Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Wanaweza kutoza mpaka kodi ya kuzaa

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Wanaweza kutoza mpaka kodi ya kuzaa

G Sam

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2013
Posts
11,795
Reaction score
36,704
Hayo ndiyo maneno ya Tundu Lissu leo. Amewaasa watanzania wawe makini kwani kwa lundo la kodi alilotoza Rais Magufuli basi upo uwezekano ikiwa atarudi madarakani akatoza mpaka kodi ya kujifungua.

"Tabora hakuna Bodaboda ambaye hajanyang'anywa hela na Polisi, naambiwa ukipark pikipiki 500, ukiingia stendi 1000, ukipiga kona ukakutana na Askari Elfu 30, vitambulisho vya Machinga Elfu 20, Wanawake pesa zenu zinachukuliwa hayo ni maendeleo?,wataleta hadi kodi ya kuzaa"-LISSU

Dah ila kama kuna ukweli vile. Haiwezekani kiongozi unajimwambafai kumbe unawaumiza wananchi wako.
 
Magufuli huwa hata haelewi kwa ninia nabehave vyenye anabehave
 
Halafu alishamaliza kuwaambia anawambia washike simu zao wabonyeze star Mia hamsini star reli
 
Kaishiwa...amebaki kuokoteza 'vijineno' vya uongo! Kodi zote ni kwa mujibu wa sheria! Anawatesa sana wafuasi wake. Poleni zao
 
Na pia hapa duniani hakuna inchi ata moja ambayo watu hawalipi kodi
 
Hayo ndiyo maneno ya Tundu Lissu leo. Amewaasa watanzania wawe makini kwani kwa lundo la kodi alilotoza Rais Magufuli basi upo uwezekano ikiwa atarudi madarakani akatoza mpaka kodi ya kujifungua.

"Tabora hakuna Bodaboda ambaye hajanyang'anywa hela na Polisi, naambiwa ukipark pikipiki 500, ukiingia stendi 1000, ukipiga kona ukakutana na Askari Elfu 30, vitambulisho vya Machinga Elfu 20, Wanawake pesa zenu zinachukuliwa hayo ni maendeleo?,wataleta hadi kodi ya kuzaa"-LISSU

Dah ila kama kuna ukweli vile. Haiwezekani kiongozi unajimwambafai kumbe unawaumiza wananchi wako.
Mbona yeye anatulazimisha kututoza sadaka kwenyee ndoo za Lita 20 huku mapato na matumizi yake hatuambiwiiiii?
 
Back
Top Bottom