%,ikijitenga inakufa
Nafikiri issue siyo kujitenga, Tanzania haijitengi ila inachagua marafiki wenye faida na siyo marafiki wanyonyaji
 
Hawa chadema walimwita JK vasco dagama, hawahawa wanasema JPM hasafiri, hivi niwaulize ulishasikia queen elizabeth kasafiri? Kwahiyo UK Ina uhusiano mbaya na mataifa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…