Tunzeni hii: Mechi ya leo kwa Mkapa Simba SC inaenda ama kuongeza 'Gap' kwa alama 6 au 5 kwani kuna watu leo watavurugana na hawatoamini

Tunzeni hii: Mechi ya leo kwa Mkapa Simba SC inaenda ama kuongeza 'Gap' kwa alama 6 au 5 kwani kuna watu leo watavurugana na hawatoamini

Halafu watu wakikuita Popoma kutokana na hiki unachokifanya humu jukwaani, eti unalalamika wanakuchukia!!!
Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini ( TMA ) tokea Mwezi wa Nne ( April ) mwaka huu Walitutangazia kuwa kuanzia tarehe 1 hadi 13 Mwezi huu Oktoba, 2023 kutakuwa na Mvua Kubwa ya El Nino je, imenyesha?

Mbona hamuwashushui na hamuwashangai kwa Tabiri yao kwenda ndivyo sivyo ila kwa GENTAMYCINE kusema Yanga SC itafungwa na Azam FC na haijafungwa na imeshinda mnanishangaa na Kunishushua?

Halafu mnaotokwa na Mapovu dhidi yangu kwa Tabiri yangu kwenda ndivyo sivyo huwa mnakuwaga wapi pale Tabiri zangu zingine zikitokea kama nilivyotabiri? Je, nilivyoandika huo Uzi wa Kuitabiria Yanga SC kufungwa na Azam FC niliwalazimisheni muiamini au niliwaiteni mje muisome?

Ukielewa tu maana ya Neno TABIRI ( NUJUMU ) wala hutopata Taabu na Kilichotokea jana ila ukiwa ni Mpumbavu, Mswahili na Mshamba utaendelea kutokwa Povu na GENTAMYCINE na ninachowaahidi tu ni kwamba sitoacha KUTABIRI Matukio mengine yajayo kama ikinipendeza.

Tokea Juzi NILITABIRI kuwa Simba SC itafungwa na Al Ahly FC katika Mechi yake ya marudiano ya tarehe 24 Oktoba, 2023 na Kutolewa katika Michuano mipya ya African Football League ( AFL ) hivyo nawasubiria TABIRI yangu hii ikitokea kama NILIVYOITABIRI mtakuja hapa JamiiForums kwa Kasi hii hii Kunipongeza japo najua kwa ROHO MBAYA ZENU wala HAMTOKUJA kwakuwa MLICHOKIWEKEZA Kwangu ni KUNICHUKIA, WIVU na UNAFIKI pekee.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!
 
Akishindwa ujinga wake anatukana halafu mods wanamuacha tu
ANGALIZO

Ukijijua tu HUMPENDI na UNAMCHUKIA mno GENTAMYCINE na HUMKUBALI wala HUVUTIWI na MADA ( THREADS ) zake Kutwa hapa JamiiForums cha kufanya ni KUACHANA nae au MBLOKU ( IGNORE ) na endelea KUWASOMA MEMBERS wako ambao UNAWAPENDA, UNAWAKUBALI na unawaona ni BORA KWAKO na uniachie / uwaache wale MEMBERS Wanaonielewa waendelee KUHABARIKA, KUELIMIKA na KUBURUDIKA nami hapa JamiiForums.

Kitendo cha Kujijua huwa HUNIPENDI, HUNIKUBALI na HUVUTIWI na UWASILISHAJI Wangu hapa JamiiForums halafu bado tena UNAWASHWAWASHWA nami kama MBWA JIKE anayetaka KUPANDWA kunaonyesha kuwa UNANIKUBALI ( UNANIPENDA ) hadi KUMOYO na huku KUNICHUKIA Kwako ni KUZUGA tu.

Na bahati nzuri au mbaya nikianzisha MADA ( THREAD ) hapa huwa SIMUITI au SIMLAZIMISHI Mru Kusoma hivyo sitaki SHOBO za ki MAGOMENI MAPIPA KWA MACHENI.

Nimemaliza.
 
75% Yanga SC inafungwa leo na 25% wataibahatisha Sare kwa Azam FC. Kuna Mambo yamefanyika ( Nje ya Uwanja ) na yamewashinda Wataalam Watatu wa Yanga SC na hata baadhi ya Viongozi Wao wameshajua kuwa leo ( hasa Jumatatu ) Kinujumu ( Kinyota na Kitarehe ) si Siku nzuri Kwao Kimatokeo.
je kumetokea nini,mbona yanga wameshinda?
 
je kumetokea nini,mbona yanga wameshinda?
Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini ( TMA ) tokea Mwezi wa Nne ( April ) mwaka huu Walitutangazia kuwa kuanzia tarehe 1 hadi 13 Mwezi huu Oktoba, 2023 kutakuwa na Mvua Kubwa ya El Nino je, imenyesha?

Mbona hamuwashushui na hamuwashangai kwa Tabiri yao kwenda ndivyo sivyo ila kwa GENTAMYCINE kusema Yanga SC itafungwa na Azam FC na haijafungwa na imeshinda mnanishangaa na Kunishushua?

Halafu mnaotokwa na Mapovu dhidi yangu kwa Tabiri yangu kwenda ndivyo sivyo huwa mnakuwaga wapi pale Tabiri zangu zingine zikitokea kama nilivyotabiri? Je, nilivyoandika huo Uzi wa Kuitabiria Yanga SC kufungwa na Azam FC niliwalazimisheni muiamini au niliwaiteni mje muisome?

Ukielewa tu maana ya Neno TABIRI ( NUJUMU ) wala hutopata Taabu na Kilichotokea jana ila ukiwa ni Mpumbavu, Mswahili na Mshamba utaendelea kutokwa Povu na GENTAMYCINE na ninachowaahidi tu ni kwamba sitoacha KUTABIRI Matukio mengine yajayo kama ikinipendeza.

Tokea Juzi NILITABIRI kuwa Simba SC itafungwa na Al Ahly FC katika Mechi yake ya marudiano ya tarehe 24 Oktoba, 2023 na Kutolewa katika Michuano mipya ya African Football League ( AFL ) hivyo nawasubiria TABIRI yangu hii ikitokea kama NILIVYOITABIRI mtakuja hapa JamiiForums kwa Kasi hii hii Kunipongeza japo najua kwa ROHO MBAYA ZENU wala HAMTOKUJA kwakuwa MLICHOKIWEKEZA Kwangu ni KUNICHUKIA, WIVU na UNAFIKI pekee.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!
 
Sasa Yusuf Bakhressa ulikuwa wapi Kufuata huo Ushauri uliopewa ( na wanaojua Fitna za Soka la Bongo ) ili Kuwamaliza hao Wapuuzi Kwako kuwa ni rahisi kama ambavyo inaenda kuwa rahisi leo?

Kile mlichokifanya Jana Klabuni Kwenu ndiyo Dawa yao na mmeshawaweza na Kuwamaliza hivyo GENTAMYCINE najua leo ni ama mnawafunga au wakibahatika mnatoka nao Sare, ila Wao hawashindi kabisa na Kufungwa nanyi leo ni 75% baada ya Kujiridhisha kwa mlichokifanya cha Nje ya Uwanja huku mkilishana Yamini kwa Watakaowasaliti ( hasa hasa Watu wenu Watatu ) ambao GENTAMYCINE nilishawahi Kuwataja hapa JamiiForums katika Uzi wangu wa Wiki Nne ( 4 ) zilizopita.
Ww nilikwambia na nakukumbukusha tena mechi zote zilizobaki yanga anachukua points 3 bila ya papatu papatu uwanjani.
 
Back
Top Bottom