Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Tanzania haiwezi kuishi bila dunia ila dunia inaweza kuishi bila Tanzania

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Tanzania haiwezi kuishi bila dunia ila dunia inaweza kuishi bila Tanzania

Just emagine, taifa dogo lingeweza kuwa na migogoro na USA..? Naamini USA awezi kufanya battling na taifa lolote la kimasikini ambalo limeizidi kila kitu, So ukiona N.Korea, Iran sijui Cuba wanaweza kufanya battling na Marekana basi fahamu nao si haba(wameadvance)

Wameadvance kwasababu wamesimamia misingi yao ya kujitegemea na kujiweka mbali na ubepali.
 
..Mwalimu aliwafukuza wafanyabiashara wakubwa na kutaifisha viwanda, mabenki, etc.

..watu hawakuondoka kwa hiari yao, walinyang'anywa mali na biashara zao.

..hatua hizo za utaifishaji za Mwalimu Nyerere zilisababisha zao kama la mkonge kuporomoka.

..zao hilo liliporomoka kwasababu Mwalimu Nyerere hakuwa na watu wenye ujuzi na uzoefu wa kuendesha mashamba, viwanda, na biashara ya mkonge.

..Na kipindi hicho Tanzania tulikuwa miongoni mwa nchi zinazoongoza kwa uzalishaji wa mkonge duniani.

..Mwalimu pia alianzisha mfumo wa vijiji vya ujamaa na mpango huo ulitiliwa mkazo mkubwa maeneo ya kusini mwa Tanzania.

..wananchi walikuwa wanahamishwa toka maeneo waliyoishi kwa muda mrefu, na kupelekwa maeneo mapya ya vijiji vya ujamaa.

..wakati wa zoezi hilo wako wananchi wengi waliacha mashamba yao ni kwenda maeneo mapya. mpango wa vijiji vya ujamaa ulisababisha kilimo kuathirika sana mikoa ya kusini na kupelekea zao la korosho kuporomoka.

..kuna viwanda vilikuwa vinafanya vizuri kabla ya zoezi la utaifishaji lakini navyo viliporomoka kwasababu walioteuliwa kuviongoza walikuwa hawana ujuzi wala uzoefu ktk kuendesha viwanda hivyo.

..Mwalimu hakutakiwa kutaifisha mali za watu, alichotakiwa kufanya ni kuanzisha makampuni ya serikali/umma yafanye kazi bega kwa bega na makampuni ya watu binafsi.

..Ni lazima tuwe wakweli kuhusu nini kilisababisha uchumi wetu ukaporomoka wakati wa utawala wa Mwalimu Nyerere.

NB:

..kipindi chote cha utawala wa Mwalimu Nyerere isipokuwa kipindi kifupi cha mwaka 1980--84 Tanzania ilikuwa miongoni mwa nchi zilizokuwa zikipokea misaada mingi zaidi kutoka nchi za magharibi.
Tunakubaliana kwamba ujamaa + kukosa ujuzi na maarifa ni kuleta majanga.

Tusichokubaliana (pengine ni mimi au wewe kutokuwa na stori kamilifu) ni sababu zilizosababisha wazungu kuondoka.

Kama nakumbuka vizuri hotuba/mahojiano na Nyerere kabla na baada ya uhuru, ilikuwa Nyerere analazimisha weusi kwa wazungu waishi kama raia wa nchi moja chini ya sheria moja na usawa mmoja.

Wazungu walizoea kuishi kama first class citizens -- kibao kugeuka na kuambiwa lazima waanze kusimamiwa na kulipa kodi inayokusanywa na waliokuwa third class citizen (second class walikuwa waasia), hii haikuwakaa vyema.

Kuambiwa kwamba mashule wanayoyasimamia wao hata mtoto wa aliyekuwa Mnyapara anapaswa asome, hii haikuwakaa vyema.

Ndicho hasa kilichomsukuma Nyerere aanzishe Azimio la Arusha.

Alitaka kuona nchi inakua bila kumuacha mtu yeyote nyuma.

Asikwambie mtu, Tanzania inaweza kuwa kwenye mahesabu ya kiuchumi iliachwa nyuma kwa siasa za Nyerere, lakini ni siasa hizo hizo zilizofanya nchi yetu kila mmoja ana fursa sawa, hata leo hii.

Tungeedelea na utaratibu wa awali tungekuwa kama style ya South Africa leo. Una utajiri wa kutupwa na umaskini wa kutupwa ndani ya nchi moja. Cha kushangaza matajiri ni watu wa rangi moja na maskini ni watu wa rangi nyingine.

