Tundu Lissu: Tutazipima kauli za Kikwete kwenye Kamati ya Katiba, Sheria na Utawala!

Tundu Lissu: Tutazipima kauli za Kikwete kwenye Kamati ya Katiba, Sheria na Utawala!

Nimeamini Tundu Lissu, ni mzandiki anatakaka kuminyana hata kwenye ili.
 
Kadanganya Watanzania juu ya Wajumbe wa kutoka TEC na CCT kuto kuteuliwa! Anakuja na ngonjela za Zanzibar! Alichosema JK Uzandiki wa Lissu ni kudanganya watu juu ya TEC na CCT aseme hapo

yule zeruzeru wa chama cha walemavu hakupendekezwa na chama chake, sijui raisi kamtoa wapi.
 
Wakuu kamanda Lissu anafanya press, sasa hivi Makao Makuu ya Chadema na haya ndiyo amezungumza;
j
- Wadau wa Zanzibar hawajashirikishwa hata kidogo na hawakuwepo kwenye ratiba ya Kamati.
- Kamati ilipanga kwenda Zanzibar kutembea na sio kuonana na wadau, kwa sabab walitakiwa pkutembelea miradi ya TASAF, OFISI YA MAKAMU WA RAIS NA OFISI YA BUNGE.
- Wakakataa na kuomba kwa katibu wa Bunge kuwaona wadau wa Zanziba, Katibu wa Bunge alikubali.
- Walitengeneza orodha ya wadau.
- Yalianza maneno pembeni kuwa hakuna usalama Zanzibar wakati huohuo Kamati ya Ulinzi na Usalama ilikuwa Zanzibar.
- Wakazuiliwa kwenda na hivyo hakuna mdau wa Zanzibar aliyehusishwa.
- Kama haya ni makosa uzandiki na unafiki unatoka wapi wakati hoja ya kwenda Zanzibar yeye aliyeitoa?

Nitaendelea kuwapa update

- Kama hakuna ulazima kwa mujibu wa kanuni kwenda Zanzibar ofisi ndogo za Bunge Zanzibar zina maana gani, kwa hili rais amepotoka na hajui analolifanya.
- Hawajawahi kukutana na mjumbe wa Baraza la wawakilishi Zanzibar, na hata M/sheria amekiri.
UTEUZI KWENYE TUME YA KATIBA
- Hoja ni mamlaka ya Rais kuteua wajumbe 166
- Walipinga 2011 Ikaondolewa na wakairudisha tena kwenye muswada huu
- Uteuzi wa wajumbe wa Tume usilinganishwe na uteuzi wa wajumbe wa Bunge la Katiba. Ushahidi wa TEC , CCT na Shirikisho la walemavu kutoteuliwa pamoja na kupeleka majina kwa Rais ulitolewa kwenye Kamati ya Bunge, uongo wake unatoka wapi?
- Shirikisho la walemavu halikumpendekeza Al Shaimar Kwegir na hivyo Rais aliteua watu alkyewaona yeye wanafaa. Uongo unatoka wapi?

Maneno ya Rais,
- Hatamuita mzindiki, mnafiki wala mwongo ila ametoa hitimisho kwa maneno ya sikia sema (hearsay) kwa sababu ametumia maneno "nimeambiwa, nimesikia na nimejulishwa" mara tisa kwenye hotuba yake.

Kuhusu kuwa na mazungumzo ya pamoja;
- Kama ana nia njema basi asiusaini muswada na Katiba inamruhusu kufanya hivyo.
- Akiusaini ataendekeza mambo ya kiccm na hana haja ya kuaminiwa tena.
- Kamati ya Sheria na Utawala ya Bunge inakutana kuanzia kesho na hivyo anasubiri sheria husika iliyopitishwa kinyemela kurudishwa Bungeni.

