Davidmmarista
JF-Expert Member
- Apr 11, 2024
- 1,367
- 2,451
- Thread starter
-
- #21
Uwakika brother umeishi huko?Nenda Rwanda
Huyo mwanamke hayupo, ila Kama ni mkeo wa muda mrefu ukafirisika wapo wachache huwa wanavumilia kwa muda fulani ila siyo huna hela halafu unataka kuoa.Kabisa mkuu lakini Kuna maeneo bila Hela mwanamke anakuheshimu
Huko ndio kuna wake sio wanawake kuna Muha graduate wa uchumi UDSM kaolewa na dogo darasa la saba huyo dogo ni dereva bodaboda na ni mlinzi. Mwanamke anamuheshimu dogo kama kawaida na mashemeji tunaheshimika mnooWaha au?
Kama una hela utampata mtutsi ila sahau kumtia mimba. Atatafutiwa mtutsi mwenzake wa kutia mimba tuu wewe utalea, utake usitake ni hivyo. Usijejaribu kuuliza habari za DNA, ndo mwisho wΓ uhai wakoNenda Rwanda
No5Nchi 15 za Afrika zinazoongoza kwa viwango vya talaka, ingawa ni muhimu kutambua kuwa viwango vya talaka vinabadilika kulingana na mabadiliko ya kijamii, kisheria, na utamaduni:
1. Uganda
2. Sierra Leone
3. Zambia
4. Kenya
5. South Africa
6. Tanzania
7. Nigeria
8. Ghana
9. Malawi
10. Botswana
11. Namibia
12. Mozambique
13. Liberia
14. Cote
d'Ivoire (Ivory Coast)
15. Zimbabwe
Acha uogaKama una hela utampata mtutsi ila sahau kumtia mimba. Atatafutiwa mtutsi mwenzake wa kutia mimba tuu wewe utalea, utake usitake ni hivyo. Usijejaribu kuuliza habari za DNA, ndo mwisho wΓ uhai wako
Mwanamke anatakiwa avumilie katika shida na rahaHuyo mwanamke hayupo, ila Kama ni mkeo wa muda mrefu ukafirisika wapo wachache huwa wanavumilia kwa muda fulani ila siyo huna hela halafu unataka kuoa.
Duh kwanini?Kama una hela utampata mtutsi ila sahau kumtia mimba. Atatafutiwa mtutsi mwenzake wa kutia mimba tuu wewe utalea, utake usitake ni hivyo. Usijejaribu kuuliza habari za DNA, ndo mwisho wΓ uhai wako
Ngoja tutafiti. Kwani umeishi huko?Nenda Mbinga kwa wamatengo
Hutajutia act yako.
Ukitaka kufurahia ndoa hapa Bongo oa Mzaramo, Mmatumbi, Mndengereko au Mngindo.. hao ni Wife Material.. kwanza wanajituma, wana heshima na hawachepuki ovyo fanya hivyo utakuja kunishukuru..Lakini malezi ndio hu determine tabia ya mtu malezi ya wanawake wengi wa bongo ni ya hovyo
πDuh lakini haitakiwi kuoa mwanamke kwaajili ya pesaWanawake ni wale wale wale tu mkuu na wazungu waliwatetea sana na kuwekaa 50 Kwa 50 ikawapa jeuri haswaa ...
Ss Ili ww wasikupe presha lipia huduma akupee unachokitaka kwakee nawe mpe pesa yakee pitaa hv,,njee na hapo n Kila cku utauliza uoe wapii..
Jana nimekutana na mmoja hapo shamo tower nikachukua namba ,kufika mchana naombwa lakii ,HAKI nililiaa sanaaaπππππππππ