Lissu size yake kina katambi, msukuma, lijualikali. Magufuli moto mwingine.Tundu lisu bado sana kupambana na magufuri, Sema ni mchafuzi tu wa muda,
Kila anapopita pia kuna makundi yanarudi kufuta nyayo zake,
"Mkicheza na uchaguzi huu mtaenda the Hague"..TAML (a.k.a Ni Yeye).wajue hakuna kitachobadilika na safari hii wanalo.
Baada ya Oktoba 28 utaujua uimara halisi wa chadema.CHADEMA kiko imara kabisa na hakihitaji ushauri wako.
Ikichaguliwa na kufanya kazi mtakuja na kisingizio kingine, kutanua magoli ndio jadi yenu.Kama tume huru ni kisingizio ..... mbona hamtaki kuruhusu ichaguliwe na ifanye kazi sawasawa!!
Swali ni mbona haifanyiki!? Bozo nyingine no assumptions zako kuhusu nini kitafuata.Ikichaguliwa na kufanya kazi mtakuja na kisingizio kingine, kutanua magoli ndio jadi yenu.
Hata ikifanyika uzoefu unaonyesha tutahamisha tu magoli.Swali ni mbona haifanyiki!? Bozo nyingine no assumptions zako kuhusu nini kitafuata.
Uzoefu wa lipi .... lini mlishawashilikisha Wapinzani kuunda tume .....!!Hata ikifanyika uzoefu unaonyesha tutahamisha tu magoli.
Wapinzani unavyowaongelea ni kama vile wapo vizuri sana katika kuwa na mizizi ya kisiasa nchini.Uzoefu wa lipi, lini mlishawashilikisha Wapinzani kuunda tume!
Kumbuka ya hawa bado ni CDM na watampigia Lissu 2020, sasa endelea kujipa moyoSisi kazi yetu ni kuwazibua hizo akili zenu ili kuwarudishia kumbukumbuView attachment 1576958View attachment 1576960View attachment 1576961View attachment 1576962
Akijaza jpm watu mafuriko. Akijaza Lissu video hazipigi Kura tulieni hivyo hivyo hadi betri ichomokeKwani uliambiwa video ndio zinapiga Kura subiri uone endelea kujifariji kijinga JPM anatoboa tena kwa kishindo Sasa kwa taarifa yako
Anadhani hao watu walishahamia ccmKumbuka ya hawa bado ni CDM na watampigia Lissu 2020, sasa endelea kujipa moyo
Wewe ndio unapumzi kumzidi JPm .....malofa kweli yapo kila mahala.Una utapiamlo wewe!!
Katengeneze tume yako ujitangazie ushindi wako, sisi Tume yetu ni Huru na ipo kwaajili ya Watazania.
Sio Wahangaikaji wa Mitandaoni.
Nakuhakikishia mgombea wako ana pumzi ndogo sana ya kushindana na ilani bora inayohitajika kwa Maendeleo yetu sisi Watanzania
Hahahaa.. Lissu chomoa betri baba.Jengeni vyama kuanzia ngazi za chini kabisa, viwe ni vyama hai vyenye kufanya mikutano kwa mujibu wa ratiba zenye kueleweka.
Hizi siasa za bahati nasibu za kutegemea umaarufu wa mgombea miezi miwili au mitatu kuelekea uchaguzi mkuu haziwezi kujenga vyama.
Tume huru ni kisingizio cha kukwepa majukumu ya ukuzaji wa vyama vya siasa. Mikutano ya ndani ikitumika vyema itavikuza vyama.
Hawa wote bado wako Chadema sasa sijui inajipa moyo wa nini.Sisi kazi yetu ni kuwazibua hizo akili zenu ili kuwarudishia kumbukumbuView attachment 1576958View attachment 1576960View attachment 1576961View attachment 1576962