Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
- Thread starter
- #41
Itakuwa Insha Allah!Natamani kuona ukiwa uko sahihi nami niwe nimekosea na baada ya miaka kadhaa sgr iwe ndio tegemeo la usafiri tanzania
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itakuwa Insha Allah!Natamani kuona ukiwa uko sahihi nami niwe nimekosea na baada ya miaka kadhaa sgr iwe ndio tegemeo la usafiri tanzania
Kwa biashara ipi ya south sudan?Dunia hailali. Kila siku watu wanaumiza vichwa vyao wafanyaje kukamata fursa ili kuwa na maendeleo makubwa kiuchumi.
Kenya anapambana akamate soko la mizigo la Uganda, Sudani Kusini , Ethiopia na baade Afrika ya Kati kupitia Sudani Kusini. (Kupitia mpango wao wa The Northen Corridor)
Wiki hii Waziri wa Miundombinu wa Uganda ametangaza wanaanza ujenzi wa reli (SGR) kutoka Malabo hadi Kampala. Huku Kenya anapambana kufikisha SGR yake Malabo kutoka Mombasa.
Sisi tunapeleka SGR hadi Burundi na kisha Congo (alafu tunalizika tu). Hivi tunashindwaje kuipeleka hadi kagera iingie Uganda alafu tupambane ifike hadi Sudani Kusini kabla ya Kenya?
Kama tungekuwa na Baraza la Mawaziri lenye akili zinazochaji kweli sasaivi nilitegemea tuwe na taarifa ya SGR kufika kagera mpaka wa Tanzania na Uganda alafu watu wanapambana iunganishwe hadi kufika Sudani Kusini.
Viongozi wetu wanalala sana. Ujinga wa Watanzania unawafanya wasiumize kichwa kufikiri kwa ajili ya kesho ya Tanzania zaidi ya Matumbo yao tu.
OMBI KWA RAIS SAMIA
Anzisha ujenzi wa Reli ya SGR kuelekea Kagera ifike hadi mpaka wa Tanzania na Uganda haraka iwekekanavyo kabla ya Kenya hajaanza kutekeleza ujenzi wa SGR Mombasa- Kisumu- Malabo.
Lord denning
Sinza, Dar es Salaam!
Mafuta, madini na kila kitu.Kwa biashara ipi ya south sudan?
Akili ya kuwaza kujenga jenga ilihali hata vilivyopo havijatumika ipasavyo ni kuongeza umasikini...kwa hiyo wewe unawafundisha Uganda na Sudan kusini kuona kile ambacho hawajakiona bado! wao wana vipaumbele vyao hata ufikishe reli mpakani km si kipaumbele kwao huwezi kuwafundisha! tumia kwanza miundo mbinu iliyopo kwa ufanisi wao ndio watakuomba ujenge hiyo reli!Kwani SGR ya sasa inajengwaje Burundi?
Umeishia darasa la ngapi?
Hujui sisi tukiwahi kuifikisha SGR mpakani mwa Uganda na Tanzania kabla ya Kenya itasababisha Uganda na South Sudan wabadili mipango yao na kuja Tanzania hivyo Tanzania kufaidika zaidi?
Endelea kulamba asali. Mada za namna hii zimekuzidi sana uwezoAkili ya kuwaza kujenga jenga ilihali hata vilivyopo havijatumika ipasavyo ni kuongeza umasikini...kwa hiyo wewe unawafundisha Uganda na Sudan kusini kuona kile ambacho hawajakiona bado! wao wana vipaumbele vyao hata ufikishe reli mpakani km si kipaumbele kwao huwezi kuwafundisha! tumia kwanza miundo mbinu iliyopo kwa ufanisi wao ndio watakuomba ujenge hiyo reli!
Hujui lolote wewe..labda kukesha kilabuni!Endelea kulamba asali. Mada za namna hii zimekuzidi sana uwezo
Uliisoma jiografia vizuri na kuielewa; halafu ukaiunganisha na elimu yako ya uchumi?Kenya anapambana akamate soko la mizigo la Uganda, Sudani Kusini , Ethiopia na baade Afrika ya Kati kupitia Sudani Kusini. (Kupitia mpango wao wa The Northen Corridor)
Pamoja na kutokubaliana naye kwa baadhi ya hoja yake, lakini kuna ukweli katika andiko lake hilo.Endelea kulamba asali. Mada za namna hii zimekuzidi sana uwezo
Very Wrong Idea!nchi jirani iwe by the way tu kwamba itawafikia tukishafikisha reli kwa watu wetu kwanza …
Mafuta na madini vinapanda sgr? 😂😂😂😂😂😂😂Mafuta, madini na kila kitu.
