Uchaguzi 2020 Tunduma: Polisi Wawapandisha Kizimbani Wagombea Udiwani wa CHADEMA, Wadaiwa kufanya Wizi kwa kutumia Silaha, mmoja akosa dhamana

Safi sana CCM endeleeni kutumia fursa ya dola. Wapinzani ni wapiga kelele tu yaani kazi kulalamika daily kulalamika tu hawawezi fanya lolote. Yaani wanashindwa ata kummwagia tindi kali mkurugenzi mmoja wakamtia upofu. Endeleeni CCM wakateni wote hao halafu wasuse.
 
Wananchi watoe mfano inapokanyagwa haki iwe na polisi au nani ili wajifunze ,tuache woga hawataacha . Kwa kumalizia hebu niwekeeni majina yote ya polisi na maofisa waliohusika tuwashtakie kwa Mungu tumechoka ata radi zifanye kazi.
 
Unyang'anyi kwa kutumia Silaha Poleni CHADEMA na Jamii ya Vibaka wenzake.
Wana CCM kuweni na akili kama hamna akili kuweni na huruma! Hili sio jambo la kufurahia wala kushangilia.

Mtu amekamatwa kwa kosa linalosemekana ni la uraia, mara amebadilishiwa na kupewa kosa la unyang’anyi kwa kutumia silaha, bado mnashangilia tu sababu mnajiona mko salama sana! Kaka we uko salama kiasi gani? Unalala kitanda kimoja na malaika mkuu?
 
Wananchi watoe mfano inapokanyagwa haki iwe na polisi au nani ili wajifunze ,tuache woga hawataacha . Kwa kumalizia hebu niwekeeni majina yote ya polisi na maofisa waliohusika tuwashtakie kwa Mungu tumechoka ata radi zifanye kazi.
Sio polisi tu, kuna ofisi za CCM, nyumba zao na Mali zao. Tunaanza na izo pia then tunaamia za serikali

Sasa ni Rasmi liwalo na liwe.
 
Mmejua kuwa ni waalifu sasaivi kipindi cha uchaguzi eeeh???? Mtajua hamjui mwaka huu!!! Subirini muone
 
Chadema na upinzani kama hamuwezi kuchukua hatua achaneni na siasa mjiunge na CCM kulia lia hakuwezi kuwasaidia... Yaani mnataka kushika dola kwa msaada wa CCM? yaani CCM ndio iwasaidie kwenye harakati zenu za kuchukua dola?.. acheno utoto nyie.
Wananchi wenyewe tumeshaamua hatua za kuchukua. Hatusubiri Chadema, CCM watajuta mwaka huu
 
Kwa hiyo Wagombea wa CHADEMA wamekuwa majambazi ghafla baada ya kuchukua fomu? lini na wapi walifanya hilo tukio?
 
Hizo fomu mmekaa nazo mpk leo kwa lengo gani?
Washenzi nyie
Mbatia hasira
 
Kabisa mkuu nimekuelewa sana
 
Kuna ushahidi wowote au ni kubambikizana tu? Kwa mfano baadaye ikionekana kuwa polisi hawakuwa na ushahdi watawalipa fidia ya usumbufu (reparation)? Sijui sheria za usumbufu hapa kwetu zinasemaje, ila kipindi hiki cha uchaguzi iwapo itaonekana hawakuwa na kosa lolote wanaweza kudai fidia ya kuwaharibia chance zao kuwa madiwani kwa miaka mitano ijayo.
 
Mmejua kuwa ni waalifu sasaivi kipindi cha uchaguzi eeeh???? Mtajua hamjui mwaka huu!!! Subirini muone
Usiseme subirini muone. Macho yetu ni mazima. Kama kuna giza tuwashe taa.
Tabia ya mtoto kumwambia mtu mzima nitakuchapa ACHA. Utapata kipigo cha paka mwizi.
 
Usiseme subirini muone. Macho yetu ni mazima. Kama kuna giza tuwashe taa.
Tabia ya mtoto kumwambia mtu mzima nitakuchapa ACHA. Utapata kipigo cha paka mwizi.
Endeleeni na kejeli zenu. Majibu mtayapata soon
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…