Tundu Lissu zungumzia pia hoja ya serikali ya CCM kushindwa kulipa malimbikizo ya mishahara ya watumishi wa umma na malimbikizo mengineyo

Tundu Lissu zungumzia pia hoja ya serikali ya CCM kushindwa kulipa malimbikizo ya mishahara ya watumishi wa umma na malimbikizo mengineyo

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Tundu Lissu,mbali na serikali hii kushindwa kuongeza mishahara ya watumishi wa umma kama sheria inavyotaka,lakini pia imeshindwa kulipa malimbikizo ya mishahara ya watumishi wa umma licha ya watumishi kutakiwa kujaza form za madai ya malimbikizo yao mara kwa mara.

Kwa wasiolewa,wako baadhi ya watumishi walipata promotion enzi za JK mfano mwaka 2015, huku madai yao hayo yakiwa yamehakikiwa awamu hii kwa madai ya kujiridhisha kabla ya kulipa, lakini hawalipi licha ya kila wakati watumishi kutakiwa kujikaza form za madai ambazo huwasilishwa hazina kwa ajili ya malipo,malipo ambayo hayafanyiki.

Pia,kuna kipindi ziliibuka taarifa /madai ya baadhi ya watumishi kufutiwa barua zao za kupanda vyeo lengo likionekana ni serikali kukwepa kulipa malimbikizo ya mishahara jambo ambalo sio sahihi kabisa na miaka ya nyuma sidhani kama mambo ya aina hii yaliwa fanyika

Kwa kifupi,serikali hii imenyanyasa sana watumishi wa umma na huu ndio wakati sahihi wa kuyasema haya hivyo Lissu yaseme hadharani kila mtu asikie.

Kwahiyo, Lissu unapoongelea swala la watumishi kutoongezewa mishahara, usiache kuongelea pia na maswala haya ya serikali hii kutolipa madai mengine ya watumishi wa umma kwa muda mrefu sasa.
 
Tundu Lissu,mbali na serikali hii kushindwa kuongeza mishahara ya watumishi wa umma kama sheria inavyotaka,lakini pia imeshindwa kulipa malimbikizo ya mishahara ya watumishi wa umma licha ya watumishi kutakiwa kujaza form za madai ya mishahara yao mara kwa mara.

Kwa wasiolewa,wako baadhi ya watumishi walipata promotion enzi za JK mfano mwaka 2015, na wana madai yao ambayo yamehakikiwa awamu hii lakini hawalipwi licha ya kila wakati kutakiwa kujikaza form za madai ambazo huwasilishwa hazina kwa akili ya malipo,malipo ambayo hayafanyiki.

Pia,kuna kipindi ziliibuka taarifa /madai ya baadhi ya watumishi kufutiwa barua zao za kupanda vyeo lengo likiwa ni serikali kukwepa kulipa malimbikizo ya mishahara jambo ambalo sio sahihi kabisa na miaka ya nyuma sidhani kama mambo ya aina hii yaliwa fanyika

Kwa kifupi,serikali hii imenyanyasa sana watumishi wa umma na huu ndio wakati sahihi wa kusema haya hivyo Lissu yaseme hadharani kila mtu asikie.

Kwahiyo, Lissu unapoongelea swala la watumishi kutoongezewa mishahara, usiache kuongelea pia na maswala haya ya serikali hii kutolipa madai mengine ya watumishi wa umma kwa muda mrefu sasa.
Hivi hawa watumishi wa umma wenye malalamiko lukuki hivi, kinachowafanya waendelee kung´ang´ania hizo nafasi ni nini?

Si waache kazi wakajiajiri, sie wengine tunaotafuta hicho kidogo walichonacho tupate fursa hiyo?

Mie nimejipanga, nikipata ajira hiyo, miaka 5 nitakuwa tayari na connections na mtaji wa kujiajiri.
 
Hivi hawa watumishi wa umma wenye malalamiko lukuki hivi, kinachowafanya waendelee kung´ang´ania hizo nafasi ni nini?

Si waache kazi wakajiajiri, sie wengine tunaotafuta hicho kidogo walichonacho tupate fursa hiyo?

Mie nimejipanga, nikipata ajira hiyo, miaka 5 nitakuwa tayari na connections na mtaji wa kujiajiri.
Mbona huhoji wao kulalamika kuwa kuwa uraisi ni mgumu lakini bado wanang'ang'ania kuendelea kubaki madarakani.
 
Mbona huhoji wao kulalamika kuwa kuwa uraisi ni mgumu lakini bado wanang'ang'ania kuendelea kubaki madarakani.
Huo uraisi hata wakiuacha sina uwezo nao, lakini huku kwenye utumishi wa kusoma magazeti ukisubiria muda wa kunywa chai na lanchi. Kupanga na kupangua mafaili, ni size yangu kabisa. Watupishe tu.
Mtu mpaka kiwanja unapewa mpaka hati kwa mkopo bado unalalamika, wakati vyeti vyenyewe vya kuunga unga? Na sie tuliojaza vyeti tunakosa ukuta wa kutundukia. Watupishe.
 
Hivi hawa watumishi wa umma wenye malalamiko lukuki hivi, kinachowafanya waendelee kung´ang´ania hizo nafasi ni nini?

Si waache kazi wakajiajiri, sie wengine tunaotafuta hicho kidogo walichonacho tupate fursa hiyo?

Mie nimejipanga, nikipata ajira hiyo, miaka 5 nitakuwa tayari na connections na mtaji wa kujiajiri.

Wewe kwa akili yako ni kuwa kila mtu asipofanya kazi za utumishi wa umma hizo kazi zitafanywa na nani?
 
Wewe kwa akili yako ni kuwa kila mtu asipofanya kazi za utumishi wa umma hizo kazi zitafanywa na nani?
Waache tu hizo kazi uone.

Watumishi wa umma hawazidi laki 5 nchi nzima. Kuna jobless wangapi wenye qualifications zao?

Kila mwaka kuna graduates wangapi ambao wanakosa ajira?
 
Waache tu hizo kazi uone.

Watumishi wa umma hawazidi laki 5 nchi nzima. Kuna jobless wangapi wenye qualifications zao?

Kila mwaka kuna graduates wangapi ambao wanakosa ajira?

Kwa hiyo na hao watakaojiriwa baada ya hawa kuacha nao hawastahili kupewa maslahi yao yaliyoko kisheria na katika mikataba ya kazi?
 
Tatizo la watumishi ni kudhani kuipigia kura upinzani ni kujifuta utumishi. Watumishi ni wajinga achia tu kuwa waoga, hawana umoja. Viongozi wao wote ni watu wa system kwahiyo hawawezi kujitetea na kila wakati wametiwa hofu waliojengewa.
 
Hivi hawa watumishi wa umma wenye malalamiko lukuki hivi, kinachowafanya waendelee kung´ang´ania hizo nafasi ni nini?

Si waache kazi wakajiajiri, sie wengine tunaotafuta hicho kidogo walichonacho tupate fursa hiyo?

Mie nimejipanga, nikipata ajira hiyo, miaka 5 nitakuwa tayari na connections na mtaji wa kujiajiri.
Utoto unakusumbua ukikua utaacha
 
Back
Top Bottom