Hilo Daraja nalipa jina leo hii" "Daraja la Chura Kiziwi" - legacy ya mama hiyo!Kipaumbele Kwa Sasa ni zanzibar.hujasikia mama amesema wizara ya miundombinu waharakishe ujenzi wa daraja kuunganishwa Zanzibar?
Hapana.OMBI KWA RAIS SAMIA
Anzisha ujenzi wa Reli ya SGR kuelekea Kagera ifike hadi mpaka wa Tanzania na Uganda haraka iwekekanavyo kabla ya Kenya hajaanza kutekeleza ujenzi wa SGR Mombasa- Kisumu- Malabo.
Very Wrong Idea!
Kuunganisha mtandao wa ndani ni sahihi; lakini kusema "jirani iwe by the way", is absolutely wrong!
Hii ni biashara mkuu 'kijakazi", biashara ni lazima iingize faida ili miradi iweze kujiendesha yenyewe. Kusafirisha mizigo mingi toka nchi jirani, ikiunganishwa na hii ya humu humu ndani ndiyo biashara iliyo noga hiyo.
Maisha ni fursa. Dunia ya sasa kwenye maendeleo hakuna kuoneana hurumaHapana.
Hizi zitakuwa ni papara ziso kuwa na malengo maalum.
Ndiyo, Uganda tunaweza kumvuta atumie "baadhi" ya mzigo yake huku kwetu; lakini kijiografia, yeye ni mtu wa Mombasa, 'naturally'. Kenya watakuwa wamejipotea sana kumwacha Uganda atangetange kwingineko. Sudan Kusini? Hapana.
Ni hoja nzuri. Miundombinu inapaswa kuwa mahali pote kwa kurahisisha uzalishaji nchi nzima.ni waafrika tu ambao hawaelewi uchumi wa nchi unajengwa vipi ndiyo hufikiria hivyo, ulishawahi kufika Afrika Kusini na kuangalia infastructure walioijenga kwa miaka mingi iliyopita, unafikiri walijenga kwa kutarget nchi jirani au walijenga kutarget nchi yao kwanza? kwa maoni yangu lengo la kwanza la any big infrastructure project ambayo inajengwa na walipa kodi iwe kuhudumia ndani ya tanzagiza mambo ya nchi jirani ni extra kama nchi xyz inataka kuunganishwa na infrastructure tunaweza kushare cost waweke mezani kiasi kadhaa na sisi tuweke kiasi kadhaa tukubaliane tujenge lkn siyo sisi kufund reli maelfu ya km eti kwa ajili tu ya kuhudumia foreign country hiyo kwa maoni yangu siyo sahihi na huwezi kujenga uchumi wa nchi hivyo …
Kijakazi , ana hoja,Ni hoja nzuri. Miundombinu inapaswa kuwa mahali pote kwa kurahisisha uzalishaji nchi nzima.
Ila kwa faida kubwa lazima tutoke na nje ya nchi maana huko ndo kuna faida kubwa
Hili kamwe haliwezi kuwa jambo la mjadala mrefu, kwa sababu sote tunaelewa umuhimu wa kuwa na network nzuri ya kusafirisha mizigo, iwe ya ndani au/na nje.ni waafrika tu ambao hawaelewi uchumi wa nchi unajengwa vipi ndiyo hufikiria hivyo, ulishawahi kufika Afrika Kusini na kuangalia infastructure walioijenga kwa miaka mingi iliyopita, unafikiri walijenga kwa kutarget nchi jirani au walijenga kutarget nchi yao kwanza?
