Tundu Lissu: Tutazipima kauli za Kikwete kwenye Kamati ya Katiba, Sheria na Utawala!

Tundu Lissu: Tutazipima kauli za Kikwete kwenye Kamati ya Katiba, Sheria na Utawala!

Nawaonea wivu sana wananchi wa singida kwa kumpata mbunge makini sana na pia mzalendo wa kweli, höngereni wananchi wa singida Mashariki kwa kuitendea haki nchi yetu, Allah amjalie afya kamanda lissu...
 
Rais anasema ameambiwa, amepashwa, amehabarishwa.

Yani anajitoa kwenye game...kwamba yeye hana makosa..hao waliompasha na kumhabarisha ndo wenye makosa.


:thumbdown:

Huyu jamaa kaambiwa habari hii msikitini bila shaka na masheikh
 
Huyu jamaa ni mnafiki yeye si alisema muungano umevunjika sasa mambo ya kwenda Znz yametoka wapi au anatafuta "sympathy" ya wa Zanzibar.

ID yako inaendana na uyaandikayo ni vizuri zaidi ukajikita kwenye kushabikia Ugaidi kuliko suala la upatikanaji wa Katiba Bora kwa ajili yetu sisi waungwana. wewe akili zako zimekaa ki AL QAIDA, ki AL SHABAB na wengine wa mfano wa hao.
 
kajipange, mnafki na mzandiki wa kupindukia wewe!!!
tidu lisu. anayekufahamu kuwa wewe ni munafiki.munzadiki.halafu alipeleza.lisema ovyo.lipiga kelele.lipotezaji la muda bungeni. likoswa hekima na maarifa wakati nilisomi.siyo rais pekee hata sisi watanzania na wananchi wakawaida. kwahiyo lisu munapo fika ajeda zito kama hizi zakuzungumuzia musitakabali wa nchi uwe unatulia nakujipanga kwakuwa wewe ni musomi hapo lazima kitokee cha maana.siyo kuwa unakurupuka na nakuaza kuota harusi silaa na josephina itakuwa lini.
 
Tundu lisu yopo kama mtambomtambo hiv!,kama akitaka kuwa tahaira,au pengine ana radhi ya wazazi wake,sijui akili nyingi,mimi siyo mtaalam lkn huyu jamaa hayuko sawa.
 
Huyo ni muongo tu hata aitishe press conference ya dunia nzima. TEC na CCT wameshirikishwa au hawakushirikishwa?

Mkweli ni nani sasa dada, tiririka kupinga alichokisema. watanzania wengi (km wewe) kujieleza kwa kujenga hoja ni issue sana. majibu ya ndiyo na hapana bila utafiti ndo yako vichwani sana, oh! kazi ipo, hata kama unaipenda CCM, basi toa hoja zako basi kupinga ukweli aliousema yeye, ili tujadili ukweli wako.

cc. RITZ
 
tidu lisu. anayekufahamu kuwa wewe ni munafiki.munzadiki.halafu alipeleza.lisema ovyo.lipiga kelele.lipotezaji la muda bungeni. likoswa hekima na maarifa wakati nilisomi.siyo rais pekee hata sisi watanzania na wananchi wakawaida. kwahiyo lisu munapo fika ajeda zito kama hizi zakuzungumuzia musitakabali wa nchi uwe unatulia nakujipanga kwakuwa wewe ni musomi hapo lazima kitokee cha maana.siyo kuwa unakurupuka na nakuaza kuota harusi silaa na josephina itakuwa lini.

Sitakuwa nimekosea wala kulikosea jukwaa, hakika wewe ni miongoni mwa WALIOHONGWA simu na Januari Makamba.

Maumivu ya ngumi za mbavu alizopigwa jk kamuulizeni Salma, isha kuwa ngumu kumpapasa manake kila sehemu kachezea kichapo.