Si kila kingaacho ni dhahabu, Tanzania ina nafuu sana kwa utaratibu wetu huu wa sasa, na tunaweza kusonga mbele kwa pamoja bila mtu kuachwa nyuma.
 
Kuna mtu anataka kuishi bila majirani..kwamba yeye na familia yake ati wanajiweza...wakati 80% ya wanafamilia hao wanakula nusu mlo kwa siku, yaani kipato cha kaya dola 2 hadi 3 kwa siku.
Kwahiyo unataka waende wakavizie vyakula vya majirani?

Fanya kazi kwa juhudi upate vya kwako.
 
Cha msingi huyu Mgombea na watu wenye fikra kama zake wanatakiwa kujua, sio kwamba Tz haitaki uhusiano na mataifa mengine iwe west or east, lakini JPM focus yake kwa sasa ni kurekebisha mambo yetu ya ndani ili tuweze kufanya biashara yenye tija zaidi na nchi zote .
Hivyo hili la kusema tunajitenga au hatutaki mahusiano na nchi zingine ni ndoto au propaganda za hao wanaoropoka ili kukuonyesha JPM kama mtu Mbaya n.k
Na wao waenezao chuki wapate pakupita kwa ujinga wetu wenyewe.
Fikra muhimu kama hizi msiishie kusema mtandaoni tu, mseme hata huko nyumbani, mtaani hata sehemu za kazi. Zikiishia mtandaoni kumbuka kuna watu simu janja hawana.
 
Wale watu wanaakili hilo ulijue tofauti na huku porini tunako ishi mbona huyo muungu wenu wa chato kasema yy ataifanya Tanzania kama ulaya

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Wale genetically born Wana akili, Sasa we linganisha na watu wako hata kutengeneza choo hawaeezi wanajisaidia porini Kama ngedere,
Sisi bado Sana ku catch up na dunia inabidi tusaidiwe Kwanza Kuna generation zitakuja kustaarabika baadaye
Mkuu umeuwa nzi kwa nyundo.
 
Wale genetically born Wana akili, Sasa we linganisha na watu wako hata kutengeneza choo hawaeezi wanajisaidia porini Kama ngedere,
Sisi bado Sana ku catch up na dunia inabidi tusaidiwe Kwanza Kuna generation zitakuja kustaarabika baadaye
- Wewe mpaka sasa bado hujastarabika.
- Wewe ni muoga huna fikra za kujiamini kwanza ili ufanikiwe.
 
Wale genetically born Wana akili, Sasa we linganisha na watu wako hata kutengeneza choo hawaeezi wanajisaidia porini Kama ngedere,
Sisi bado Sana ku catch up na dunia inabidi tusaidiwe Kwanza Kuna generation zitakuja kustaarabika baadaye
Acha uzwazwa, shida kwakiwango kikubwa ndizo zinaleta ubunifu. Huwezi buni kitu ambacho kipo.
 
Kwa anko Magu kujitenga ametengeneza hata kimpumu?
Usitufananishe TZ na wavuta bangi wa Korea ama Cuba hizo chapa hatuwezi kufanana nazo hivyo tusijitenge na dunia tutaumia Sana
Wakuu habarini za jioni,

Natumai mko salama na mnaendelea na majukumu yenu.

Nimeona niulete huu uzi wa mheshemiwa Tundu Lisu hapa tuujadili ili tuone kama kweli hoja hii ina mashiko . Nimemsikiliza huu mheshimiwa (Tundu Lisu) akiwa Shinyanga anasema kuwa Tanzania haiwezi kuishi bila Dunia ila Dunia inaweza kuishi bila Tanzania, na akasema akishinda uraisi basi atahakikisha anarudisha mahusiano mema ya Tanzania na nchi za magharabi ambazo Magufuli anaonekan a kujitenga nazo.

Je ni kweli kuwa Tanzania haiwezi kuendelea bila mahusiano mema na nchi za kibepari ? Kama ni kweli Je vipi kuhusu nchi kama Korea Kaskazini na Cuba ambazo ni kama zimetengwa na ulimwengu hasa mataifa makubwa lakini mbona wanaishi ?

Ukiangalia korea kaskazini ina uhusiano na China na Urusi pekee lakini Je mbona wanaendelea kusonga mbele na wameweza hadi kutengeza silaha za Nuclear kuwatisha hadi wamarekani, nawasilisha
 
Dogo baba ako, afu tuendelee :-

Utafiti upi unaozungumzia?, kama ndio huo utafiti wa kizungu kukuaminisha wewe ni inferior kwa kila kitu huo ni ujinga wako.
School boy!
Mfano rahisi Ni mambo wanayofanya viongozi wa ccm yanadhibitisha na kudhibitisha uduni wa akili ya mtu mweusi
Kwa mujibu wa tafiti

Bisha nikupe mifano
 
Wakuu habarini za jioni,

Natumai mko salama na mnaendelea na majukumu yenu.

