Tungekuwa na Tume Huru, kuna mtu angekuwa anapiga magoti majukwaani hivi sasa

Tungekuwa na Tume Huru, kuna mtu angekuwa anapiga magoti majukwaani hivi sasa

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Huyu mtu pamoja na kiburi alichonacho, hivi sasa anaishi kwa hofu na mashaka kwani anajua lolote linaweza kutokea Oktoba 28 na ndio maana mnamuona anahangaika kutoa kauli za kujaribu kurekebisha makosa yake ya Siku za mwanzo (kavurugwa).

Ukweli ni kwamba, anajua uwezekano wa yeye kushinda ni mdogo, ila kutokwepo kwa Tume Huru, ndio kunampa matumaini ya asilimia fulani ya kutangazwa mshindi pasipo kushinda, na matumaini hayo, ndio yanamfanya aweze walau kuwa na nguvu ya kuendelea na kampeni, vinginevyo angekuwa frustrated zaidi ya sasa na pengine angefikia hatua hata ya kupiga magoti majukwaani kuomba kura.

Hata wafuasi wake wamepoteza matumaini na nao wao wanategemea mbeleko ya Tume kama mgombea wao.

Yeye na wafuasi wake wakiangalia video za mpinzani wake, wanatamani hata uchaguzi usiwepo au ilitokea jambo uchaguzi usifanyike, ila wajue hakuna kitachobadilika na safari hii wanalo.
 
Sisi kazi yetu ni kuwazibua hizo akili zenu ili kuwarudishia kumbukumbu
20200819_215239.jpg
20200901_195834.jpg
20200814_164156.jpg
20200814_164053.jpg
 
Jengeni vyama kuanzia ngazi za chini kabisa, viwe ni vyama hai vyenye kufanya mikutano kwa mujibu wa ratiba zenye kueleweka.

Hizi siasa za bahati nasibu za kutegemea umaarufu wa mgombea miezi miwili au mitatu kuelekea uchaguzi mkuu haziwezi kujenga vyama.

Tume huru ni kisingizio cha kukwepa majukumu ya ukuzaji wa vyama vya siasa. Mikutano ya ndani ikitumika vyema itavikuza vyama.
 
Jengeni vyama kuanzia ngazi za chini kabisa, viwe ni vyama hai vyenye kufanya mikutano kwa mujibu wa ratiba zenye kueleweka.

Hizi siasa za bahati nasibu za kutegemea umaarufu wa mgombea miezi miwili au mitatu kuelekea uchaguzi mkuu haziwezi kujenga vyama.

Tume huru ni kisingizio cha kukwepa majukumu ya ukuzaji wa vyama vya siasa. Mikutano ya ndani ikitumika vyema itavikuza vyama.
Kwaniaba ya Wafilipino naupokea ushauri wako!
 
Jengeni vyama kuanzia ngazi za chini kabisa, viwe ni vyama hai vyenye kufanya mikutano kwa mujibu wa ratiba zenye kueleweka.

Hizi siasa za bahati nasibu za kutegemea umaarufu wa mgombea miezi miwili au mitatu kuelekea uchaguzi mkuu haziwezi kujenga vyama.

Tume huru ni kisingizio cha kukwepa majukumu ya ukuzaji wa vyama vya siasa. Mikutano ya ndani ikitumika vyema itavikuza vyama.
Kama tume huru ni kisingizio, mbona hamtaki kuruhusu ichaguliwe na ifanye kazi sawasawa!
 
Jengeni vyama kuanzia ngazi za chini kabisa, viwe ni vyama hai vyenye kufanya mikutano kwa mujibu wa ratiba zenye kueleweka.

Hizi siasa za bahati nasibu za kutegemea umaarufu wa mgombea miezi miwili au mitatu kuelekea uchaguzi mkuu haziwezi kujenga vyama.

Tume huru ni kisingizio cha kukwepa majukumu ya ukuzaji wa vyama vya siasa. Mikutano ya ndani ikitumika vyema itavikuza vyama.

CHADEMA kiko imara kabisa na hakihitaji ushauri wako.
 
Dalili za kushindwa hizi. Zungusha kichwa, mikono, hata miguu hawezi shinda Lissu.
 
Back
Top Bottom