Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
NimeshadaiNenda kadai Ada yako ulikosoma.
Emplimate maana yake nini ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NimeshadaiNenda kadai Ada yako ulikosoma.
Mh Rais JPM wala hajajitenga na hizo nchi, bali amejikita zaidi katika kuhakikisha rasilimali za Tanzania zote zinanufaisha kwanza Tanzania na watu wake.akasema akishinda uraisi basi atahakikisha anarudisha mahusiano mema ya Tanzania na nchi za magharabi ambazo Magufuli anaonekan a kujitenga nazo.
Well saidAisee...! bado anapita Mule mule...kuwa Lissu anatudharau watanzania. Na hii inahitimisha kile nilichokuwa nimekidhani kwa Lissu, kuwa naweza kutuuza watanzania kwa mafungu!
Yaani kabisa, unawania nafasi ya kuwaongoza watanzania halafu unatoa kauli 'irresponsible' kama hizi kuwa hauamini katika uendelevu wa uhai wa Taifa lako!! Nchi nyingi...kauli kama hii inaweza kuchukuliwa kama 'uhaini'.
Hata hivyo, ngoja nipate uhakika kama kayasema haya kweli ama la! Najua ni kipindi cha kampeini chochote cha weza kuletwa JF.
Nimeanza kupat wac wac na huyu jamaa kwenye hii miaka 3 aliyokuwa nje ya nchi kimatibabu [emoji16][emoji16][emoji16]Wakala wa wazungu huyo achana nae mkuu,keshapewa mpunga sasa anahangaika kuwaridhisha wanaume Ulaya.
Tupe maana ya neno dawa! Kwa sababu huko mbeleni tunaweza kushindwa kuelewana kwa sababu tumepishana maana ya neno dawa.Hahaaa hivi mnauwezo wa kujitengenezea dawa?
GoodKitendo cha kusema dunia inaweza kuwepo bila tanzania ni kwamba sisi tupo kwa ajili ya mabeberu.watutumikishe wanavo taka.uchumi unachanganywa na wanasiasa
.
Kuna kitu nilikisoma kinaitwa :economic hitman
Ukisoma hii utaona jinsi gani kuwa lisu kuna sehemu hana itaji na yeye ushauri japo anajua sheria
Well Said [emoji123]kwan unadhan innovation inafanywa na serikali ama watu binafsi, we ulidhan computer zimeletwa na serikali ya putin? watu binafsi ndo wanaofanya innovation, ukiona nchi yako haipo then sio serikali bali the people themselves, magufuli anajitahidi kuweka uwekezaji mtu anakwambia mishahara, sasa unaona nan anawaza pumba apa?
Listen you little minded staff! I work with Kenyans right here and they are very straight, Corona japo inatangazwa Kenya lakn hakuna mwenye uhakika what is going on ile ni nchi ya wapigaji nachochukia Mimi ni kutoa credit za bure, huwezi kuzuia air Bourne disease kwa maombi tu a kwa inscientific measures kama kujifukiza tunadanganyana mchana kweupeKama hatupimi mbona na tuna korona mbona hatufi ? Mbona kenya tu hapa majiran wanakufa
Tofautisha uhusiano mzuri na uhusiano wa kibalozi.Kwanza kabisa, serikali ya Magufuli haijajitenga na nchi za magharibi - hivyo kujadili huu uzi ni basi tu! Maana Lissu anaongopa kuhusu jambo hilo. Juzi juzi balozi wa marekani amewasilisha vitambulisho vyake kwa JPM. Pia nchi nyingi za EU zina wawakilishi wao hapa nchini.
Usilinganishe Korea/Cuba na Tanzania. Alichofanya JPM ni kutojipendekeza kwa wazungu kama viongozi wengi wa Afrika wanavyofanya. Lissu akipewa uraisi ataturudisha nyuma enzi za Mobutu na maraisi wengi wa nchi za Francophone.