Mwisho. Anakaribisha maswali;

- Ukiwa na mchakato mbovu yatatokea mambo kama ya Zimbabwa miaka 16 ndiyo ikapata Katiba na Kenya miaka 11 ndipo wakapata Katiba, kwa sababu mwanzoni hakukuwa na mchakato shirikishi.
- Wanachokifanya CCM sasa ndicho walichokifanya KANU kule Kenya
- Wananchi hawatanyamaza kamwe katika mchakato huu.
Ts ur our icon
 
tidu lisu. anayekufahamu kuwa wewe ni munafiki.munzadiki.halafu alipeleza.lisema ovyo.lipiga kelele.lipotezaji la muda bungeni. likoswa hekima na maarifa wakati nilisomi.siyo rais pekee hata sisi watanzania na wananchi wakawaida. kwahiyo lisu munapo fika ajeda zito kama hizi zakuzungumuzia musitakabali wa nchi uwe unatulia nakujipanga kwakuwa wewe ni musomi hapo lazima kitokee cha maana.siyo kuwa unakurupuka na nakuaza kuota harusi silaa na josephina itakuwa lini.
Umekurupuka kama aliyefumaniwa na mke wa mtu!
 
Mi mate itawaruka sana kama mumeona ukwaju lakini ukweli unabaki pale pale Tundu Lissu ni "MNAFIKI" a.k.a MZANDIKI

Na rais Kikwete anayepambana na raia wake jukwaani kwa mipasho unamuuitaje? Poor you!
 
Maneno ya hekima haya

Hapana mkuu,Hii ni siasa,kila hoja inapaswa kujibiwa. ukiziiacha, wananchi NA wafuasi watajua ni ukweli. Wale wasiokua wavivu WA kufikiria tunapata wasiwasi NA busara ya My.rais kutoa maneno ya kuudhi na kidhalilishaji kiasi kile kwa kutumia maneno ya kuambiwa! Hapa ndio namsifia Tundu Lisu kumjibu.
 
Rejea hotuba ya Kikwete, wacha porojo, mbona huulizi yaliosemwa ya TEC na CCT? au na wewe unauguwa ugonjwa wa Tundu?

Hotuba ya Kikwete haina jipya! Better listen to Khadija Kopa's taarab songs!! tehe tehe tehe!
 
Tundu Lissu ni mnafiki na mzandiki tu.


Mkidhania mnakimbia na Dr. Slaa kama mlivyomfanya chekecheke Lyatonga Mrema, kwa taarifa yenu wapo kina Lisu maelfu ambao watawanyima usingizi majizi wakubwa laana kuu
 
Hapana mkuu,Hii ni siasa,kila hoja inapaswa kujibiwa. ukiziiacha, wananchi NA wafuasi watajua ni ukweli. Wale wasiokua wavivu WA kufikiria tunapata wasiwasi NA busara ya My.rais kutoa maneno ya kuudhi na kidhalilishaji kiasi kile kwa kutumia maneno ya kuambiwa! Hapa ndio namsifia Tundu Lisu kumjibu.
Hapo mzee kakwama kwani hujui inakuwaje baba anapokwaa mkenge mbele ya wanae? inabidi azugezuge kihivyo aisee ila kwa hoja ya kwamba wengine wanaeza wakaona zimemwagwa point unaweza kuwa sawa
 
Hizo ndio zenu kila siku yakiwaingia, muulie Tundu kwanini kaitisha press conference?

Unauliza jibu! Kilichowauma zaidi ni pale Lisu alipowaita maccm ni kheri mngeitwa jina lenu la kujisitiri yaani magamba. Na bado tutayaona mambo mengi hadi kufikia 2015 kwani ni kifo cha mende.
 
Bangi za kutunzia ndani ya makoti zinampa shida Toto TUNDU.
Huyu ni MNAFIKI,MZANDIKI,MUONGO halaf JK kasahau tu angeongezea"""" MVUTA BANGI" ndio ingekamilisha sifa za TUNDU CHAFU
 
Tundu lisu yopo kama mtambomtambo hiv!,kama akitaka kuwa tahaira,au pengine ana radhi ya wazazi wake,sijui akili nyingi,mimi siyo mtaalam lkn huyu jamaa hayuko sawa.

ingekuwa vyema ungejadili hoja zake badala ya kumjadili yeye! unafikiri kumjadili yeye kunasaidia wewe kuonekana wa maana sana! au we ndio uliokamilika kuliko wanadamu wengine? hongera!
 
Back
Top Bottom