TUNU PINDA: Profile

TUNU PINDA: Profile

mbona inasemekana mke wa kwanza wa pinda alifariki na akaoa mdogo wa marehemu? How far is the truth?

mkuu kabembe mzee rehani hana binti mwengine aliyeolewa na pinda zaidi ya huyu tunu ambaye alipata elimu ya kutosha ya madrasa kabla ya kuonana na mh pinda na kuritadi.
 
Kama hamna cha kuongea jamani msijaze threads., pitia thread hii ni maudhi matupu sehemu nyingi haina nyama asante sana
 
Huyu hajazaa na pinda. Mrithi wa aliyekuwa mke wa pm. Upande mmoja kwao ni mahenge karibu na mwaya.
 
mmh,jf ni nooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooomaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa?
 
Ni vizuri tumjue huyu, ili tujue kama Waziri wetu Mkuu anapata ushauri wa namna gani nje ya ushauri wa wataalamu alionao
Nyie ndo wa kwanza kutetea chaguo la Dr Slaa, hata kama lilikuwa chaguo la mtu mwingine!
 
Pia anapoke M 2 kila mwezi,kodi ya watanzania et kwa kuwa ni mke wa PIGA TU.
 
sasa kama baba yake Tunu anaitwa Mzee ABDALLAH REHANI je huyu TUNU majina yake kamili (kabla hajaolewa na pinda) ni yepi?

Dont tell me alikuwa akiitwa BINT ABDALLAH

Anaitwa Tunu Abdalah Rehani unajingine?
 
Hii ndo jf ni mfumo kamili wa maisha kila kitu kinapatika hapa
 
Dr Slaa analipwa ruzuku kutokana na kodi yetu vile vile, na anabeba wa wengine, na kujikopesha kujenga nyumba.
Hapo vipi?

Wewe bana! fungua uzi wako! Chips na kande wapi na wapi?

Hii imetukumbusha JF ileeeeeeee!!!!
 
Kuna watoto wa Pinda wakubwa sana. Ni watoto wa Tunu au? Na wengi wamesoma Mzumbe University.

Ila watu hapa JF mna data mpaka basi...
 
Back
Top Bottom