Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
Sawa mama wenjeTundu Lissu haaminiki tena, maelezo ya Wenje yamenyooka sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mama wenjeTundu Lissu haaminiki tena, maelezo ya Wenje yamenyooka sana.
Ishu ya yeye kukutana na Abdul anaiongea kikawaida sana na hata mazingira ya wao kukutana bado sio convincing kukubali kuwa yalilenga kumsaidia Lisu kupata stahiki zake.Sure,at the same time anaongea kirahisi tu eti nilikutana na Abdul kwenye sherehe nikaona atusaidie Lissu kulipwa hii error in argument kabisa na conclusion yake inaonyesha Abdul anafahamiana naye ila anamislead umma
Huyu jamaa anatakiwa anyamaze tu. Kwa vyovyote hivyo haina maslahi kwa umma zaidi ya kukifanya chama chake kuwa ni hopeless. Kwa vile mambo hayo yalifanyika katika Kamati Kuu basi wale watakaopiga kura wanajua ukweli wake. Kama Wenje anamsingizia watamnyima kura za umakamu Mwenyekiti na watashinikiza ajitoe kwenye chama. Kama yeye ndie anayemsingizia Wenje atausikia uenyekiti redioni.Ezekia Wenje amekiri mwenyewe kwamba kuna video recording ya mjadala wa tuhuma dhidi yake na wenzake kupokea pesa za Abduli na mama yake. Ni kweli. Walirekodi kikao hicho chote kwa video.
Ili kuondoa ubishi wa suala hili ninawashauri watoe video recording yote ya kikao hicho. Wasikate vipande vipande wala wasihariri chochote. Watoe video nzima ya mjadala huo ili wanachama na Watanzania wajue ni akina nani walituhumiwa kwa kupokea pesa ya Abduli na mama yake, ushahidi niliouwasilisha dhidi yao na wao wenyewe walijiteteaje!!!View attachment 3181258
Lissu ashikilie hapo hapo ili chama kirejeshe heshima yake iliyoanza kupotea.Tundu Lissu haaminiki tena, maelezo ya Wenje yamenyooka sana.
Uko sahihi.........Ishu ya yeye kukutana na Abdul anaiongea kikawaida sana na hata mazingira ya wao kukutana bado sio convincing kukubali kuwa yalilenga kumsaidia Lisu kupata stahiki zake.
Inawezekana kwenye proposal ya Lisu kupata fedha zake kulikuwa kuna agenda nyingine nyuma yake ambayo Abdul na Wenje walikuwa wamekubaliana.
We mtu wewe inaonekana uwezo wako wa kuchambua mambo ni mdogo.Mapandikizi yapo na yataendelea kuwepo na watajibihevu kama wapinzani kweli,kumbe wanazuga.Mpinzani halisi ni Lissu,hata CCM wanajua hilo,ndomaana wanamsapoti Mbowe ambaye ni dhaifu kwao,na kumpinga Lissu kwa gharama kubwa.Hakuna mapandikizi wala nini, hayo mapandikizi yangekuwa na maana yoyote kusingekuwa na hekaheka kubwa hivyo za dola kunyamazisha upinzani na ukosoaji kwa nguvu kubwa hivyo.
Ndo hicho kinachofanya serikali ya CCM imuogope.Uzuri wa lissu hapepesi maneno, ukweli na uwazi.Wenje tamaa imemponza, Abdul alitumika tofauti na alivyodhani
Hapo umempa mtihani mgumu sana,hawezi kudhibitisha.Mkuu unaweza kutoa ushahidi wa hicho unachokisema. Hii itakuwa ni njia sahihi ya kumzuia kuendelea kugombea na kupunguza maneno.