Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
Yapi?Tuliyajua haya
Hakuna jema kwa mwanadamu.Kile walichokipata ndio stahiki yao.Yapi?
Huu ni ukweli mtupu, mwanasheria nguli na mgombea urais wa JMT kupitia Chadema anasema kweli tupu. Kama hawakuwa na makosa walipwe fidia na walioshiriki kuzifungia bila makosa wachukuliwe hatua.
View attachment 1746090
Mataga nakuonaLissu akili kubwa sana hatutaamini siku jamaa akiwa mfalme wa Ubelgiji
MatagaHivi huyu bwana mdogo anarudi lini?