Tangu lini Chadema wakaitakia mema ccm hadi wajipe kazi ya kumsifia rais Samia?.Huu ni ukweli mtupu, mwanasheria nguli na mgombea urais wa JMT kupitia Chadema anasema kweli tupu. Kama hawakuwa na makosa walipwe fidia na walioshiriki kuzifungia bila makosa wachukuliwe hatua.
Huyu nae hata kama tunamsapoti kuna mambo anapaswa atumie akili kiutawala, sitaki kuamini Lissu haelewi kilichofanyika. Hii sasa ataanza kupoteza watu tunaomuelewa.Huu ni ukweli mtupu, mwanasheria nguli na mgombea urais wa JMT kupitia Chadema anasema kweli tupu. Kama hawakuwa na makosa walipwe fidia na walioshiriki kuzifungia bila makosa wachukuliwe hatuhu
Chokochoko alizileta yule aliyekuwa anafungia ovyo kumfurahisha bwana akewameanza chokochoko
Mbizani ni mdudu ganiDaah kuwa mbinzani ni kazi sana
Hujaelewa mtego wa Lissu.Wamesema magazeti yaliyofungiwa ilikuwa ni kwa mujibu wa sheria.Inamaana huko ni kukiri kuwa kwa Hizi online tv ambazo zimefunguliwa sheria haikufuatwa!Au kama sheria ilifuatwa kwa vyote,na ni msamaha kama unavyosema, kwa nini wasivifungulie vyote?Huu ndo ujumbe wa Lissu kwa undani wake kidogo....Huyu nae hata kama tunamsapoti kuna mambo anapaswa atumie akili kiutawala, sitaki kuamini Lissu haelewi kilichofanyika. Hii sasa ataanza kupoteza watu tunaomuelewa.
In short, mama alichofanya ni kwamba angeweza kuamua kukaza kwani mngemfanya nini? Sababu waliofungiwa walitumia utaratibu wa Sheria iliyopo/zilizopo. Yawezekana Sheria hizo ndio kandamizi, Rais hawezi kuziongelea pale ndio maana ametoa kwanza waliofungiwa wafunguliwe halafu ndio tuanze upya.
Kwenye kuanza upya ndipo ataambiwa kwamba tatizo ni sheria iliwekwa ya kikandamizi sana hapo ndipo ataweza kuchukua steps zaidi.
Kimsingi hiyo ni amnesty/msamaha, sababu haimhusu yeye, yeye anataka uhuru wa habari uwepo ndio maana amegusia kwani ai angeweza kukaa kimya tu nani angemsumbua?
Sasa basi, kwa msamaha huo maana yaje ndio yale maneno kwamba tusameheane tuanze upya sasa Lissu anataka ligi ya nini?
Kuweni makini na Shoga Lissu. Atawapotosha kama alivyompotosha Shaka Ssali wa Straight Talk Africa! Eti, "...that dark guy, not the military guy; the other one not in uniform, is gone with Covid 19! Ahahahahhahah!!!!!Huu ni ukweli mtupu, mwanasheria nguli na mgombea urais wa JMT kupitia Chadema anasema kweli tupu. Kama hawakuwa na makosa walipwe fidia na walioshiriki kuzifungia bila makosa wachukuliwe hatua.
Ana anzaga hivi hivi badaye anakuwa mkosowaji jumla ni suala la Muda tuuuuHuu ni ukweli mtupu, mwanasheria nguli na mgombea urais wa JMT kupitia Chadema anasema kweli tupu. Kama hawakuwa na makosa walipwe fidia na walioshiriki kuzifungia bila makosa wachukuliwe hatua.
Tatizo Mataga hamna akiliAna anzaga hivi hivi badaye anakuwa mkosowaji jumla ni suala la Muda tuuuu
Ili yatima warudie tena baada ya kukosa shabaha?!Hivi huyu bwana mdogo anarudi lini?
Aje ili mumuue?Hivi huyu bwana mdogo anarudi lini?
Magufuli aliharibu taifa.wameanza chokochoko
Auliwe na Nani??Aje ili mumuue?