Aaaaaa! Punguza hasira mpendwa jadili hojakichwa chako kimejaa kinyesi! Una dementia wewe nenda kwa FaizaFoxy akufanyie massage uanze kupata ndoto za mabikra wa peponi
Lugha uliyoanza kuitumia ni kali mno !
Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aaaaaa! Punguza hasira mpendwa jadili hojakichwa chako kimejaa kinyesi! Una dementia wewe nenda kwa FaizaFoxy akufanyie massage uanze kupata ndoto za mabikra wa peponi
Mume amtoe wapi...! Si nasikia ni widow huyo!
nikuote wewe wa nini? Kwa uzuri gani? Ushatalikiwa mara tatu! Used and engine overhauled! Kwi kwi kwi
Hhheyy black widow.... I love you
Mkweli ni nani sasa dada, tiririka kupinga alichokisema. watanzania wengi (km wewe) kujieleza kwa kujenga hoja ni issue sana. majibu ya ndiyo na hapana bila utafiti ndo yako vichwani sana, oh! kazi ipo, hata kama unaipenda CCM, basi toa hoja zako basi kupinga ukweli aliousema yeye, ili tujadili ukweli wako.
cc. RITZ
1. Je ni kweli wazanzibar kupitia taasisi zao wameshirikishwa? mojawapo ya hoja za Lisu-unaweza kututhibitishia
2. Je ni kweli kunavipengele takribani 6-vimeingizwa kinyemela bila wenzentu wa zanzibar kushirikishwa?-Lisu
Tuutafute ukweli kwenye haya kwanza.....FaizaFoxy kunaukweli wowote hapo?
Kama vile ulikuwa kwenye mawazo yangu, ki ukweli Rais wetu ana uwezo wa kuwa Mkuu wa Mkoa (RC) at BEST! Nchi kwa kichwa kile ni uonevu mkubwa.Rais Anaonewa ......!Taaluma na akili za kuzaliwa hazimruhusu kukabiliana na mitihani kama hii.
Lakini hata Bwakata litashirishwa wewe mdiniHuyo ni muongo tu hata aitishe press conference ya dunia nzima. TEC na CCT wameshirikishwa au hawakushirikishwa?
Porojo ni za nani kati ya "aliyeambiwa" na "aliyekuwepo"? Hapo wewe unamwimini aliyeambiwa halafu hakuchanganya na za kwake, pole FF.Rejea hotuba ya Kikwete, wacha porojo, mbona huulizi yaliosemwa ya TEC na CCT? au na wewe unauguwa ugonjwa wa Tundu?
Tundu Lissu ni mnafiki na mzandiki tu.
Lissu anashindana na tembo...
Tundu Lissu ni mnafiki na mzandiki tu.
Msitake kuzunguka nyie wajumbe wa TEC na CCT wapo au hawapo kwenye Tume ya Warioba?
Lissu anashindana na tembo...
Rais kasema mswada urudi bungeni,hapa huyu Mzandiki anatafuta umaarufu tu binafsi
Lissu anashindana na tembo...