CHEZEA TUNDU LISSU WEYE!!!!
 
tidu lisu. anayekufahamu kuwa wewe ni munafiki.munzadiki.halafu alipeleza.lisema ovyo.lipiga kelele.lipotezaji la muda bungeni. likoswa hekima na maarifa wakati nilisomi.siyo rais pekee hata sisi watanzania na wananchi wakawaida. kwahiyo lisu munapo fika ajeda zito kama hizi zakuzungumuzia musitakabali wa nchi uwe unatulia nakujipanga kwakuwa wewe ni musomi hapo lazima kitokee cha maana.siyo kuwa unakurupuka na nakuaza kuota harusi silaa na josephina itakuwa lini.

Kichwa maji kweli wewe, Mh! hali inatisha kumbe hata humu kuna watu wa aina hii, mfundisheni kuspel kiswahili jamani, inatisha.
 
Tundu lisu yopo kama mtambomtambo hiv!,kama akitaka kuwa tahaira,au pengine ana radhi ya wazazi wake,sijui akili nyingi,mimi siyo mtaalam lkn huyu jamaa hayuko sawa.

Unaweweseka, tafuta tiba.
mitambo ni kina Mwigulu nchemba, wasira, Nnape, lusinde, Ndugai, werema, Pinda, makinda.

Ni mitambo kwa sababu inafikiri katiba ni ya serikali!!!!!!!
 
Wakuu, ninachoweza kusema kwa sasa ni kwamba huu " mnyukano" si wa kitoto. Ukisikia piga nikupige ndio hii.
 
Tundu lisu yopo kama mtambomtambo hiv!,kama akitaka kuwa tahaira,au pengine ana radhi ya wazazi wake,sijui akili nyingi,mimi siyo mtaalam lkn huyu jamaa hayuko sawa.
kwa taarifa yako afadhali lissu mara 10000 kuliko jk...
 
Kama Mungu yupo naomba ampe basi Tundu Lissu maisha marefu atuvushe kwenye balaaa la wala nchi, Na Mungu kama yupo naomba wajitokeze kina Lissu wengine wasio waoga na kuhongeka kirahisi kama Zitto Kabwe. Amina.
 
Rais Anaonewa ......!Taaluma na akili za kuzaliwa hazimruhusu kukabiliana na mitihani kama hii.
Mi mate itawaruka sana kama mumeona ukwaju lakini ukweli unabaki pale pale Tundu Lissu ni "MNAFIKI" a.k.a MZANDIKI
 
Tangu TL amchane live mshua juu ya uteuzi wa majaji vihiyo alikuwa na usongo nae hasa, kwani alishindwa kum-attack jamaa kipindi hicho kwani yaliyosemwa na mh.lisu yalikuwa fact tupu.Sasa ameona kapata upenyo wa kum-attack naye kaamua kukurupuka na maneno ya naaambiwa,nimesikia bila hata kufikiri.

Sasa kama ni muongo athibitishe uongo wa mh. Lisu wakati m/sheria na waziri wake wanakili kuwa baadhi ya mambo yamekwenda ndivyo sivyo.

Wananchi tunapima uzito wa hoja, raisi usilete maneno ya vijiweni Toa fact watu tukusome.

Achana na habari ya nimesikia mara nimeambiwa, hii inanikumbusha ugomviwa mashangingi niushuhudiao kitaa kwa mtogore
huyo ndo mh. sana,duuu majanga.
 
CCM wataanza kujiharishia sasa hivi. Lissu ni zaidi ya genius.
 
Ni bora Dr Slaa awe raisi kuliko Tundu Lisu kuingia bungeni----JK, 2010​

Jk alijua kabisa hii kichwa kitakuja kumsumbua sana,maana kabla ya 2010 alikuwa mwanasheria wa CHADEMA,alishabaini hii kichwa ni cha sayari nyingine kabisa!sasa ona anavyompa jamb**¥%#?
 
Back
Top Bottom