Kunaendelea kukuchaWakuu,
Hatimaye Tundu Lissu amefichua alifhoenda kuzungumza na Balozi wa Norway:
Lissu kupitia ukurasa wake wa X amesema:
"Balozi Tine Tonnes wa Norway ametukaribisha kwa mazungumzo kwenye makazi yake rasmi mjini Dar. Tumepata fursa ya kumweleza Balozi Tonnes juu ya hali ya kisiasa nchini na msimamo wetu wa 'Bila Mabadiliko Hakuna Uchaguzi.'
Falme ya Norway ni rafiki wa miaka mingi wa Tanzania; ni muhimu kuwashirikisha marafiki zetu wa kimataifa juu ya matatizo ya mfumo wa kiimla wa uchaguzi unaofanya chaguzi zetu kuwa za hovyo"
Safi sanaWakuu,
Hatimaye Tundu Lissu amefichua alifhoenda kuzungumza na Balozi wa Norway:
Lissu kupitia ukurasa wake wa X amesema:
"Balozi Tine Tonnes wa Norway ametukaribisha kwa mazungumzo kwenye makazi yake rasmi mjini Dar. Tumepata fursa ya kumweleza Balozi Tonnes juu ya hali ya kisiasa nchini na msimamo wetu wa 'Bila Mabadiliko Hakuna Uchaguzi.'
Falme ya Norway ni rafiki wa miaka mingi wa Tanzania; ni muhimu kuwashirikisha marafiki zetu wa kimataifa juu ya matatizo ya mfumo wa kiimla wa uchaguzi unaofanya chaguzi zetu kuwa za hovyo"
nadhan wamewatambua kwamba kweli Tz Kuna vibaka na matepeli wa siasa, right ?πWakuu,
Hatimaye Tundu Lissu amefichua alifhoenda kuzungumza na Balozi wa Norway:
Lissu kupitia ukurasa wake wa X amesema:
"Balozi Tine Tonnes wa Norway ametukaribisha kwa mazungumzo kwenye makazi yake rasmi mjini Dar. Tumepata fursa ya kumweleza Balozi Tonnes juu ya hali ya kisiasa nchini na msimamo wetu wa 'Bila Mabadiliko Hakuna Uchaguzi.'
Falme ya Norway ni rafiki wa miaka mingi wa Tanzania; ni muhimu kuwashirikisha marafiki zetu wa kimataifa juu ya matatizo ya mfumo wa kiimla wa uchaguzi unaofanya chaguzi zetu kuwa za hovyo"
...TL hafai hata kuwa mwenyekiti wa familia ya wenye AKILI....nadhan wamewatambua kwamba kweli Tz Kuna vibaka na matepeli wa siasa, right ?π
yaan na wengine waige utapeli wa kibaka wa siasa, right?πHawa CCM bila hivi hawaelewi lazima dunia ijue huyu Bi kawadhulum hata CCM wenzake wasigombee kiti.cha Urais.
uskute kaenda kuomba pesa ya pocket money halafu anakuja kuhadaa anaowaongoza nje π...TL hafai hata kuwa mwenyekiti wa familia ya wenye AKILI....
....njaauskute kaenda kuomba pesa ya pocket money halafu anakuja kuhadaa anaowaongoza nje π