Basi uende huko mkuu, maana ushapata mwelekeoKutokana na mazingira na tamaduni za watu ndio zinajenga watu kama Congo eneo la Goma wanawake wengi wanamaadili ukienda kwa wasukuma wenye maadili utaona wanavyo behave kwahiyo hata eneo Lina mchango mkubwa sana kwasababu ya maadili ya eneo fulani
Kaaa hapo mkuu subiri anakujaaa๐๐๐Hapana mkuu mwanamke hatakiwi kunipendea pesa kwani pesa huisha ,Je siku nisipokuwa na Hela itabidi aniache aende kwa mwenye Hela?
Yee ndio wamemshindwa assngzie wanawake wa kibongoMpaka hapa wahovyo ni wewe mkuu๐๐
Wamakonde, ni Mtwara na northern MozambiqueKonde ni wapi mkuu?
Lakini kwanini anipendee pesa asinipende toka moyoni kwakeKaaa hapo mkuu subiri anakujaaa๐๐๐
Wapo makini sana nini turesearch huko?Wamakonde, ni Mtwara na northern Mozambique
Biblia inasema "Tuishi nao kwa akili" ww unakimbilia kuhama nchi sawa ,unadhani huko utakakoenda hutakutana na changamotoNataka nioe lakini kwa hapa bongo wanawake wengi ni hovyo. Hivyo shauku ya kuoa bongo sina kabisa nilikuwa nafikiri niende Congo ,Rwanda au Ethiopia nadhani angalau wanawake wa huko wana nidhamu na heshima
Bongo wengi wa hovyoYee ndio wamemshindwa assngzie wanawake wa kibongo
No maadili mkuu wabongo wengi Wana maadili ya hovyoBiblia inasema "Tuishi nao kwa akili" ww unakimbilia kuhama nchi sawa ,unadhani huko utakakoenda hutakutana na changamoto
Mkuu una mke?Different kabs mkuu hawafanani huwezi mfananisha mu Iraqw na mmasai
Vp choo ipo maana nyumba ni choo.Kwanini uende mbali hivyo wakati wakongo, warwanda tupo hapahapa Bongo
Nenda ukingani huko makete unatokea milima ya Livingstone au,wahazabe na wamangati,ukishindwa Wamasai!Kabisa mkuu lakini Kuna maeneo bila Hela mwanamke anakuheshimu
Vp we hutaki wa kuzeeka naye nyonga mkalia ini.Basi uende huko mkuu, maana ushapata mwelekeo
๐๐๐ Inatakiwa vijana wa kujitoa wakaoe mbali wabongo mjifunze wenzenu namna walivyoYaani ukaoe wa mbali hivyo na watu tume
Sio wote but % kubwa ya wabongoUnaposema wanawake wote unamaanisha nini? Hadi aliyekuzaa?
Nimenyoosha mikono,wanangu wananitosha mkuu...nitazeeka mwenyewe kama nilivyokuja dunianiVp we hutaki wa kuzeeka naye nyonga mkalia ini.
Huko ulipotaja hawana maadili ya Hovyo, na Vile hufahamu utamaduni na Mazingira ya Huko huoni kwamba utanunua mbuzi kwa guniaNo maadili mkuu wabongo wengi Wana maadili ya hovyo
Single brotherMkuu una mke?