Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 12,893
- 20,089
Labda nyieTanzania inamhitaji Tundu Lissu kuliko yeye anyo uhitaji Urais.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda nyieTanzania inamhitaji Tundu Lissu kuliko yeye anyo uhitaji Urais.
[emoji23][emoji23][emoji23]Mzee wa faraga mwaka huu sijui atamwambia nini yule beberu wake maana 20% zake zinamsubiri.[emoji23][emoji23][emoji23] Amani Msumari mbavu zangu hahahaaaa
Mkuu waache wajifariji mkuu!Hiki ni kituko cha karne!
Lisu maono yake ni ya jana!Niko Kwa aliyena mtazamo wa Tanzania ya kesho siyo huyo mwenye Tanzania ya Jana
Magu uko juuu, na nadhani kwamba, hakuna atakayeungana na mwenye maono ya Jana kuhusu Tz
Asijekumgemza mboga dah[emoji23][emoji23][emoji23]Mzee wa faraga mwaka huu sijui atamwambia nini yule beberu wake maana 20% zake zinamsubiri.
VITUO HEWA VYA TUME HIVI HAPA
Acheni kuchezea AmaniWewe ndiyo uliyevaa nguo za mgambo au?
Amani ipi?Acheni kuchezea Amani
Mbowe harudi bungeniAcheni kuchezea Amani
Vituo hewa labda ila si kwa kuraMambo yanaenda Kasi Sana. Leo wamachame wamebeba masalee kumuomba mzee baba msamaha
Vituo hewa labda ila si kwa kura
Watakaoharibu Amani ya Tanzania ni CCMMtajitekenya sana safari hii.
Means bwana Tundu kaokotwa?Hizo ni kazi za mlio waokota majalalani.
CCM ndiyo mshindi inakubalika sana na watz umeona Kanda ya Kaskazini jinsi Rais alivyopokelewa wakati last week mlikuwa mnasema atapopolewa mawe. Tukawaambia mjaribu muone tutakavyowafundisha adabu.Watakaoharibu Amani ya Tanzania ni CCM
Hili n kweli kabisa. Umma umesema ndio kwa Rais Magufuli na utathibitisha tar 28 jumatano ijayoWhen the public says yes no body can say no.
Nasema hivi mkishindwa kubalini kuachia madarakaCCM ndiyo mshindi inakubalika sana na watz umeona Kanda ya Kaskazini jinsi Rais alivyopokelewa wakati last week mlikuwa mnasema atapopolewa mawe. Tukawaambia mjaribu muone tutakavyowafundisha adabu.
Kwa njia hii?Hili n kweli kabisa. Umma umesema ndio kwa Rais Magufuli na utathibitisha tar 28 jumatano ijayo