Davidmmarista
JF-Expert Member
- Apr 11, 2024
- 1,367
- 2,451
- Thread starter
-
- #81
Kuna sehemu nikikutajia uniletee wanawake wa hovyo utashindwa ila Kuna mahali bongo nikikutajia basi logically wanawake wa huko ni hovyoHuko ulipotaja hawana maadili ya Hovyo, na Vile hufahamu utamaduni na Mazingira ya Huko huoni kwamba utanunua mbuzi kwa gunia
Eh😀😀Nataka nioe lakini kwa hapa bongo wanawake wengi ni hovyo. Hivyo shauku ya kuoa bongo sina kabisa nilikuwa nafikiri niende Congo ,Rwanda au Ethiopia nadhani angalau wanawake wa huko wana nidhamu na heshima
Ushaanza 😅Unaposema wanawake wote unamaanisha nini? Hadi aliyekuzaa?
Mkuu tuwekee list nzima nikaoe kwenye ile ya mwisho.Nchi 15 za Afrika zinazoongoza kwa viwango vya talaka, ingawa ni muhimu kutambua kuwa viwango vya talaka vinabadilika kulingana na mabadiliko ya kijamii, kisheria, na utamaduni:
1. Uganda
2. Sierra Leone
3. Zambia
4. Kenya
5. South Africa
6. Tanzania
7. Nigeria
8. Ghana
9. Malawi
10. Botswana
11. Namibia
12. Mozambique
13. Liberia
14. Cote
d'Ivoire (Ivory Coast)
15. Zimbabwe
Umeona ulivonielewa.....Bongo unaijua vizuri,Rwanda sijui Kenya Huifahamu ....Usifanye hitimisho kisa watu wa5 kati ya 10 ,kuna wa5 bado ni boraKuna sehemu nikikutajia uniletee wanawake wa hovyo utashindwa ila Kuna mahali bongo nikikutajia basi logically wanawake wa huko ni hovyo
acha kujidanganya mkuu, hiyo bongo unayosema wanawake ni wa hovyo umetembea yote? huo u hovyo umeuona wapi? zimwi likijualo halikuli ukaisha sasa jichanganye kwa wanyarwanda ushuhudie rangi ambazo hujawah zionaNataka nioe lakini kwa hapa bongo wanawake wengi ni hovyo. Hivyo shauku ya kuoa bongo sina kabisa nilikuwa nafikiri niende Congo ,Rwanda au Ethiopia nadhani angalau wanawake wa huko wana nidhamu na heshima
Bongo kwa watoto wa 2000 wa Sasa hivi wengi nimeona ni 🚮🚮Umeona ulivonielewa.....Bongo unaijua vizuri,Rwanda sijui Kenya Huifahamu ....Usifanye hitimisho kisa watu wa5 kati ya 10 ,kuna wa5 bado ni bora
Uko sahihi, oa Rwanda au hata Burundi na Congo ila Waethiopia wanaringaga sana, wanataka wanaume wanaofanana na kaka zao (mara nyingi).Nataka nioe lakini kwa hapa bongo wanawake wengi ni hovyo. Hivyo shauku ya kuoa bongo sina kabisa nilikuwa nafikiri niende Congo ,Rwanda au Ethiopia nadhani angalau wanawake wa huko wana nidhamu na heshima
Karibu Zambia mkuuNataka nioe lakini kwa hapa bongo wanawake wengi ni hovyo. Hivyo shauku ya kuoa bongo sina kabisa nilikuwa nafikiri niende Congo ,Rwanda au Ethiopia nadhani angalau wanawake wa huko wana nidhamu na heshima
Sio wanawake wote bro lakini asilimia kubwa kutokana na utamaduni wa Sasa ni hovyoacha kujidanganya mkuu, hiyo bongo unayosema wanawake ni wa hovyo umetembea yote? huo u hovyo umeuona wapi? zimwi likijualo halikuli ukaisha sasa jichanganye kwa wanyarwanda ushuhudie rangi ambazo hujawah ziona
Tunawaambia hapa kutokana na tamaduni za hizi nchi ukitafiti wengi ndoa nyingi zinadumu kuliko bongoUko sahihi, oa Rwanda au hata Burundi na Congo ila Waethiopia wanaringaga sana, wanataka wanaume wanaofanana na kaka zao (mara nyingi).
hiyo asilimia kubwa umeitoa wapi mkuu? labda umezunguka mikoa yote Tanzania ndio ukapata hiyo asilimia?Sio wanawake wote bro lakini asilimia kubwa kutokana na utamaduni wa Sasa ni hovyo
Asante bro, Upo Zambia?Karibu Zambia mkuu
Ndio broAsante bro, Upo Zambia?
Research mkuu ndio inasema Kuvunjika kwa ndoa nyingi Tanzania kunachangiwa na sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na matatizo ya kifedha, maadili, na kutokuelwana. Utafiti wa Tume ya Taifa ya Haki za Binadamu (2019) umeonyesha kuwa ndoa nyingi zinaathiriwa na mabadiliko ya kijamii, ambapo wanawake wanapata uhuru zaidi kiuchumi na kijamii, pia utandawazi nao unasabibisha .....hiyo asilimia kubwa umeitoa wapi mkuu? labda umezunguka mikoa yote Tanzania ndio ukapata hiyo asilimia?
😂Kaoe kwa Trump
Karibu bro uwafanulie kidogo hapa jinsi gani Kuna utofauti gani kwenye issue za kudumu kwa ndoa Bongo vs ZambiaNdio bro