Tundu Lissu vs Fatma Karume

Ah wapi.

Labda kwa akili yako ndo unayaona ni maswali magumu.

To some of us they are very basic.

Up your standards game.
Sasa unawasemea watu wote? Hivi hujaona namna mjadala unavyoendelea hapa baadhi wakitoa hoja za ajabu kabisa!
 
Fatma ana uzanzibar mwingi sana, na ni Mzanzibari kwelikweli
 
Hebu fikiria...wako vipofu watatu wanaongozana na ghafla wanakutana na tembo:
  1. Kipofu wa kwanza anampapasa mguuni!
  2. Kipofu wa pili anampapasa mgongoni!
  3. Kipofu wa tatu anampapasa sikioni!
Sasa shuhudia kivumbi wanapoanza kuelezana umbile la tembo kila moja akidai yeye ndiye anajua ukweli!
 
Ahsante sana umeandika vizuri sana na umeandika ukweli MTUPU kuhusu hali halisi ya Nchi yetu. Hawa mashangazi zetu Maria na Fatma nawapenda sana pamoja na kuwa wote si wanachama wa chama chochote.
Wamepoteza nao kwa kuamua kusimamia HAKI, UHURU, USAWA na demokrasia ya kweli nchini mwetu. Hata maisha yao yametishiwa lakini hawajatetereka. Wote Baba zao waliwahi kushika nafasi mbali mbali za juu katika nchi hii hela ya kula mlo wanaoutaka au kulala katika nyumba nzuri haiwapi shida kabisa pia wangeweza kabisa kuamua kujipendekeza kwenye genge la wahuni na wote hawa wangekuwa Wabunge na Mawaziri kwa uwezo wao mkubwa waliokuwa nao.
Mwenyezi Mungu awape afya njema na maisha marefu ili waendelee kuwafumbua macho Watanzania wengi ambao bado wako kwenye giza nene kuhusu maovu ya kutisha yanayojiri nchini tena kwa Watanzania ambao hawana hatia yoyote ile.
 
Ulisikilia mjadala mzima kwenye space ya Maria?
 
ninahisi anafanya makusudi Fatma. ninadhani anatumia fani yake vema hapo, ile kuchokoza jambo ili mtuhumiwa afunguke. ndo maana unaona Lisu kaelewa hakujaa upepo. hapa Fatma anawatafutia jibu wale wenye madai hayo aliyemtwanga Lisu.

Huu ni mtazamo wangu tu, ninaweza nisiwe sahihi
 
Hiyo ilikua jana twitter kwenye Maria space. Twitter wameanzisha kitu konki sana
 
Ni kama yuko biased!

Magufuli angefanya hivi hivi alivyofanya Samia sasa hivi, kangekuwa kako mstari wa mbele kumchana Magufuli!

Not principled at all.
Fatma amebadirisha msimamo tangu Samia aingie..si ajabu hayati angekuwa hai na akafanya haya..angekuwa ameahafungua shauri the hugue..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…