Tundu Lissu: Vyombo vya Usalama haviwezi kujichunguza vyenyewe sakata la Mauaji na Utekaji nchini

Tundu Lissu: Vyombo vya Usalama haviwezi kujichunguza vyenyewe sakata la Mauaji na Utekaji nchini

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, ameibua wasiwasi juu ya uwezo wa vyombo vya usalama nchini kuchunguza kesi za mauaji na utekaji zinazoshika kasi hivi karibuni.

Lissu amesisitiza kuwa ni vigumu kwa vyombo hivyo kujichunguza vyenyewe na kutoa haki, akidai kuwa uchunguzi wa huru unahitajika ili kuhakikisha uwazi na ukweli katika kesi hizi. Amesema matukio haya yameibua hofu miongoni mwa wananchi, na kutoa wito wa hatua za haraka kukomesha hali hiyo.


Soma pia;
=> Freeman Mbowe: Viongozi wa CHADEMA na Watanzania wasio na Vyama wanaoendelea kutekwa na Vyombo vya Usalama vya Nchi yetu
=> Utekaji nchi hii unachagizwa na ukondoo wa Watanzania
 
Vitashindwaje kuichunguza chadema ambae ina uchaguzi wa ndani ambao ni wa moto sana, na ambayo pia ndio suspect namba moja wa singombingo hiyo ya mauaji? itashindaweje kwa mfano 🐒
 
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, ameibua wasiwasi juu ya uwezo wa vyombo vya usalama nchini kuchunguza kesi za mauaji na utekaji zinazoshika kasi hivi karibuni.

Lissu amesisitiza kuwa ni vigumu kwa vyombo hivyo kujichunguza vyenyewe na kutoa haki, akidai kuwa uchunguzi wa huru unahitajika ili kuhakikisha uwazi na ukweli katika kesi hizi. Amesema matukio haya yameibua hofu miongoni mwa wananchi, na kutoa wito wa hatua za haraka kukomesha hali hiyo.

Soma pia;
=> Freeman Mbowe: Viongozi wa CHADEMA na Watanzania wasio na Vyama wanaoendelea kutekwa na Vyombo vya Usalama vya Nchi yetu
=> Utekaji nchi hii unachagizwa na ukondoo wa Watanzania
Kutegeana kulinda maslahi binafsi hakuna mkombozi wa kukodiwa , pressure pressure je wataelewa?
 
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, ameibua wasiwasi juu ya uwezo wa vyombo vya usalama nchini kuchunguza kesi za mauaji na utekaji zinazoshika kasi hivi karibuni.

Lissu amesisitiza kuwa ni vigumu kwa vyombo hivyo kujichunguza vyenyewe na kutoa haki, akidai kuwa uchunguzi wa huru unahitajika ili kuhakikisha uwazi na ukweli katika kesi hizi. Amesema matukio haya yameibua hofu miongoni mwa wananchi, na kutoa wito wa hatua za haraka kukomesha hali hiyo.

Soma pia;
=> Freeman Mbowe: Viongozi wa CHADEMA na Watanzania wasio na Vyama wanaoendelea kutekwa na Vyombo vya Usalama vya Nchi yetu
=> Utekaji nchi hii unachagizwa na ukondoo wa Watanzania
Ni kweli.
 
Vitashindwaje kuichunguza chadema ambae ina uchaguzi wa ndani ambao ni wa moto sana, na ambayo pia ndio suspect namba moja wa singombingo hiyo ya mauaji? itashindaweje kwa mfano 🐒
Sometimes kukaa kimya ni hekima Sana kuliko kuongea, hususani kwenye suala hili nyeti Sana la watu kuuawa kiholela.

Usifikiri kwamba hao Watu wote ambao wamenyamaza kimya ukadhani hawana kitu Cha kusema au hawajui kusema, la hasha.
 
Sometimes kukaa kimya ni hekima Sana kuliko kuongea, hususani kwenye suala hili nyeti Sana la watu kuuawa kiholela.

Usifikiri kwamba hao Watu wote ambao wamenyamaza kimya ukadhani hawana kitu Cha kusema au hawajui kusema, la hasha.
kukaa kimya ni kusaidia kudhulumu haki na stahiki za waliopoteza maisha kwasabb za uchu wa madaraka, tamaa za vyao na uongozi katika vyama kwa waliokosa uhalali na hoja za kua viongozi tena...

hata hivyo,
kunyamazia au kushupaza shingo kupinga ukweli sio suluhisho, siku ya mwisho mbele za haki lazima utaulizwa 🤭
 
Vitashindwaje kuichunguza chadema ambae ina uchaguzi wa ndani ambao ni wa moto sana, na ambayo pia ndio suspect namba moja wa singombingo hiyo ya mauaji? itashindaweje kwa mfano 🐒
Daah! Wee Jamaa tangu sakata hili lianze nimefatilia hoja zako, itoshe tu kusema Kuna namna unataka kupotosha, ukweli! Au labda uu mhusika,
 
Back
Top Bottom