Eddo Sambai
JF-Expert Member
- Aug 1, 2013
- 2,377
- 1,861
Hapa ndio tunaona watu wanaotumia akili zao na watu wanaotumia akili za kuambiwa. Mh. Raisi naomba jifunze kitu kutoka kwa lisu, na sio kufanya kazi kwa kuambiwa mambo na akina Lukuvi ambao uwezo wao ni mdogo na sasa baada ya Lisu kuzungumza unaaibika na kuonekana hufikiri thabiti