Tundu Lissu: Tutazipima kauli za Kikwete kwenye Kamati ya Katiba, Sheria na Utawala!

Tundu Lissu: Tutazipima kauli za Kikwete kwenye Kamati ya Katiba, Sheria na Utawala!

Heading na content haviendani mkuu...binafsi nilidhani utakuja na hoja za kutokukubaliana na kauli ya Freeman Mbowe.

Lakini nikionacho ni maelezo tu ukieleza tu hali ya mambo ilivyotukia...umeshindwa hata kuweka bayana hizo hoja za Lissu ambazo kwazo Mh. Jakaya Kikwete anaziona ni za kizandiki...
 
Sikubaliani kabisa na maneno ya MBOWE kuwa, Rais JAKAYA KIKWETE kumshambulia TINDU LISSU wakati wa hotuba yake kuwa alimuonea kwa madai kuwa maneno ya LISSU hayakuwa yake bali ni ya kambi rasmi ya upinzani.

Nadiriki kusema kuwa wanachokifanya hivi sasa CHADEMA ni kujaribu kumusafisha LISSU na tabia yake ya siku nyingi kutoa maneno ya kizushi, dhihaka kwa serikali na mbwebwe nyingine nyingi ambazo kwa uhakika wanaolitakia amani taifa letu, ndani ya Bunge(wale wa chama tawala na upinzani), nje ya bunge, wasomi na hata wananchi wa kawaida walishaanza kuingiwa wasiwasi na utimamu wa akili ya Mbunge huyu.

Siku chache zilizopita , LISSU amepambwa sana kwenye vyombo vya habari, wapambe wake, kwenye mitandao ya kijamii kuwa ni mtu tishio, lakini hakuna aliyesimama na kusema siyo yeye aliye tishio bali ni chama kwa ujumla, ila leo ambapo Rais ameonesha kukerwa na pengine sasa kama mkuu wa nchi anaona anakoelekea LISSU ni hatari kwa amani ya nchi yetu ndipo wanaibuka akina MBOWE na kusema kuwa yale yalikuwa maneno ya Kambi ya Upinzani na kwamba Rais hajamtendea haki na kwamba amuombe msamaha, kwa lipi mpaka rais amuombe msamaha LISSU kama siyo kumkosea adabu mheshimiwa Rais na kuendelea kulea ugonjwa kwa vile LISSU ataona kama amepewa go ahead na mkubwa wake kuendelea kusema hovyo.

MBOWE anasemaje Rais amuombe radhi LISSU wakati huo wanampongeza kwa hotuba yake huku wakisema amewaaibisha wana CCM ambao walionekana kuunanga muungano wao vyama vitatu, muungano ambao kimsingi umekosa mashiko hasa baada ya hotuba ya Rais JAKAYA KIKWETE. Wanamtaka Rais awaite kwenda ikulu kufanya nini kama kweli wanaona LISSU ameonewa?

Waende tu wanywe juice Ikulu waache kutuzingua.
 
Heading na content haviendani mkuu...binafsi nilidhani utakuja na hoja za kutokukubaliana na kauli ya Freeman Mbowe.

Lakini nikionacho ni maelezo tu ukieleza tu hali ya mambo ilivyotukia...umeshindwa hata kuweka bayana hizo hoja za Lissu ambazo kwazo Mh. Jakaya Kikwete anaziona ni za kizandiki...

Mkuu, naona wewe ndo hujaelewa kabisa. Mbowe katika maelezo yake anasema kuwa alichosema Lissu kina baraka ya kambi ya upinzani kitu ambacho sicho. kama maneno ya uongo, uzandiki na uzushi ni msimamo wa kambi ya upinzani, basi sina imani kabisa na chadema
 
Sikubaliani kabisa na maneno ya MBOWE kuwa, Rais JAKAYA KIKWETE kumshambulia TUNDU LISSU wakati wa hotuba yake kuwa alimuonea kwa madai kuwa maneno ya LISSU hayakuwa yake bali ni ya kambi rasmi ya upinzani.

Nadiriki kusema kuwa wanachokifanya hivi sasa CHADEMA ni kujaribu kumusafisha LISSU na tabia yake ya siku nyingi kutoa maneno ya kizushi, dhihaka kwa serikali na mbwebwe nyingine nyingi ambazo kwa uhakika wanaolitakia amani taifa letu, ndani ya Bunge(wale wa chama tawala na upinzani), nje ya bunge, wasomi na hata wananchi wa kawaida walishaanza kuingiwa wasiwasi na utimamu wa akili ya Mbunge huyu.

Siku chache zilizopita , LISSU amepambwa sana kwenye vyombo vya habari, wapambe wake, kwenye mitandao ya kijamii kuwa ni mtu tishio, lakini hakuna aliyesimama na kusema siyo yeye aliye tishio bali ni chama kwa ujumla, ila leo ambapo Rais ameonesha kukerwa na pengine sasa kama mkuu wa nchi anaona anakoelekea LISSU ni hatari kwa amani ya nchi yetu ndipo wanaibuka akina MBOWE na kusema kuwa yale yalikuwa maneno ya Kambi ya Upinzani na kwamba Rais hajamtendea haki na kwamba amuombe msamaha, kwa lipi mpaka rais amuombe msamaha LISSU kama siyo kumkosea adabu mheshimiwa Rais na kuendelea kulea ugonjwa kwa vile LISSU ataona kama amepewa go ahead na mkubwa wake kuendelea kusema hovyo.