Mjinga kabisa wewe na wanao likeWale genetically born Wana akili, Sasa we linganisha na watu wako hata kutengeneza choo hawaeezi wanajisaidia porini Kama ngedere,
Sisi bado Sana ku catch up na dunia inabidi tusaidiwe Kwanza Kuna generation zitakuja kustaarabika baadaye
😂😂😂😂😂😂Tanzania ilikuwepo...Mtu wa kale aliishi Tanzania
Lisu anapenda ufisadi, anataka aunge juhudi kufunga nchi na kuzuia watu wasifanye kazi kisa corona. Mbona sasa mataifa ya kigeni wanafurahia Tanzania kuliko Kenya?Wakuu habarini za jioni,
Natumai mko salama na mnaendelea na majukumu yenu.
Nimeona niulete huu uzi wa mheshemiwa Tundu Lisu hapa tuujadili ili tuone kama kweli hoja hii ina mashiko . Nimemsikiliza huu mheshimiwa (Tundu Lisu) akiwa Shinyanga anasema kuwa Tanzania haiwezi kuishi bila Dunia ila Dunia inaweza kuishi bila Tanzania, na akasema akishinda uraisi basi atahakikisha anarudisha mahusiano mema ya Tanzania na nchi za magharabi ambazo Magufuli anaonekan a kujitenga nazo.
Je ni kweli kuwa Tanzania haiwezi kuendelea bila mahusiano mema na nchi za kibepari ? Kama ni kweli Je vipi kuhusu nchi kama Korea Kaskazini na Cuba ambazo ni kama zimetengwa na ulimwengu hasa mataifa makubwa lakini mbona wanaishi ?
Ukiangalia korea kaskazini ina uhusiano na China na Urusi pekee lakini Je mbona wanaendelea kusonga mbele na wameweza hadi kutengeza silaha za Nuclear kuwatisha hadi wamarekani, nawasilisha
Sisi tumetake risk wa kufa afe wa kuishi aishi na hicho kimesaidia, maana dunia haina full understanding na Corona it's a new disease, kwamba Kama una immunity ya kutosha you will survive, most of viral disease ipo hivyo kama nyie wajanja ebu anzen kuomba ukimwi uisheHatupimi? Tumepima mpaka mapapai mkuu, tukagundua janja janja zilizopo kwenye hii corona, hao wanaopima pima mbona kila siku wanahaha... wakat bongo daladala zinajaza kama kawa sasaiv tena without masks na maisha yanaenda kama kawa. Funguka duniani maigizo mengi
Ni kweli tupuWakuu habarini za jioni,
Natumai mko salama na mnaendelea na majukumu yenu.
Nimeona niulete huu uzi wa mheshemiwa Tundu Lisu hapa tuujadili ili tuone kama kweli hoja hii ina mashiko . Nimemsikiliza huu mheshimiwa (Tundu Lisu) akiwa Shinyanga anasema kuwa Tanzania haiwezi kuishi bila Dunia ila Dunia inaweza kuishi bila Tanzania, na akasema akishinda uraisi basi atahakikisha anarudisha mahusiano mema ya Tanzania na nchi za magharabi ambazo Magufuli anaonekan a kujitenga nazo.
Je ni kweli kuwa Tanzania haiwezi kuendelea bila mahusiano mema na nchi za kibepari ? Kama ni kweli Je vipi kuhusu nchi kama Korea Kaskazini na Cuba ambazo ni kama zimetengwa na ulimwengu hasa mataifa makubwa lakini mbona wanaishi ?
Ukiangalia korea kaskazini ina uhusiano na China na Urusi pekee lakini Je mbona wanaendelea kusonga mbele na wameweza hadi kutengeza silaha za Nuclear kuwatisha hadi wamarekani, nawasilisha
Ila wahuni wa singeli sio watu, Leo magufuli na ubabe wake wote wahuni wamempigisha magoti.Tofautisha uhusiano mzuri na uhusiano wa kibalozi.
N.korea ina uhusiano na Ujerumani lakini ujerumani ni moja wapo wa nchi iliyo iwekea vikwazo N.korea.
Iran ina uhusiano kibalozi na karibia mataifa yote ya ulaya lakini umoja wa ulaya umeliwekea vikwazo taifa hilo.
Hakika? Hawawezi kupata mbadala kabisa na maisha yakaendelea?Ndio wakenya bila sisi watakufa njaa
Marafiki wenye faida wap hao China au ?haaaaa daah.Nafikiri issue siyo kujitenga, Tanzania haijitengi ila inachagua marafiki wenye faida na siyo marafiki wanyonyaji