Binafsi sidhani kuwa kujenga reli yetu ni kwa sababu ya nchi hizo nyingine. Sijapata kuona popote ikielezwa kuwa ujenzi wa reli ni kwa sababu ya nchi jirani. Tunajenga tupate nafuu ya usafiri; lakini kama fursa ipo ya kupata faida maradufu kwa kuhudumia nchi jirani shida hapo ipo wapi?yao kwanza? kwa maoni yangu lengo la kwanza la any big infrastructure project ambayo inajengwa na walipa kodi iwe kuhudumia ndani ya tanzagiza mambo ya nchi jirani ni extra kama nchi xyz inataka kuunganishwa na infrastructure tunaweza kushare cost waweke mezani kiasi kadhaa na sisi tuweke kiasi kadhaa tukubaliane tujenge lkn siyo sisi kufund reli maelfu ya km eti kwa ajili tu ya kuhudumia foreign country hiyo kwa maoni yangu siyo sahihi na huwezi kujenga uchumi wa nchi hivyo
Ila Wabongo bana mna Maneno mnoDunia hailali. Kila siku watu wanaumiza vichwa vyao wafanyaje kukamata fursa ili kuwa na maendeleo makubwa kiuchumi.
Kenya anapambana akamate soko la mizigo la Uganda, Sudani Kusini , Ethiopia na baade Afrika ya Kati kupitia Sudani Kusini. (Kupitia mpango wao wa The Northen Corridor)
Wiki hii Waziri wa Miundombinu wa Uganda ametangaza wanaanza ujenzi wa reli (SGR) kutoka Malabo hadi Kampala. Huku Kenya anapambana kufikisha SGR yake Malabo kutoka Mombasa.
Sisi tunapeleka SGR hadi Burundi na kisha Congo (alafu tunalizika tu). Hivi tunashindwaje kuipeleka hadi kagera iingie Uganda alafu tupambane ifike hadi Sudani Kusini kabla ya Kenya?
Kama tungekuwa na Baraza la Mawaziri lenye akili zinazochaji kweli sasaivi nilitegemea tuwe na taarifa ya SGR kufika kagera mpaka wa Tanzania na Uganda alafu watu wanapambana iunganishwe hadi kufika Sudani Kusini.
Viongozi wetu wanalala sana. Ujinga wa Watanzania unawafanya wasiumize kichwa kufikiri kwa ajili ya kesho ya Tanzania zaidi ya Matumbo yao tu.
OMBI KWA RAIS SAMIA
Anzisha ujenzi wa Reli ya SGR kuelekea Kagera ifike hadi mpaka wa Tanzania na Uganda haraka iwekekanavyo kabla ya Kenya hajaanza kutekeleza ujenzi wa SGR Mombasa- Kisumu- Malabo.
Lord denning
Sinza, Dar es Salaam!
Kijografia kwetu tunaweza kufanya vizuri kwa miaka mingi kama tutafikisha SGR burundi then DRC..Dunia hailali. Kila siku watu wanaumiza vichwa vyao wafanyaje kukamata fursa ili kuwa na maendeleo makubwa kiuchumi.
Kenya anapambana akamate soko la mizigo la Uganda, Sudani Kusini , Ethiopia na baade Afrika ya Kati kupitia Sudani Kusini. (Kupitia mpango wao wa The Northen Corridor)
Wiki hii Waziri wa Miundombinu wa Uganda ametangaza wanaanza ujenzi wa reli (SGR) kutoka Malabo hadi Kampala. Huku Kenya anapambana kufikisha SGR yake Malabo kutoka Mombasa.
Sisi tunapeleka SGR hadi Burundi na kisha Congo (alafu tunalizika tu). Hivi tunashindwaje kuipeleka hadi kagera iingie Uganda alafu tupambane ifike hadi Sudani Kusini kabla ya Kenya?
Kama tungekuwa na Baraza la Mawaziri lenye akili zinazochaji kweli sasaivi nilitegemea tuwe na taarifa ya SGR kufika kagera mpaka wa Tanzania na Uganda alafu watu wanapambana iunganishwe hadi kufika Sudani Kusini.
Viongozi wetu wanalala sana. Ujinga wa Watanzania unawafanya wasiumize kichwa kufikiri kwa ajili ya kesho ya Tanzania zaidi ya Matumbo yao tu.
OMBI KWA RAIS SAMIA
Anzisha ujenzi wa Reli ya SGR kuelekea Kagera ifike hadi mpaka wa Tanzania na Uganda haraka iwekekanavyo kabla ya Kenya hajaanza kutekeleza ujenzi wa SGR Mombasa- Kisumu- Malabo.
Lord denning
Sinza, Dar es Salaam!