Tundu Lissu: Tutazipima kauli za Kikwete kwenye Kamati ya Katiba, Sheria na Utawala!

Tundu Lissu: Tutazipima kauli za Kikwete kwenye Kamati ya Katiba, Sheria na Utawala!

lissu ni mwongo.mnafiki.mfitini, mzushi mzandiki first class

Ni kweli kabisa, kayageuza ya Zanzibar wakati kuhusu uongo wake Rais aliyasema ya TEC na CCT.

Huyu jamaa ni muongo, mfitini aka fataani, mnafik na mzandik mkubwa sana.
 
Namuona kama kalewa vile, eti Rais amuige Obama? khaa! ndio nini sasa.
 
Lisu ni balaa ni zaidi ya baraza zima la mawaziri ,baada ya kuwafundisha sheria pinda, anna makinda,ndugai,lukuvi werema n.k sasa amehamia magogoni lazima waweseke tu, BP zitapanda mwaka huu
 
Na Abdallah Bulembo je? Kama Lissu ni mwongo mbona hoja zake zimekubaliwa na rais kwamba zinazungumzika na zirudishwe kujadiliwa? We mbona unataka kuturudisha nyuma?

hakuna hoja za lisu hata moja ambazo rais kazikubali yale ni mapendekezo mapya ya rais kwanza alichokuwa anadai lisu hata kwenye kanuni hakipo lisu ni mnafiki,mzandiki na muongo.
 
Ni kweli kabisa, kayageuza ya Zanzibar wakati kuhusu uongo wake Rais aliyasema ya TEC na CCT.

Huyu jamaa ni muongo, mfitini aka fataani, mnafik na mzandik mkubwa sana.

zaidi ya hapo uongo na unafiki lisu ni wa mchana kweupe ambao hauna kichwa wala miguu.
 
Yaani umeruhusu akili za akina Bulembo na Le Mutuz( W.J Malecela) zichukue nafasi kwenye ubongo wako! Umekwisha.

lisu ni mnafiki,mfitini,mzushi,mzandiki na uongo wake hauna kichwa wala miguu ni wa mchana kweupe.
 
Si wanamuiga Obama,wamuige na hili la kutosaini muswada usio na manufaa kwa taifa,,,,
 
Mbona ajakanusha uongo wake, Sasa haya anayosema tutajuaje km ni ya kweli coz ni mtu muongo???
 
Rais wetu mtu makini sana na anajali wananchi wake kwahiyo kuweni wapole!
 
Na Abdallah Bulembo je? Kama Lissu ni mwongo mbona hoja zake zimekubaliwa na rais kwamba zinazungumzika na zirudishwe kujadiliwa? We mbona unataka kuturudisha nyuma?

hivi lissu ni msemaji wa TEC na CCT?
 
kwa nini kigwangala aliacha kumsaidia lisu pengine angeweza kubadilika hata kidogo kuliko alivyo sasa tangu kigwangala asitishe huduma kwa lisu ameendelea kuwa wa ajabu sana unafiki na uongo ndiyo unazidi kumea kila kukicha.
 
Inabidi hicho kikao kirikodiwe maana huyo tundu la kunyia Lissu akitoka nje ya kikao atazusha ambayo hayajazungumzwa."take care" kazoea mambo ya mahakamani huyo " uongo kuugeuza ukweli na ukweli kuugeuza uongo"
 
Rais awataje waliomwambia ili tuwajue wanaotuendesha Kama mikokoteni sisi na rais wetu
 
Back
Top Bottom