Nimeona niulete huu uzi wa mheshemiwa Tundu Lisu hapa tuujadili ili tuone kama kweli hoja hii ina mashiko . Nimemsikiliza huu mheshimiwa (Tundu Lisu) akiwa Shinyanga anasema kuwa Tanzania haiwezi kuishi bila Dunia ila Dunia inaweza kuishi bila Tanzania, na akasema akishinda uraisi basi atahakikisha anarudisha mahusiano mema ya Tanzania na nchi za magharabi ambazo Magufuli anaonekan a kujitenga nazo.

Je ni kweli kuwa Tanzania haiwezi kuendelea bila mahusiano mema na nchi za kibepari ? Kama ni kweli Je vipi kuhusu nchi kama Korea Kaskazini na Cuba ambazo ni kama zimetengwa na ulimwengu hasa mataifa makubwa lakini mbona wanaishi ?

Ukiangalia korea kaskazini ina uhusiano na China na Urusi pekee lakini Je mbona wanaendelea kusonga mbele na wameweza hadi kutengeza silaha za Nuclear kuwatisha hadi wamarekani, nawasilisha
We mwenyewe unasema Korea kasikazini inashirikiana na Urusi, China afu unataka ufananishe na alichokisema TL, Hata hivyo hukuona Pamoja kwamba USA na Korea kaskazini uhusiano wao sio mzri lakini viongozi wao wakuu walishahi kukutana ili kuiweka diplomasia mbele badala ya ubabe tu.
 
Tunakubaliana kwamba ujamaa + kukosa ujuzi na maarifa ni kuleta majanga.

Tusichokubaliana (pengine ni mimi au wewe kutokuwa na stori kamilifu) ni sababu zilizosababisha wazungu kuondoka.

Kama nakumbuka vizuri hotuba/mahojiano na Nyerere kabla na baada ya uhuru, ilikuwa Nyerere analazimisha weusi kwa wazungu waishi kama raia wa nchi moja chini ya sheria moja na usawa mmoja.

Wazungu walizoea kuishi kama first class citizens -- kibao kugeuka na kuambiwa lazima waanze kusimamiwa na kulipa kodi inayokusanywa na waliokuwa third class citizen (second class walikuwa waasia), hii haikuwakaa vyema.

Kuambiwa kwamba mashule wanayoyasimamia wao hata mtoto wa aliyekuwa Mnyapara anapaswa asome, hii haikuwakaa vyema.

Ndicho hasa kilichomsukuma Nyerere aanzishe Azimio la Arusha.

Alitaka kuona nchi inakua bila kumuacha mtu yeyote nyuma.

Asikwambie mtu, Tanzania inaweza kuwa kwenye mahesabu ya kiuchumi iliachwa nyuma kwa siasa za Nyerere, lakini ni siasa hizo hizo zilizofanya nchi yetu kila mmoja ana fursa sawa, hata leo hii.

Tungeedelea na utaratibu wa awali tungekuwa kama style ya South Africa leo. Una utajiri wa kutupwa na umaskini wa kutupwa ndani ya nchi moja. Cha kushangaza matajiri ni watu wa rangi moja na maskini ni watu wa rangi nyingine.

Si kila kingaacho ni dhahabu, Tanzania ina nafuu sana kwa utaratibu wetu huu wa sasa, na tunaweza kusonga mbele kwa pamoja bila mtu kuachwa nyuma.

..Azimio la Arusha lina component mbili ambazo ni maadili ya viongozi, na siasa ya ujamaa na kujitegemea.

..kwa uelewa wangu halikuhusisha masuala ya mashule yaliyokuwa yakipokea watoto wa kizungu na kiasia, pia halikuhusisha masuala ya nafasi za kiutawala kuchukuliwa na waafrika.

..ukisoma literature mbalimbali za azimio la arusha utaona sehemu ambapo linazungumzia ukosefu wa maadili miongoni mwa waafrika waliopewa nafasi za uongozi ambapo inadaiwa kuliibuka tabaka la "wabenzi," kwa maana ya waafrika walioanza kuendesha magari ya mercedes benz.

..baada ya uhuru kulikuwa na program inaitwa AFRICANIZATION, hii ilikuwa ni program ya kuwapandisha madaraja watumishi wa serikali wa kiafrika ili washike nafasi za madaraka na maamuvi ktk civil service, na taasisi nyingine kama polisi na jeshini.

