hewizet
JF-Expert Member
- Mar 17, 2013
- 2,418
- 1,535
lisu mbea,mnafiki,mzushi,mzandiki na mfitini.
pasi na shaka yoyote hii ni MEMKWA!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
lisu mbea,mnafiki,mzushi,mzandiki na mfitini.
lisu mbea,mnafiki,mzushi,mzandiki na mfitini.
Hapo palipokolezwa ndio wapi!??jk siyo tegemezi kama chadema ambao kila kitu wanategemea italy na denish.
Kizazi cha Mulugo... hata kuandika taabu. Kwa kukusaidia tu. Jina la mtu huandikwa likianza na herufi kubwa, pia sentensi inatakiwa ianze na herufi kubwa.
Hapo palipokolezwa ndio wapi!??
mkuu mimi naamini hata kama utachanganya watu wa ukoo wenu wote hamuwezi kufikia akili ya jk ni kiongozi wa pekee sana japo wapo watu ambao hawamwelewi.
naona leo chamakipya untaongoza kwa post lazima wakupe zaidi ya buku saba
Angekuwa hivyo kama asingekuwa anajishughulisha na mambo ya kutajirisha ukoo na familia yake haraka haraka hadi kufanya shughuli zinazoliletea taifa letu aibu!!!!!!!!!!
pasi na shaka yoyote hii ni MEMKWA!!
mkuu Boko haram maana yake Elimu ya Magharibi ni haramu, Physics, Chemistry, Computer, Law, Engineering, Medicine, accountancy, sociology etc. Pata picha unazungumza na kilaza wa namna gani!?
c bure umelewa viroba vya kijani ww!lisu mbea,mnafiki,mzushi,mzandiki na mfitini.
tangu lisu apige marufuku watu wa jimboni kwake kutoshiriki kazi za maendeleo nikajua pale hakuna kiongozi kunashati na koti tu.
Huyu jamaa ni mnafiki yeye si alisema muungano umevunjika sasa mambo ya kwenda Znz yametoka wapi au anatafuta "sympathy" ya wa Zanzibar.
Tuliambiwa na Katibu wa Bunge, Dk. Thomas Kashililah tungepewa fedha za kukaa Zanzibar hata kwa wiki nzima, na tulilipwa fedha nyingi tofauti na tunavyolipwa kwa utaratibu wa kawaida,