Rozela
JF-Expert Member
- Jan 5, 2024
- 845
- 2,235
Tatizo hatujiamini kwahiyo eleweni kiutu uzima, bora wapewe points 3 na magoli 3 sisi tutalipa faini TFF yatakwisha kuliko kuja uwanjani wakati li Prince Dube na li Aziz Ki, na li Pacome bado lile toto li Max Nzingeli, li Mzize yote yanakutamani hapo li Boka nalo lipo, na li Yao Yao limerudi, usilisahau li Chama dk ya 75 linaweza kumtungua Pinpin wetu.
Sisi tumeona kupeleka timu katika mazingira haya wakati sisi tegemeo letu ni Kibu D na Mpanzu haitakuwa busara.
Asanteni.
Sisi tumeona kupeleka timu katika mazingira haya wakati sisi tegemeo letu ni Kibu D na Mpanzu haitakuwa busara.
Asanteni.