..Actually habari za chinichini zinasema Mwalimu hakuwa muumini mkubwa wa Africanization. Inasemekana radicals kama Mzee Kawawa ndio waliokuwa mstari wa mbele kuutekeleza bila kuyumba mpango wa Africanization.

..sasa wazalendo waliopata nafasi kupitia program ya Africanization ndiyo walianza kuishi kibwanyenye ndio walikuwa walengwa wa component ya maadili ya viongozi ktk azimio la arusha.

..Mimi kwa maoni yangu Azimio la Arusha ndiyo limesababisha wazawa tuwe nyuma kiuchumi. Azimio liliwatisha wazawa na kuwakatisha tamaa kujiingiza ktk biashara kubwa, ukulima mkubwa, na ujasiriamali. Entrepreneurial spirit ya taifa letu ilikufa kabisa kutokana na azimio la arusha. Pia limesababisha waTz tuwe na wivu na tuchukie matajiri hata waliopata utajiri kwa njia za halali. Watanzania tumekuwa na tabia ya "bora tukose wote."
 
Ni sahihi pia kusema Lissu hauwezi kuishi bila Robert Amsterdam & Partners LLP
 
..Azimio la Arusha lina component mbili ambazo ni maadili ya viongozi, na siasa ya ujamaa na kujitegemea.

..kwa uelewa wangu halikuhusisha masuala ya mashule yaliyokuwa yakipokea watoto wa kizungu na kiasia, pia halikuhusisha masuala ya nafasi za kiutawala kuchukuliwa na waafrika.

..ukisoma literature mbalimbali za azimio la arusha utaona sehemu ambapo linazungumzia ukosefu wa maadili miongoni mwa waafrika waliopewa nafasi za uongozi ambapo inadaiwa kuliibuka tabaka la "wabenzi," kwa maana ya waafrika walioanza kuendesha magari ya mercedes benz.

..baada ya uhuru kulikuwa na program inaitwa AFRICANIZATION, hii ilikuwa ni program ya kuwapandisha madaraja watumishi wa serikali wa kiafrika ili washike nafasi za madaraka na maamuvi ktk civil service, na taasisi nyingine kama polisi na jeshini.

..Actually habari za chinichini zinasema Mwalimu hakuwa muumini mkubwa wa Africanization. Inasemekana radicals kama Mzee Kawawa ndio waliokuwa mstari wa mbele kuutekeleza bila kuyumba mpango wa Africanization.

..sasa wazalendo waliopata nafasi kupitia program ya Africanization ndiyo walianza kuishi kibwanyenye ndio walikuwa walengwa wa component ya maadili ya viongozi ktk azimio la arusha.

..Mimi kwa maoni yangu Azimio la Arusha ndiyo limesababisha wazawa tuwe nyuma kiuchumi. Azimio liliwatisha wazawa na kuwakatisha tamaa kujiingiza ktk biashara kubwa, ukulima mkubwa, na ujasiriamali. Entrepreneurial spirit ya taifa letu ilikufa kabisa kutokana na azimio la arusha. Pia limesababisha waTz tuwe na wivu na tuchukie matajiri hata waliopata utajiri kwa njia za halali. Watanzania tumekuwa na tabia ya "bora tukose wote."
Nakubali kwamba huo ubwanyenye uliojitokeza katika azimio la Arusha ndicho miongoni mwa vile ninavyoviita "watu wetu kutokuwa na elimu na maarifa" ya kutuongoza katika uchumi shindani. Uchina na Urusi ya wakati ule kuna mijitu ilikuwa imeshiba kimaarifa na ujamaa wao ulienda sambamba na weledi. Kuna tofauti kubwa kati ya meneja wa kiwanda cha serikali anayeongoza kwa kufuata weledi na kanuni za ushindani wa kibiashara kwa ajili ya maslahi ya umma, na meneja wa kiwanda cha serikali asiye na maarifa wala weledi wala ubunifu wowote.

Watu wenye sifa hizo walikuwepo, ni wazungu, lakini hawakuamini au kukubali katika kujitoa sadaka ya ujamaa kwa ajili eti ya nchi ya watu weusi.

Suala kwamba tuengeendelea na siasa hizo tungekuwa mbali kiuchumi....may be!

But kwa gharama kubwa sana, maana kuna mikoa na watu ingekuwa ndoto kutoboa. Usiende mbali chukulia mfano South Africa.

Nakwambia hiyo nchi ni nchi mbili maskini na tajiri ndani ya nchi moja, na ubaguzi uliokithiri kunakosababishwa na pengo la walio nacho na wasio nacho. Ujamaa sio mbaya kivile, ni namna mnavyouendesha.


So
 
Back
Top Bottom