Azimisha akili ila ipo sku itarejeaUnyang'anyi kwa kutumia Silaha Poleni CHADEMA na Jamii ya Vibaka wenzake.
Hii mishetani ndiyo maana YESU ALIISHUTI PEUPE KUWA. MSIWASHITAKI WATU KWA UONGO.. LAKINA HAYASIKII ALAFU YANATAKA KWENDA MBINGUNI. Waambie wanaowatuma kuonea watu wakumbuke kuwajengea mbingu yao ya matofari ya kuchoma.Anao.moja ya marafiki wakubwa wa shetani ni tabia za ushoga na usaliti.
Si rahisi,jambo hili sio la kwanza.Lwakatare alizushiwa ugaidi akawa anapeleka mahakamani na kikosi kazi kwa mwendo mkali na bunduki zikiwa nje, mwisho ikaonekana ni uongo.Mdude Chadema kateswa na bado anaozea jela tena Mbeya huko huko na hakuna kilichotokea. Ofisi za Chadema zimechomwa,hakuna kilichotokea.Kimsingi tayari amani ishavurugika , anasubiriwa muwasha sigara tu kwenye petroli
Mtanyooka tu mlipo tupo!#Update_Kutoka_Tunduma
Mgombea Udiwani wa Chadema Kata ya Majengo mjini Tunduma Boniface Mwakabanje ambae alikuwa anashikiliwa kwa ishu ya uraia, leo mchana amefikishwa Mahakamani na kupewa kesi ya 'Armed robbery' shitaka hili halina dhamana so kapelekwa magereza.
Tunawasubiri kwa hamu ile mbayaaaaa!!CCM wanataka kutuvurugia amani ya nchi...
Haya ngoja tusubiri hiyo kesho mkate jina la Lissu ili watanzania waamue moja!!
We we charge sheet inakuhusu mini kama huamini si uende mahakamani ukaulize hiyo charge sheet.Weka source ya information ikiwezekana charge sheet ili tuweze kwenda vizuri
Karibu tunakusubiriWana Tunduma , Hamjawai kuniangusha! Sasa tuwaonyeshe hawa wahuni sasa uonevu na upuuzi sasa baasi!!
Unamwamini huyo beberu kweli?Kuna kila sababu Sasa, Robert Amsterdam LLP kuanzia kazi yake mapema.