Kabisa kabisa mkuu
Apia
Sijawahi mkuuWe mfupi kumbe 🙄
Hujawahi kua mfupiSijawahi mkuu
Njaa ya hela ndio inafanya mnatokwa na utelezi bila hivyo patakua pakavu hapo km wachaga,Tafuta hela uache kudanganywa kirahisi na wanaume.
Kwa hio weusi ndio hawana helaTafuta ela we sio mweusi
wazitoe wapi,😅😂 jokeKwa hio weusi ndio hawana hela
Unakuwa handsome ghaflaKabisa kabisa mkuu
Tafuta pesa Malaya akale kuku.Tafuta hela, pilau sio chakula cha sikukuu tu
mafundi Tanesco wana matusi sijawahi ona mpinzani waoTafuta pesa Malaya akale kuku.
Hii kauli utaikuta kwa wabeba ZEGE site na wale mafundi wa nguzo za tanesco (jamàa hawa wana nyimbo nyingi za matusi)
Parental advisory explicit content
Wanatukana matusi bila aibu hapo uwakute wanapandisha nguzo hayo matusi yanayoshuka sasa mpaka nguzo iwekwe kwenye shimo,mafundi Tanesco wana matusi sijawahi ona mpinzani wao