sblandes
JF-Expert Member
- Apr 25, 2010
- 6,632
- 4,737
Justice side.Whose side are you, oppressor's or the oppressed ?
Two wrongs do not make a right
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Justice side.Whose side are you, oppressor's or the oppressed ?
Amsterdam kwa waume zenuSafi sana Tunduma!!! Tena chukueni ushahidi wote. Akifa mtu au kujeruhiwa mtu tu tunatuma Amsterdam. Mwaka huu lazima wanyoke
Chato kwa wanaume zenuAmsterdam kwa waume zenu
Mwaka huu lazima kiwanase ndo mtaelewa maana ya chama dolaChato kwa wanaume zenu
Baadae huambiwa wakiri makosa walipe pesa waachiwe huruMtakatishaji fedha,mhujumi uchumi,sio mtanzania............. Ndio makosa yakupachikia watu
Haohao mtapata majibu yenu mwaka huuAmsterdam kwa waume zenu
Sometimes polisi wetu wanaonekana wanatumika na CCM, Kwanini hawatumii akili kufanya mambo yao? Siku zote walikuwa wapi kujua kwamba Mwakabanje si raia halali wa Jamhuri hii?Wapakateni hao wanamjua kuwa sio raia baada ya kutia nia kugombea udiwani?
Walikuwa wapi siku zote?
Unayakumbuka ya Omar Mahita!? Au ulikuwa mdogo kipindi hiko?Nilishawahi kusema humu kuwa IGP Sirro ataingia kwenye historia kuwa IGP wa hovyo kupata kutokea ndani ya Tanzania huru.
Atajiaibisha yeye, familia yake hata na mtoto wake mmoja kule Mwanza ambaye naye ni polisi.
Picha....tafadhali.
Dawa yao sasa ni kuchukua namba zao za simu zinatumwa mitandaoni kisha watanzania kuwamiminia ujumbe kibao wapate fundishoKutokana na uonevu kwa Raia wasio na hatia baadhi ya polisi na CCM wanaotenda MATENDO ya KISHETANI walaaniwe