Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 24,977
- 23,799
TUNDUMA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
JanaLini hiyo
Vipi wamemtoa?Jana
Utaelewa baada ya uchaguzi.Mbona kama mwaanza kumletea viroja badala ya hoja?
Kama sio raia..miaka yote ameishi vipi bila ya vibali?Tulia nae MzambiaHata kama siyo raia wa TZ?
Wee ndo mjinga na mlevi ..inaonekana hata wkt unachangia hii mada ulikuwa umelewa
Nishaanza kumfuatilia , nashukuru kwa kunikumbusha mkuuHuyo YEHODAYA, aliwahi kujitangaza humu kuwa anaomba tenda ya kumuua Lissu na haukupita muda Lissu akamiminiwa risasi. Labda anasahau JF kwa utunzaji wa kumbukumbu...ushahidi upo
Halafu kwenye pingamizi kuna hicho kipengele cha kumpinga mtu kama sio raia. Kwanini wasiache aka pingwe na wagombea wenzake? Hadi polisi wasaidie?? Nini kiko nyuma ya hili jambo? Polisi aata haribu huu uchaguzi.Kama sio raia..miaka yote ameishi vipi bila ya vibali?Tulia nae Mzambia
Mabomu yanapigwa mda huu kituo cha polisi Tunduma, wananchi wameandamana wanataka Polisi wamwachie mgombea Udiwani wa Chadema kata ya Majengo Boniface Mwakabanje ambaye anashikiliwa kituoni hapo tangu jana usiku kwa tuhuma za kutengenezwa na Polisi kwamba sio raia wa Tanzania
Hii ni tweet ya Hilda Newton mwanachadema
hapana, uhamiaji wakishakamata si wanapeleka polisi.Polisi sio kazi yao kutambua raia. Hiyo ni kazi ya uhamiaji.
Mbona ndugu yake anayegombea kupitia CCM hakamatwi, haiwezekani na haitatokea mpapai ukazaa mapapai na nazi.Mabomu yanapigwa mda huu kituo cha polisi Tunduma, wananchi wameandamana wanataka Polisi wamwachie mgombea Udiwani wa Chadema kata ya Majengo Boniface Mwakabanje ambaye anashikiliwa kituoni hapo tangu jana usiku kwa tuhuma za kutengenezwa na Polisi kwamba sio raia wa Tanzania
Hii ni tweet ya Hilda Newton mwanachadema
Ni Songwe sio MbeyaWana mbeya hakuna kurudi nyuma, uonevu sasa baaasi.
kwani wengine wameingia kweny vyombo vya ulinz kwa ajili ya Nini mzee Kama sio ajira.Ndio kilichobaki na wengi waliopo kwenye vyombo vya ulinzi hasa polisi waliingia kwaajili ya ajila tu. So kikiwaka wote hutawaona watatawanyika mpaka kiranja wao.
hakuna ambaye hana Cha kupoteza maisha haya mzeeMbona unajiamini sana we boya. Au unafikiri mimi ni mwanasiasa. Usichezee moto. Watu wamechoka na hawana cha kupoteza so be careful.
Mataga mtataga mwaka huuSio Wana nch Sema Wana chama wa chadema wamepigwa mabom wakijaribu kumtorosha muhamiaj haram
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Hamna kuwaachia, wanatumika kisiasa, sio wazalendo uhamiaji!Sasa si waachie uhamiaji wafanye kazi zao ?