Tundu Lissu: Tutazipima kauli za Kikwete kwenye Kamati ya Katiba, Sheria na Utawala!

Tundu Lissu: Tutazipima kauli za Kikwete kwenye Kamati ya Katiba, Sheria na Utawala!

Kila litajwapo jina hilI LA Lissu
magamba na mapepo yao yote hutikisika.
Lissu ni kiboko ya mafisadi na magamba kwa ujumla..
JK alishakiri hilo NI HERI DR SLAA AWE RAIS KULIKO LISSU KUWA MBUNGE.
 
Mkuu performance gani ile ya kupiga kelele kwenye majukwaa!mkuu najua njaa yako ndio inasababisha wewe kuona Lisu anafanya vizuri na chuki yako kwe serekali sababu ulikimbia shule bado upo mdogo!

Naomba nim-quote mtaalamu mmoja aliyeniambia; "Genious akikaa katikati ya magarasha anaonekana yeye ndio hana akili".. So, sishangai baadhi ya watu kutoona akili za Lissu, kwa sababu hamuwezi kumuelewa na kuishia kuona ni mpiga makelele...

Tuache siasa, jamaa anaweza akawa sio mwanasiasa kama hao mliowazoea, but ni kichwa.....kama hutaki kuamini kamuulize Waziri Mkuu na Mkuu wa Nchi...
 
kamanda nakusalimia, mapaambano yanaendaje, hao magamba laizma tuwatimue mchana kweupe, Mwambieni kIKWETE KILA MTU MTZ MWENYE AKILI TIMAMU KWA MUDA HUU YUKO KAMA LISSU NA Dr Slaa, ccm wote ni vilaza pamoja na raisa wao kila kitu nimeambiwa
Superman lissu!

uwatimueYUKO
 
Jakaya Kikwete humuwezi Tundu Lissu kwa hoja zako za Nimeambiwa ''Hearsay'' Utakuja kututukana hata sisi wananchi kwa hoja za namna hiyo... ''Nimeambiwa'' Nimeambiwa kuwa wananchi hamnipendi nyie ni ''Wazandiki''

Watanzania Tumuombeeni Raisi aache kutukana Watu tena Waheshimiwa.... Kisasi cha kutukanwa na Mnyika kuwa ni Mdhaifu kamlipizia Tundu Lissu kwa Matusi lukuki yenye uthibitisho wa Neno Nimeambiwa???? basi ututajie ni nani anayekuambia!
 
Huyu jamaa ni mnafiki yeye si alisema muungano umevunjika sasa mambo ya kwenda Znz yametoka wapi au anatafuta "sympathy" ya wa Zanzibar.

Tundu Lissu ni mnafiki na mzandiki tu.

Tundu Lissu ni muongo, mnafiki na mzandiki...

Huyo ni muongo tu hata aitishe press conference ya dunia nzima. TEC na CCT wameshirikishwa au hawakushirikishwa?
hivi mnasimamia sera za CCM au dini? Mwaka 2015 mgombea atakapokuwa Benard wa Lindi bado mtaendelea kuishabikia CCM?
 
Huyu jamaa ni mnafiki yeye si alisema muungano umevunjika sasa mambo ya kwenda Znz yametoka wapi au anatafuta "sympathy" ya wa Zanzibar.

Tundu Lissu ni mnafiki na mzandiki tu.

Tundu Lissu ni muongo, mnafiki na mzandiki...

Huyo ni muongo tu hata aitishe press conference ya dunia nzima. TEC na CCT wameshirikishwa au hawakushirikishwa?
hivi mnasimamia sera za CCM au dini? Mwaka 2015 mgombea atakapokuwa Benard wa Lindi bado mtaendelea kuishabikia CCM?
 
Amemfundisha spika sheria,amemfundisha mwanasheria wa serikali sheria, amemfundisha waziri mkuu sheria, amewafundisha kina ndugai, wasira, lukuvi, nk. "na sasa anamfundisha rais wetu sheria. Jamani si aongezewe mshahara
Umeonaee!...
 
Tundu Lissu aka Mzandiki Ana mzidi uwezo Dr Slaa,Mbowe na Bavicha kwa ujumla!
 
Amemfundisha spika sheria,amemfundisha mwanasheria wa serikali sheria, amemfundisha waziri mkuu sheria, amewafundisha kina ndugai, wasira, lukuvi, nk. "na sasa anamfundisha rais wetu sheria. Jamani si aongezewe mshahara
mi naona ana dhalilisha uongozi wakati yeye si dr
 
Hapana bhana , mimi nakataa ! Tundu lisu ni neema .
Katika wasomi wenye uchungu na Tanganyika Mh Lissu ni miongo mwao. Mh Lissu alipata kazi ya kufundisha chuo USA, lakini kwa mapenzi yake na Tanganyika aliamua kurudi nyumbani kutetea nchi. Tindu hawezi kufuja mali za umma kama afanyavyo Dr Slaa huko Marekani.
 
Hata mkuu wa kaya kipindi aliwahi sema ni heri Dr Slaa awe rais kuliko Tundu Lisu awe mbunge wa Singida Mashariki
Mh JK anajua Lissu ana uchungu wa dhati na Tanganyika, lakini huyo jamaa mwingine si unamuona wenzake wapo busy kupigania katiba, yeye yupo Marekani kuangalia mpira
 
mimi kama mtanzania wa kawaida nisiyekuwa na chama ninamkubali sana Tundu lisu kwa hoja yake imesimamia ukucha mpaka kikwete anaishia kutapatapa na kutiririka matusi badala ya hoja..nadhani kikwete alikosea njia kushinda na Lisu kwani siyo weight yake, TL ni heavy weight champs kwa hoja na hua anatoa facts zaidi na siyo maneno niliambiwa kama kikwete alivyo fanya kwenye hotuba yake. Inanskitisha sana kuona kiongozi wa nchi anaendesha nchi kwa kuambiwa ndyo maana mamuzi yao huwa mabaya na mabovu kutokana na watendaji wa serikali wasiyokuwa na nia njema na watanzania.
 
Big-in,
najua unaandika hayo uloandika kwa kutumia mikono,lakiniakili inayofikiri kichwani inajua ukweli kuwa TL ni mwanasheria makini kuliko wote kwa sasa tanzania.

Ndio kuna wansheria wengi mno nchi hii wenye PhDs na hata maprofesor lakini what they do is negligible. Kama wengi wallioko magambani wamejaa phds za kariakoo na/ama wanazitumia kuliibia taifa na hawana msaada kwabisa kwa nchi, hawa hatuwataki.
 
Back
Top Bottom