yeyote anaeshupaza shingo HQ ya chama isifanyiwe uchunguzi anasaidia kudhuluma kwa haki na stahiki za kamanda Ally Kibao, na ataulizwa siku ya mwisho mbele za haki, asijidanganye
Vitashindwaje kuichunguza chadema ambae ina uchaguzi wa ndani ambao ni wa moto sana, na ambayo pia ndio suspect namba moja wa singombingo hiyo ya mauaji? itashindaweje kwa mfano 🐒
basi msiwatoe watu wenu kafara kwa ramli chonganishi na kuwachukua wananachama wenu misukule halafu mnasingizia sijui ati nini, useless kabisaaaa, acheni ushirikina 🐒