Pre GE2025 Tundu Lisu: Nitashinda uchaguzi Namba ziko upande wetu Majimbo yote na Mikoa yote tunaongoza na sitohama chama!

Pre GE2025 Tundu Lisu: Nitashinda uchaguzi Namba ziko upande wetu Majimbo yote na Mikoa yote tunaongoza na sitohama chama!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kauli ya Tundu Lisu... Hakuna kuhama chama na na uchaguzi tunashinda...kauli ya kiongozi
One of the qualities of good leader is to give a strong speech with very enough confidence.. Bravo... Tundu lisu
 
The most untrusted person in Tanzania is Lisu

Huyu huwezi kumwamini, msikilize
 

Attachments

  • SINA MPANGO WA KUGOMBEA UENYEKITI LISU.mp4
    7.1 MB

Ghgws-PWgAA4Adu.jpeg
 
Kauli ya Tundu Lisu... Hakuna kuhama chama na na uchaguzi tunashinda...kauli ya kiongozi
One of the qualities of good leader is to give a strong speech with very enough confidence.. Bravo... Tundu lisu
Hata Mch. Msigwa baada ya uchaguzi na kushindwa alitoa "a very strong speech" kwa HATAHAMA Chadema. Leo yupo kwenye Mkutano Mkuu wa CCM akiimba "CCM Nambari Wani"! Ahahahahaha!!

Sasa hivi anasubiriwa Lissu!
 
Hapo kwenye hakuna kushindwa, ni kama anaongea as if hakuna demokrasia ya kuchagua.
Au ndo ule uchaguzi wa mwaka jana "NDIO/HAPANA "????

Kwani hukuwahi kusikia dalili za mvua ni mawingu?

Kwamba taifa star na Brazil hujui nani kushindwa.

Au Odelo unadhani anaweza kushinda?

Wacheni unafiki wandugu!
 
Hata Mch. Msigwa baada ya uchaguzi na kushindwa alitoa "a very strong speech" kwa HATAHAMA Chadema. Leo yupo kwenye Mkutano Mkuu wa CCM akiimba "CCM Nambari Wani"! Ahahahahaha!!

Sasa hivi anasubiriwa Lissu!
Kwani Lissu yumo kwenye bango la mkutano wa ccm? HUYO kwenye bango anatamani angekuwepo hapo na mwenzake sema basi tu Lissu mbeya "by mwamba" (mbeya ni mtu anayesema mambo ya kweli ila hajatumwa ayaseme) amemvurugia.
 
Back
Top Bottom