stonecutter
JF-Expert Member
- Jun 12, 2022
- 1,724
- 2,584
Wala hujashangaa Mbowe anavyoung'ang'ania uenyekiti licha ya kuongoza kwa zaidi ya miaka 20...Mimi sina tatizo la Lisu kuwa M/Kiti. My concern ni namna anayoutafuta huo Uenyekiti ,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wala hujashangaa Mbowe anavyoung'ang'ania uenyekiti licha ya kuongoza kwa zaidi ya miaka 20...Mimi sina tatizo la Lisu kuwa M/Kiti. My concern ni namna anayoutafuta huo Uenyekiti ,
Hata Mch. Msigwa baada ya uchaguzi na kushindwa alitoa "a very strong speech" kwa HATAHAMA Chadema. Leo yupo kwenye Mkutano Mkuu wa CCM akiimba "CCM Nambari Wani"! Ahahahahaha!!
Sasa hivi anasubiriwa Lissu!
Dogo usiingie kwenye mijadala ya wazi kama huna details.Kwani Lissu yumo kwenye bango la mkutano wa ccm? HUYO kwenye bango anatamani angekuwepo hapo na mwenzake sema basi tu Lissu mbeya "by mwamba" (mbeya ni mtu anayesema mambo ya kweli ila hajatumwa ayaseme) amemvurugia.
Ahahahahaha! Kuna mwafrika anayeshindwa kwenye uchaguzi akakubali!? Ahahahahaha!!Weka takwimu sawa sawa, siyo baada ya uchaguzi, bali baada ya kuibiwa uchaguzi!
Ahahahahaha! Kuna mwafrika anayeshindwa kwenye uchaguzi akakubali!? Ahahahahaha!!
Lissu ni Mwamba .Kauli ya Tundu Lisu... Hakuna kuhama chama na na uchaguzi tunashinda...kauli ya kiongozi
One of the qualities of good leader is to give a strong speech with very enough confidence.. Bravo... Tundu lisu