Taarifa za kuaminika toka ndani ya CC ya Chadema zinadai kwamba miongoni mwa majina yalikua shortlisted kwa ajili ya Kurugenzi ya Habari ni pamoja na;
1. Gervas Lyenda
2. Liberatus Mwang’ombe
Na kwamba Terms of Reference (ToRs) zilikua pamoja na mambo mengine Candidate wa nafasi hiyo ya Ukurugenzi awe na sifa za jumla zifuatazo;
1. Mwanachama na Pro Supporter wa Uongozi wa sasa asiyeweza kutiliwa shaka.
2. Awe na elimu na uzoefu katika eneo la Habari/Tech/Mawasiliano ya kimakakati ya Chama
3. Awe ni mtu aliyejijenga katika mitandao ya kijamii hususani ile ambayo kwa nyakati tofauti imekua nguzo ya kisiasa ya Chama kama X na JF
Ila ghafla bin VUU Mwenyekiti akaibuka na jina la Bibie pichani….Ak
View attachment 3270332ili Mtu wangu