Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mbona inasemekana mke wa kwanza wa pinda alifariki na akaoa mdogo wa marehemu? How far is the truth?
Open university ni 'open' kweli kweli!Tunu kielimu ana bachelor ya biashara kutoka open university of Tanzania.
Nyie ndo wa kwanza kutetea chaguo la Dr Slaa, hata kama lilikuwa chaguo la mtu mwingine!Ni vizuri tumjue huyu, ili tujue kama Waziri wetu Mkuu anapata ushauri wa namna gani nje ya ushauri wa wataalamu alionao
Dr Slaa analipwa ruzuku kutokana na kodi yetu vile vile, na anabeba wa wengine, na kujikopesha kujenga nyumba.Umesahau kwamba analipwa posho na Hazina yetu?
sasa kama baba yake Tunu anaitwa Mzee ABDALLAH REHANI je huyu TUNU majina yake kamili (kabla hajaolewa na pinda) ni yepi?
Dont tell me alikuwa akiitwa BINT ABDALLAH
kwa hiyo ni bookless siyo!kwa hiyo anachojua ni nanihiiiiiiii nimesahau vile
Cv yake ni mke wa pinda basi
Dr Slaa analipwa ruzuku kutokana na kodi yetu vile vile, na anabeba wa wengine, na kujikopesha kujenga nyumba.
Hapo vipi?
First Name kabla hajaolewa ndio hilo la sasa la Tunu, na baada ya kuolewa alibadili dini kutoka uisilamu na kuwa mkatoliki, na akabatizwa kwa jina la Petronela