Naomba nikuambie kwamba sina nasaba na Fatma na wala si mshabiki wake. Nasema nilichokisikia jana. Nimesikiliza tangia mwanzo na nilielewa alikuwa na maana gani.Hahahaa eti mahakamani!
Y’all desperately caping for her.
What’s that got to do with anything? You’re just giggling for no apparent reason trying to make yourself seem so profound!
Major fail.
Mzee wewe ndio mwenye maana na hutaki kuisema; ubarikiwe na nenda kwa amani.Sina haja ya kukuambia maana ya msemo ulio wa kawaida.
Ni msemo wa kawaida kabisa katika lugha ya Kiingereza na sina haja ya kuu-redefine ili tu nishinde argument.
Kama hutaki kuniambia maana yake, sawa. Peace out.
That's very good. Ntakununulia ChamaNaeleweka sana. Nipo upande wa ukweli.
Tundu Lissu akisema ukweli, nakubaliana naye.
Hata wewe ukisema ukweli, nitakubaliana nawe.
Ukisema uongo na pumba, nitakuchana.
Your brain can’t process that?
What’s that got to do with anything being talked about here?
You are still caping for her! Do you even know what that means?Naomba nikuambie kwamba sina nasaba na Fatma na wala si mshabiki wake. Nasema nilichokisikia jana. Nimesikiliza tangia mwanzo na nilielewa alikuwa na maana gani.
Umeishiwa hoja umeanza ku-spam tu!
Nyani Ngabu kabugishwa 😂😂😂😂😂 ameenda chaka mbaya...halafu anabisha kuthibitisha yupo chaka haelewi.... Bado anaendelea kubisha.Mzee wewe ndio mwenye maana na hutaki kuisema; ubarikiwe na nenda kwa amani.
Umeishiwa hoja umeanza ku-spam tu!
Ambacho haujaelewa mkuu ni kwamba,Fatima Karume alikuwa anatoa leading questions kwa Tundu,hakuwa na maana ya kumtetea Samia
Utamuumiza na hizi ngumi za pua!!!
Sidhani kama 'Uzanzibari' ndio sababu labda 'feminisim'.Nationalism at it's peak, aliyepo sio msukuma wa bara ni mzanzibar kwahiyo ni lazima amsupport. Iweje wakati wa JPM hakusapoti yaliyofanyika? Maana hayana tofauti na yanayofanyika katika utawala wa huyo anaemuita mwanamke.
Mimi ni mwanaCCM lakini kwenye hiyo video ya kwanza Lissu kajibu kwa akili sana.
Umeishiwa hoja umeanza ku-spam tu!
Shangazi is neither caping hard for Samia nor saying that opposition are getting what they deserve! Hapa Shangazi anauliza maswali magumu ya kiuwakili ya utetezi wa Mbowe. Kutokana na maswali haya Tundu Lissu kama shahidi wa Mbowe anayajibu kwa ufasaha wa hali ya juu.
Sina hakika haya mazungumzo yalifanyika lini hasa. Lakini naamini si muda mrefu uliopita kwani kilichokuwa kinajadiliwa ni kile kinachoendelea hivi sasa nchini.
Huyu so-called Shangazi is caping hard for Samia! I wonder why 🤔?
In a roundabout way she is saying that Mbowe and the opposition are getting what they deserve for being disrespectful towards Samia Suluhu Hassan.
They are being disrespectful to her because she is a woman.
Sijui ana kigugumizi au sijui haijui vizuri lugha ya Kiswahili, lakini hata kuuliza maswali yanayoeleweka vizuri, hawezi!
Kwenye huu mjadala nipo na Tundu Lissu! Kajibu vizuri sana hizo hoja/maswali ya huyo Fatma. Nakubaliana naye katika kila alichokisema.
On the other hand, ni kama vile huyo Fatma na watu anaofanana nao kimawazo kuhusu Samia, anataka Samia asikosolewe sana kwa sababu ni mwanamke.
BS! She signed up for it and people have the right to go in on her with the same ferocity they went in on her predecessors.
She shouldn’t get preferential treatment just because she is a woman.
No one holding public office should be above criticism and no one should be below praise.
Mbona ni maswali ya kawaida sana hayo!Shangazi is neither caping hard for Samia nor saying that opposition are getting what they deserve! Hapa Shangazi anauliza maswali magumu ya kiuwakili ya utetezi wa Mbowe. Kutokana na maswali haya Tundu Lissu kama shahidi wa Mbowe anayajibu kwa ufasaha wa hali ya juu.
Hayo ni maswali yanayohitaji akili kubwa kujibu vinginevyo unaingizwa king kama wasemavyo wacheza draft!Mbona ni maswali ya kawaida sana hayo!
Hakuna swali gumu la kiuwakili.
Hayo maswali tumeshayauliza sana humu.
Uwakili my ass.
Ah wapi.Hayo ni maswali yanayohitaji akili kubwa kujibu vinginevyo unaingizwa king kama wasemavyo wacheza draft!