Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu performance gani ile ya kupiga kelele kwenye majukwaa!mkuu najua njaa yako ndio inasababisha wewe kuona Lisu anafanya vizuri na chuki yako kwe serekali sababu ulikimbia shule bado upo mdogo!
Superman lissu!
Shirikisho la walemavu halikumpendekeza Al Shaimar KwegirMsitake kuzunguka nyie wajumbe wa TEC na CCT wapo au hawapo kwenye Tume ya Warioba?
Huyu jamaa ni mnafiki yeye si alisema muungano umevunjika sasa mambo ya kwenda Znz yametoka wapi au anatafuta "sympathy" ya wa Zanzibar.
Tundu Lissu ni mnafiki na mzandiki tu.
Tundu Lissu ni muongo, mnafiki na mzandiki...
hivi mnasimamia sera za CCM au dini? Mwaka 2015 mgombea atakapokuwa Benard wa Lindi bado mtaendelea kuishabikia CCM?Huyo ni muongo tu hata aitishe press conference ya dunia nzima. TEC na CCT wameshirikishwa au hawakushirikishwa?
Huyu jamaa ni mnafiki yeye si alisema muungano umevunjika sasa mambo ya kwenda Znz yametoka wapi au anatafuta "sympathy" ya wa Zanzibar.
Tundu Lissu ni mnafiki na mzandiki tu.
Tundu Lissu ni muongo, mnafiki na mzandiki...
hivi mnasimamia sera za CCM au dini? Mwaka 2015 mgombea atakapokuwa Benard wa Lindi bado mtaendelea kuishabikia CCM?Huyo ni muongo tu hata aitishe press conference ya dunia nzima. TEC na CCT wameshirikishwa au hawakushirikishwa?
Umeonaee!...Amemfundisha spika sheria,amemfundisha mwanasheria wa serikali sheria, amemfundisha waziri mkuu sheria, amewafundisha kina ndugai, wasira, lukuvi, nk. "na sasa anamfundisha rais wetu sheria. Jamani si aongezewe mshahara
CCM wakisikia jina la Tundu roho zinaanza kuwadunda utafikili wamefumaniwa.
Tupe hiyo nukuu!umenukuu toka kwa "Eddo kumwembe".
Vigezo gani mkuu!au thinking capacity yako ndio imefika mwisho!
Mkuu elimu gani alokuwa nayo Lisu na wewe?
Wivu wa kike ... Pius Msekwa..Mkuu performance gani ile ya kupiga kelele kwenye majukwaa!mkuu najua njaa yako ndio inasababisha wewe kuona Lisu anafanya vizuri na chuki yako kwe serekali sababu ulikimbia shule bado upo mdogo!
Nasikia harufu ya udini
mi naona ana dhalilisha uongozi wakati yeye si drAmemfundisha spika sheria,amemfundisha mwanasheria wa serikali sheria, amemfundisha waziri mkuu sheria, amewafundisha kina ndugai, wasira, lukuvi, nk. "na sasa anamfundisha rais wetu sheria. Jamani si aongezewe mshahara
Katika wasomi wenye uchungu na Tanganyika Mh Lissu ni miongo mwao. Mh Lissu alipata kazi ya kufundisha chuo USA, lakini kwa mapenzi yake na Tanganyika aliamua kurudi nyumbani kutetea nchi. Tindu hawezi kufuja mali za umma kama afanyavyo Dr Slaa huko Marekani.Hapana bhana , mimi nakataa ! Tundu lisu ni neema .
Mh JK anajua Lissu ana uchungu wa dhati na Tanganyika, lakini huyo jamaa mwingine si unamuona wenzake wapo busy kupigania katiba, yeye yupo Marekani kuangalia mpiraHata mkuu wa kaya kipindi aliwahi sema ni heri Dr Slaa awe rais kuliko Tundu Lisu awe mbunge wa Singida Mashariki