Tangu TL amchane live mshua juu ya uteuzi wa majaji vihiyo alikuwa na usongo nae hasa, kwani alishindwa kum-attack jamaa kipindi hicho kwani yaliyosemwa na mh.lisu yalikuwa fact tupu.Sasa ameona kapata upenyo wa kum-attack naye kaamua kukurupuka na maneno ya naaambiwa,nimesikia bila hata kufikiri.
Sasa kama ni muongo athibitishe uongo wa mh. Lisu wakati m/sheria na waziri wake wanakili kuwa baadhi ya mambo yamekwenda ndivyo sivyo.
Wananchi tunapima uzito wa hoja, raisi usilete maneno ya vijiweni Toa fact watu tukusome.
Achana na habari ya nimesikia mara nimeambiwa, hii inanikumbusha ugomviwa mashangingi niushuhudiao kitaa kwa mtogore
huyo ndo mh. sana,duuu majanga.