MBOWE anasemaje Rais amuombe radhi LISSU wakati huo wanampongeza kwa hotuba yake huku wakisema amewaaibisha wana CCM ambao walionekana kuunanga muungano wao vyama vitatu, muungano ambao kimsingi umekosa mashiko hasa baada ya hotuba ya Rais JAKAYA KIKWETE. Wanamtaka Rais awaite kwenda ikulu kufanya nini kama kweli wanaona LISSU ameonewa?

You might think that TL talks a lot of sh1t but you and i know that he can back it up ANYTIME. I totally understand that because he is good at what he does, it gives you cause for concern. Its natural, sir.
 
mbona rais wetu msikivu katumia hekima na busara na kawaita wapinzani Ikulu?? Huyu si Rais wa CCM mind you!!! Huyu JK ni Statesman.
 
Heading na content haviendani mkuu...binafsi nilidhani utakuja na hoja za kutokukubaliana na kauli ya Freeman Mbowe.

Lakini nikionacho ni maelezo tu ukieleza tu hali ya mambo ilivyotukia...umeshindwa hata kuweka bayana hizo hoja za Lissu ambazo kwazo Mh. Jakaya Kikwete anaziona ni za kizandiki...

wewe umemezwa na ushabiki wa kutotaka kuona LISSU akiguswa, ndiyo wale wale mnaomvimbisha kichwa LISSU na kupelekea kujisemea kama mwendawaizmu.
 
Mkuu, naona wewe ndo hujaelewa kabisa. Mbowe katika maelezo yake anasema kuwa alichosema Lissu kina baraka ya kambi ya upinzani kitu ambacho sicho. kama maneno ya uongo, uzandiki na uzushi ni msimamo wa kambi ya upinzani, basi sina imani kabisa na chadema

Nyinyi ndio Karume Jnr aliwaita mna akili ya SAMAKI!

Serious tangu lini wewe Chabruma ukawa na IMANI na CDM?

Only a fool will believe you
 
You might think that TL talks a lot of sh1t but you and i know that he can back it up ANYTIME. I totally understand that because he is good at what he does, it gives you cause for concern. Its natural, sir.
kaka kwani lazima ukubali we nani kwenye taifa
 
Sikubaliani kabisa na maneno ya MBOWE kuwa, Rais JAKAYA KIKWETE kumshambulia TUNDU LISSU wakati wa hotuba yake kuwa alimuonea kwa madai kuwa maneno ya LISSU hayakuwa yake bali ni ya kambi rasmi ya upinzani.
?
Mkuu bandiko halijaakisi mustakabali wa siasa za Tanzania na katiba mpya. Hebu kasome jinsi mchakato wa katiba za Kenya na Tanzania ulivyofanyika then rudi hapa tujadiliane,
 
Sikubaliani kabisa na maneno ya MBOWE kuwa, Rais JAKAYA KIKWETE kumshambulia TUNDU LISSU wakati wa hotuba yake kuwa alimuonea kwa madai kuwa maneno ya LISSU hayakuwa yake bali ni ya kambi rasmi ya upinzani.

Nadiriki kusema kuwa wanachokifanya hivi sasa CHADEMA ni kujaribu kumusafisha LISSU na tabia yake ya siku nyingi kutoa maneno ya kizushi, dhihaka kwa serikali na mbwebwe nyingine nyingi ambazo kwa uhakika wanaolitakia amani taifa letu, ndani ya Bunge(wale wa chama tawala na upinzani), nje ya bunge, wasomi na hata wananchi wa kawaida walishaanza kuingiwa wasiwasi na utimamu wa akili ya Mbunge huyu.

Siku chache zilizopita , LISSU amepambwa sana kwenye vyombo vya habari, wapambe wake, kwenye mitandao ya kijamii kuwa ni mtu tishio, lakini hakuna aliyesimama na kusema siyo yeye aliye tishio bali ni chama kwa ujumla, ila leo ambapo Rais ameonesha kukerwa na pengine sasa kama mkuu wa nchi anaona anakoelekea LISSU ni hatari kwa amani ya nchi yetu ndipo wanaibuka akina MBOWE na kusema kuwa yale yalikuwa maneno ya Kambi ya Upinzani na kwamba Rais hajamtendea haki na kwamba amuombe msamaha, kwa lipi mpaka rais amuombe msamaha LISSU kama siyo kumkosea adabu mheshimiwa Rais na kuendelea kulea ugonjwa kwa vile LISSU ataona kama amepewa go ahead na mkubwa wake kuendelea kusema hovyo.

MBOWE anasemaje Rais amuombe radhi LISSU wakati huo wanampongeza kwa hotuba yake huku wakisema amewaaibisha wana CCM ambao walionekana kuunanga muungano wao vyama vitatu, muungano ambao kimsingi umekosa mashiko hasa baada ya hotuba ya Rais JAKAYA KIKWETE. Wanamtaka Rais awaite kwenda ikulu kufanya nini kama kweli wanaona LISSU ameonewa?

​Taabu yako ni kuwa hutumii ubongo wako kama alivyokujalia Mwenyezi Mungu!
 
..................................wanaolitakia amani taifa letu, ndani ya Bunge(wale wa chama tawala na upinzani), nje ya bunge, wasomi na hata wananchi wa kawaida walishaanza kuingiwa wasiwasi na utimamu wa akili ya Mbunge huyu...............

Hii statement ni kama ya mtu aliyefanya utafiti.
 
Waende tu wanywe juice Ikulu waache kutuzingua.
Mkuu samahani mizaha kama hii inalishushia hadhi jukwaa hili,Sidhani kama kweli chai na juice vinapatikana Ikulu peke yake Tanzania nzima au viongozi hao wamekosa fedha za kununua chai na juice mpaka waende ikulu.
 
Back
Top Bottom